Mambo 10 kuelekea mwaka 1 wa kumkumbuka ya Hayati Magufuli

Mkuu weka na zile miili kwenye viroba kule Rufiji na mto Ruvu.
 
Ubadhilifu kama upi Mkuu?
Halafu suala la watu kufa ulimuona magufuli mwenyw anaua au ametoa tamko lolote mbona unampa dhambi ambazo zinaweza zisimuhusu. Je unajua kwa kikwete watu wangapi walikufa? + Wananchi kuteseka sawa na uongozi wa huyu bibi.
Saizi watu wa hali ya chini sio utawala wao wakae kwa kutulia amba rangi wataacha kuona.
 
Lakini tumeingia kwenye mwanzo mpya kama taifa kuishi kama mashetani katika nchi yetu hasa wale watu wa hali ya chini. + ukatili bado upo, ukanda bado upo sana kuna wadau wa kusini wamesahaulika hadi nyuzi humu zipo, uporanyi na unyang'anyi umeongezeka kwa kasi ya 4G hasa kwa masikini. Ila utawala huu acha matajiri waishi kama wapo peponi masikini waishi kama wapo motoni.
Uonevu na ukatili umekoma!
mauaji yameisha!
Ukabila na ukanda sasa unapotea!
Ukatili nao umekufa!
Uporaji na unyanganyi umefariki pia.
 
Unaijua Mayanga Construction Company? Ile kampuni ya ujenzi iliyokuwa inazomba tenda zote za ujenzi kanda ya ziwa kuanzia mabarabara, majengo hadi uwanja wa ndege Chato huku kampuni nyingine zikiambulia patupu. Hiyo kampuni inayomilikiwa kijanja na rafiki wa Magufuli ilitumika kufanya ubadhirifu mkubwa kuwahi kutokea nchini. Mfugale, Mfugale, Mfugale kile kipenzi cha Magufuli? Unajua kwanini Mgufuli alimpenda sana mtiifu huyu hadi kumpatia flyovers zibebe jina lake? Huyu alikuwa kibaraka wa ubadhirifu mkubwa na hayo yalikuwa malipo yake. Siihitaji kuandika uozo wa aliogundua CAG wa zamani na wa sasa hadi akafanyiwa mizengwe bungeni na kuondolewa kinyemela kabisa.
 
Mkuu hizo tenda walizochukua Mayanga construction si zilifanyika vizuri na kuleta unafuu kwa wananchi na wananchi hadi leo bado wanafaidi kazi zilizofanywa chini ya kampuni ya Mayanga.

kwani kuita flyover ni mfugale ina athari gani kwa jamii au ni uhasama tu mbona zile flyover hata zisingekua na jina ingekua fresh tu.

Pia kusema jamaa alifanya ubadhilifu mkubwa inawezekana alifanya kweli lakini aliwatumikia watu na hao hao waliona mchango wake katika maendeleo pia aliwatetea sana kutoka katika vinywa vya wanyang'anyi hasa mikataba ya kiupigaji na kuwadhibiti wafanyabiashara wasio waaminifu sasa niambie huyu bibi yenu anafanya nini mbona hadi ziwa Victoria saizi limebaki maji tu lakini ndani yake ni empty kabisa samaki wamepungua sana.
 
Zitakuja fly over kubwa kuliko hizo hadi hizo utaona kama vidaraja
 
Bado hamjasema......na mtasema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…