Mambo 10 kuhusu Kachero J. Edgar Hoover wa FBI

Mambo 10 kuhusu Kachero J. Edgar Hoover wa FBI

Na unaambiwa kwenye Interview wakati Bi Hellen Gandy akiomba kazi alivyoulizwa kuhusu kuolewa akasema hana mipango ya kuolewa, Hoover akabariki Bi Hellen apatiwe kazi haraka iwezekanavyo.
Maana yake ni kuwa huyu mzee alipanga hiyo lifestyle yake na sio kubanwa na kazi mpaka akashindwa kuoa
 
pamoja na ukatili wake lakini leo hii marekani wanajivunia na FBI yao kwa sababu ya edgar....na ataendelea kubaki kwenye kumbkumb za fbi,kama kachero mahili zaidi kuwahi kutokea na ndie muasisi wa FEDERAL BUREAU INVESTIGATION..
R.I.P J.Edgar Hoover
salute kwako......
 
pamoja na ukatili wake lakini leo hii marekani wanajivunia na FBI yao kwa sababu ya edgar....na ataendelea kubaki kwenye kumbkumb za fbi,kama kachero mahili zaidi kuwahi kutokea na ndie muasisi wa FEDERAL BUREAU INVESTIGATION..
R.I.P J.Edgar Hoover
salute kwako......
Baniani mbaya kiatu chake dawa. Jamaa amecha legacy kubwa sana ndani ya FBI na ndio maana hata jengo lao la makao makuu pale Washington limepewa jina lake.
 
km mafili yote yalichomwa moto nan alitoa siri hii na nan alifahamu haya mambo kiundani ivo? je alikuwa muwazi kiwango hicho? Je km ndivo tunaweza kumwita mweredi au alidifiwa tu.
Nawaza tu
Mafaili yaliyochomwa moto ni yale ambayo yalikuwa ni kwa matumizi yake binafsi. Yaani yale ambayo alikuwa nayo kwa ajili ya kuwakosoa Marais na watu maarufu.
 
7752c0b1640e6b2c4ba0d7f6f795568e.jpg
a3eb477a11ef9d052d6e89555ca2f5c3.jpg
d5f39f781cbe0babbf3f6a2ac8161457.jpg
4296226c82bd3f9a351d8d791ca31ee2.jpg
Hapo kqenye namba 5 inadaiwa ili kuficha siri ya bwana mkubwa JFK kutoka na mlimbwende huyo ikabidi wamuue kimyakimya
 
eae39c038e6de1e711019590eff4afa4.jpg
cdd6a463d8cbfe50b8ed8788bf8c7d78.jpg
78d571da0d06d32b85ea5ed832233b76.jpg

Hapo kwenye namba 8 & 9 Nahisi huyo dikteta wa FBI na srkretari wake walikuwa na mahusiano ya kimapenzi wenyewe kwa wenyewe ndio maana wote wakaonekana ni mabachela ...ukaribu wao na kuelewana kwao kumepitiliza
 
Achana John Dillinger wa Bongo, John Dillinger orijino hakuwa mtu wa masihara, ni mhalifu mkubwa sana na alisumbua sana marekani hadi kufikia kuwa The most wanted Man in America.

Only that he died young, kuna moja ya story kwamba walienda kuiba benki kwa kuzuga kwamba wako wanaact movie, so wanatafuta location ya kufanyea scen ya Bank Robbery, kumbe ndo wameenda kuiba kweli.
 
eae39c038e6de1e711019590eff4afa4.jpg
cdd6a463d8cbfe50b8ed8788bf8c7d78.jpg
22f75b3288ae86379833a3ada00385d9.jpg
78d571da0d06d32b85ea5ed832233b76.jpg

Hapo kwenye namba 8 & 9 Nahisi huyo dikteta wa FBI na srkretari wake walikuwa na mahusiano ya kimapenzi wenyewe kwa wenyewe ndio maana wote wakaonekana ni mabachela ...ukaribu wao na kuelewana kwao kumepitiliza
Maelezo picha namba 3 tafadhali
 
Back
Top Bottom