Who Cares?
JF-Expert Member
- Jul 11, 2008
- 3,507
- 3,371
Leo ndio nimeelewa kwann jay z alikuwa anajiita hova....kumbe ameaxima au kuwa inspired na huyo jamaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mfahamu J. Edgar Hoover kachero aliyeogopeka zaidi katika historia ya Marekani.
John Dillinger
Mkuu yawezekana kwenye hivyo viapo walivyowekeana mojawapo ilikuwa ni pamoja na kutozaaHili swali nimejiuliza sana, je kama walikuwa Wapenzi wa siri hawakuwahi kupata mtoto? Au wote walikuwa wagumba.
Maana yake ni kuwa huyu mzee alipanga hiyo lifestyle yake na sio kubanwa na kazi mpaka akashindwa kuoaNa unaambiwa kwenye Interview wakati Bi Hellen Gandy akiomba kazi alivyoulizwa kuhusu kuolewa akasema hana mipango ya kuolewa, Hoover akabariki Bi Hellen apatiwe kazi haraka iwezekanavyo.
Achana John Dillinger wa Bongo, John Dillinger orijino hakuwa mtu wa masihara, ni mhalifu mkubwa sana na alisumbua sana marekani hadi kufikia kuwa The most wanted Man in America.Nimeliona jina la DJ JD John Dillinger.
Asante mkuu.
Baniani mbaya kiatu chake dawa. Jamaa amecha legacy kubwa sana ndani ya FBI na ndio maana hata jengo lao la makao makuu pale Washington limepewa jina lake.pamoja na ukatili wake lakini leo hii marekani wanajivunia na FBI yao kwa sababu ya edgar....na ataendelea kubaki kwenye kumbkumb za fbi,kama kachero mahili zaidi kuwahi kutokea na ndie muasisi wa FEDERAL BUREAU INVESTIGATION..
R.I.P J.Edgar Hoover
salute kwako......
Huwezi jua mkuu, tumeumbwa tofauti.Iyo namba nane mweeeeee
Ina maana hakuwa hata na wazo la kupandikiza mbegu
Mafaili yaliyochomwa moto ni yale ambayo yalikuwa ni kwa matumizi yake binafsi. Yaani yale ambayo alikuwa nayo kwa ajili ya kuwakosoa Marais na watu maarufu.km mafili yote yalichomwa moto nan alitoa siri hii na nan alifahamu haya mambo kiundani ivo? je alikuwa muwazi kiwango hicho? Je km ndivo tunaweza kumwita mweredi au alidifiwa tu.
Nawaza tu
Achana John Dillinger wa Bongo, John Dillinger orijino hakuwa mtu wa masihara, ni mhalifu mkubwa sana na alisumbua sana marekani hadi kufikia kuwa The most wanted Man in America.
Wali-share interestNa unaambiwa kwenye Interview wakati Bi Hellen Gandy akiomba kazi alivyoulizwa kuhusu kuolewa akasema hana mipango ya kuolewa, Hoover akabariki Bi Hellen apatiwe kazi haraka iwezekanavyo.
Walishindwa vipi kumkamata?Achana John Dillinger wa Bongo, John Dillinger orijino hakuwa mtu wa masihara, ni mhalifu mkubwa sana na alisumbua sana marekani hadi kufikia kuwa The most wanted Man in America.
Maelezo picha namba 3 tafadhali![]()
![]()
![]()
![]()
Hapo kwenye namba 8 & 9 Nahisi huyo dikteta wa FBI na srkretari wake walikuwa na mahusiano ya kimapenzi wenyewe kwa wenyewe ndio maana wote wakaonekana ni mabachela ...ukaribu wao na kuelewana kwao kumepitiliza