Mambo 10 kuelekea mwaka 1 wa kumkumbuka ya Hayati Magufuli

Umeanza vizuri,ukamaliza kijingajinga.kama mtu hataki demokrasia si ni dikteta??dikteta ni mtu aliyelaaniwa,kama meko.
 
 
ujinga upi mkuu
Sijui kwanini watu wanaona kuwa Magufuli alitenda mema sana wakati ndiye rais aliyefanya maovu mengi na kuwaumiza hata kuwaua watu wengi tu, kaharibu utengamano wa taifa kwa ukabila, kufanya matumizi mabaya ya fedha za umma kama CAG anavyoonesha, kuuwa makampuni mengi na kufanya upendeleo mkubwa kijijini kwake. Lazima uwe mtu mjinga kumwona Magufuli mtu wa kulilia.
 
hkn aliye mlilia mkuu ila kuna vtu ambvyo alifanya
jpo kwa uchache unaona vision yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…