Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
1. Yanga wamecheza mchezo mzuri sana lakini mpira ni matokeo
2.Ligi Kuu ya soka hapa bongo ilimpa kiburi Gamondi na kujiona kuwa anaweza kumvamia yeyote hapa duniani, hakujua kuwa ligi yetu ni kivyetu vyetu.
3.Huwezi kwenda kushiriki michuano mikubwa kama hii kwa ngazi ya afrika ukawa na mabeki aina ya Ibrahim Job na Ibrahim Bacca, au Mwamnyeto never on earth
4. Kwa kiwango cha jana cha Yanga kiukwel wakiendelea vile hapa Tanzania na afrika mashariki hakuna wa kuwazuia
5.Pacome na Mzengeli wabadilike, waache kuwa wachezaji machachari badala ya wacheza bora
6.Fowadi Yanga hakuna, Clement Mzize is too young to play against CRB
7.CRB watapata taabu sana mechi ya marudiano hapa nyumbani kwani they are not good to that extent
8.Mechi za ugenini hasa unapocheza na mwarabu kwao lazima uwe na adabu, otherwise yatakutokea kama ya jana.
9.Ligi ya mabingwa sio kama kombe la Loser, Gamondi japo ni mgeni atahadharishwe
10.Kipa Metacha Mnata sio kaliba ya Diarra, hajaacha mchezo wake wa kitoto wa kujifanya kaumia
2.Ligi Kuu ya soka hapa bongo ilimpa kiburi Gamondi na kujiona kuwa anaweza kumvamia yeyote hapa duniani, hakujua kuwa ligi yetu ni kivyetu vyetu.
3.Huwezi kwenda kushiriki michuano mikubwa kama hii kwa ngazi ya afrika ukawa na mabeki aina ya Ibrahim Job na Ibrahim Bacca, au Mwamnyeto never on earth
4. Kwa kiwango cha jana cha Yanga kiukwel wakiendelea vile hapa Tanzania na afrika mashariki hakuna wa kuwazuia
5.Pacome na Mzengeli wabadilike, waache kuwa wachezaji machachari badala ya wacheza bora
6.Fowadi Yanga hakuna, Clement Mzize is too young to play against CRB
7.CRB watapata taabu sana mechi ya marudiano hapa nyumbani kwani they are not good to that extent
8.Mechi za ugenini hasa unapocheza na mwarabu kwao lazima uwe na adabu, otherwise yatakutokea kama ya jana.
9.Ligi ya mabingwa sio kama kombe la Loser, Gamondi japo ni mgeni atahadharishwe
10.Kipa Metacha Mnata sio kaliba ya Diarra, hajaacha mchezo wake wa kitoto wa kujifanya kaumia