Mambo 10 kuelekea mwaka 1 wa kumkumbuka ya Hayati Magufuli

Samahani Mkuu naomba nielezee kwanza ukabila wa mwendazake
 
Wajinga kama nyie hamuishi kwenu maendeleo hamuna Kwa elimu na mali za wizi utaka awafanyie nn kaangalue nyie mlivyokuwa wabaguzi kwanza
 
unaandika majungu tu hapa,ubaya aliofanya mtu haujifichi ni kanuni ya kawaida kabisa ya maisha.

magu angekuwa mwovu isingechukua wewe mwaka mzima kuwaeleza watu.
 
unaandika majungu tu hapa,ubaya aliofanya mtu haujifichi ni kanuni ya kawaida kabisa ya maisha.

magu angekuwa mwovu isingechukua wewe mwaka mzima kuwaeleza watu.
Unatetea mauaji? Wapi nimechukua mwaka mzima kusema haya. Kuna mtu asiyejua uovu wa awamu ya 5? Ndio maana mama anarekebisha sasa.
 
Wajinga kama nyie hamuishi kwenu maendeleo hamuna Kwa elimu na mali za wizi utaka awafanyie nn kaangalue nyie mlivyokuwa wabaguzi kwanza
Mlikula chini ya meza ya Magufuli hata nyama za watu sasa bado mnazililia!
 
Samahani Mkuu naomba nielezee kwanza ukabila wa mwendazake
Sijui nani asiyefahamu upendeleo mkubwa wa kuwajaza wasukuma serilalini na hata kampeni za kilugha na upendeleo wa miradi kanda ya ziwa. Maneno ya akina Gwajima na Makonda yalionesha ushenzi wa hali ya juu ni afadhali Mungu aliingilia kati watu wangeteseka sana kwa utawala ule.
 
Unatetea mauaji? Wapi nimechukua mwaka mzima kusema haya. Kuna mtu asiyejua uovu wa awamu ya 5? Ndio maana mama anarekebisha sasa.
mama anarekebisha mauaji unadhani anayeua ni mama???
 
Mkuu,
Kwahiyo saizi wasukuma hawapo serikalini?

Eleza kwa takwimu za upendeleo wa wasukuma serikalini wakati wa mwendazake?

Kwa kigezo ulichotumia basi Samia ana udini sababu kawachagua waislamu baadhi katika sekta tofaut tofaut? Maana wasukuma wachache walihalalisha kigezo chako cha ukabila

Kampeni zote alizofanya mwendazake alikua anaongea kilugha kulingana na eneo alilopo mfano akiwa kwa wagogo basi atasalimia kigogo, Je hilo nalo ni ukabila?
Au mtu akiongea tu kilugha basi ni ukabila, Kwa maana hiyo basi mwendazake hakuwa na ukabila bali alikua na makabila sababu aliongea lugha zaidi ya moja lakini tu kwenye eneo husika.

Unaweza kuanisha kwa mifano hapa ushenzi ulioongelewa na Makonda pamoja na Gwajima? basi tuwekee hapa wana JF tupate ushahidi huo.
 
Inajulikana wazi jinsi Gwajima alivyokuwa anawahamasisha wasukuma kilugha kupitia mtandao wamuunge mkono Magufuli kwani ni mtu wao. Salamu za kilugha hazina shida ila alihutubia kilugha huko mwanza na kanda ya ziwa. Ni mengi tu ya Ki ubaguzi na ubadhirifu mkubwa wa mali za umma yamefanywa. Pia watu wengi wameteswa na hata kuuwawa.
 
makini sana
 
Uonevu na ukatili umekoma!
mauaji yameisha!
Ukabila na ukanda sasa unapotea!
Ukatili nao umekufa!
Uporaji na unyanganyi umefariki pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…