Mambo 10 niliyoyaona kwenye Mechi ya Yanga Vs MC Alger

Mambo 10 niliyoyaona kwenye Mechi ya Yanga Vs MC Alger

Un

Unadhani ayo ni mashindano ya chandimu,,kwakuwa yanga kashindwa kusonga mtaongea mengi but iyo ni ligi ya mabingwa sio chandimu cup mliyopo nyie,,ubora wa vilabu vilivyopo uko ni tofauti na kwenu ivyo usitambe ukimaliza maneno!
Simba mbovu ya kina Jobe na simba alitinga robo
 
Kumbuka ni nyinyi makolo ndio mlisema ni kombe la kinamama/looser cup.
Leo ndio nimeprove kwamba utopwinyo ni rahisi mno kuingizwa mkenge...

Ilikuwaje Uto akacheza kombe la looser...

Naomba ujibu kwa ufasaha kwa nini Uto alicheza kombe la wamama ilhali ni wababa?
 
Huko Kote Simba hajawai kuishia Makundi
Usijizime data mkuu...
Screenshot_20250119-112813_2.jpg
 
Leo ndio nimeprove kwamba utopwinyo ni rahisi mno kuingizwa mkenge...

Ilikuwaje Uto akacheza kombe la looser...

Naomba ujibu kwa ufasaha kwa nini Uto alicheza kombe la wamama ilhali ni wababa?
Pia na mimi nimeprove kwamba aliyewaita MAKOLO hakukosea kwanini mlilita kombe na wamama ilihali ni kombe wanalocheza wababa?
Cha ajabu leo ndo mpo huko shensi kabhisa.
 
Tofautisha CAFCL na Yale mashindano yenu ya UMISETA yaani shirikisho ni mashindano ya akina mama
Hayo mashindano Simba ya kublan ,boko,sarri wameingia robo fainali kikundi Cha Ngoma mzinze ,dube,Aziz wameshindwa kabisa na almanusura wasinge muhonga ibenge wangekuwa washika mkia
 
Ongeza Walimfunga Ki kamba hakupewa nafazi za kujaribu mashuti ya mbali, kila akiondika na mipra jamaa wajichomeka kuvuruga mpango kazi. Ilifika point anapoint wenzake ndio wafanye maajabu.

Mzize mzuri lakini kutokuwa clinical ukapoteza nafasi za kuibeba team tena, akiaamini ana muda zaidi wa kurekebisha makosa yake.
 
Tofautisha CAFCL na Yale mashindano yenu ya UMISETA yaani shirikisho ni mashindano ya akina mama
Na ndiyo Maana nyie wabovu mmetolewa ili wabaki wale waliostahili kushiriki hayo mashindano.

Kwa kifupi uto ni jike aliyejipeleka kwenye genge la wanaume akiwa UCHI . Kilichotokea ni Kila mwanaume kujibakia kadiri alivyoweza.
 
Shensi mwenyewe...

Mliendaga kufanya nini kwa hilo kombe la wamama?

Mna akili iliyojaa matope kabisa.
KOLO HUELEWI...? Narudia tena.......MAKOLO hilo kombe mlisema ni lawamama kipindi yanga inashiriki, yaani MAKOLO wa ndo wa kwanza kuliita hivyo. Cha ajabu leo ndo mpo huko shensi kabhisa.
(usipoelewa na hapa nitakubatiza jina jipya shauri yako)
 
Tofautisha CAFCL na Yale mashindano yenu ya UMISETA yaani shirikisho ni mashindano ya akina mama
Constatine ndio anaongoza ligi huko algeria kwa MC alge rvp Ulivyochez fainali mamaako alicheza namba ngapi
 
Ninaamini angekuwa ni KAYOKO hao jamaa wangepigika tu, ingekuwa inaruhusiwa timu mwenyeji kuchezeshwa na refa wake
 
Back
Top Bottom