Mambo 10 niliyoyaona jana Yanga vs CRB ya Algeria

Achaneni na kudanganyana,,, eti uchovu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ZENGELI, Aziz na Pacome ni watu ambao wanahitaji kupata space Ili ufanisi wao uonekane zaidi,...
Rejea 5 - 1 dhidi ya Simba, kipindi Cha kwanza Simba walicheza jinsi Ile ile kama CRB Jana, ila kipindi Cha pili walipokosa discipline na kutaka kushindana na Yanga wakaacha nafasi ambazo AZIZI, PACOME NA ZENGELI walizotumia...

Eti lini MAMELODI alipaki basi ugenini πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.... labda MAMELODI ATLETICO ya NDUNDUNYIKANZA...πŸ˜‚πŸ˜‚

ENDELENI kujilipua mkidhani mnapambama na akina MARUMO πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚....
 
Wanasimba punguzeni maneno jamani huwezi jua maana timu yenu mnacheza baadae mnaweza mkafa tatu kwenu huu mpira ujuee alafu yanga kashindwa game mojaa bado safari ndefuu
Simba ikishinda leo ndo MAAJABU, maana ASEC hawatokuja pata Simba ya kuungaunga kama hii.... ukiachana na Ile ya akina CHANONGO....
 
Wachezaji wangapi wa utopolo walienda timu za taiga na wangapi walicheza dakika 90 kwenye timu zao za taifa

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Mwakarobo voice,,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…