Walipunguzwa ili kuipa unafuu simba? NehiKama yanga wangeamua waliamshe kipindi cha pili,kesho pale msimbaz pasingefaa,key players walipunguzwa kipind cha pili
Sent from my OPPO A83 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walipunguzwa ili kuipa unafuu simba? NehiKama yanga wangeamua waliamshe kipindi cha pili,kesho pale msimbaz pasingefaa,key players walipunguzwa kipind cha pili
Sent from my OPPO A83 using JamiiForums mobile app
Shabiki mpuuzi kama wewe ni wa kupuuza. Hiyo No.2 Una ushahidi wa Inonga kujivunja? Hujawahi hata kucheza chandimu unachonga mdomo kama Chuchunge!! Lomalisa katoka dakika ya 6 tu naye Yanga waseme kajivunja?1. Beki Israel Mwenda amekuwa mtu wa kufanya makosa sana lakini Benchika anaendelea kumvumilia
2.Inonga Baka amejivunja makusudi na sasa Simba imuachie akaangalie maisha mengine.
3. Che Malone amepoteza uwezo wake wa kujiamini na amekuwa akitoa boko sana, atupishe.
4. Mabeki wa Yanga walimshindwa kabisa Kibu Dennis leo lakini Benchika akamtoa badala ya kumuacha ashambulie pamoja na Micquisone.
5. Sijui kwanini Benchika hamkubali Micquisone na anawakubali wachezaji ambao wameshashindwa.
6.Ngoma, Babacar, Sadio Kanoute, Freddy, Jobe, Saido imetosha sasa.
7. Nalia na Benchika, Benchika hana uwezo wowote kumzidi Mgunda.
8.Yanga pamoja na ushindi lakini ni wa kawaida sana.
9. Simba wangekuwa makini leo pamoja na ubovu wa wachezaji wao wangeweza kuifunga Yanga kama wangetumia nafasi vizuri.
10. Simba haina umoja kwa sababu watu walinyimwa dili za usajili tangu msimu uanze.
Bado hujamaliza kusema!!1. Beki Israel Mwenda amekuwa mtu wa kufanya makosa sana lakini Benchika anaendelea kumvumilia
2.Inonga Baka amejivunja makusudi na sasa Simba imuachie akaangalie maisha mengine.
3. Che Malone amepoteza uwezo wake wa kujiamini na amekuwa akitoa boko sana, atupishe.
4. Mabeki wa Yanga walimshindwa kabisa Kibu Dennis leo lakini Benchika akamtoa badala ya kumuacha ashambulie pamoja na Micquisone.
5. Sijui kwanini Benchika hamkubali Micquisone na anawakubali wachezaji ambao wameshashindwa.
6.Ngoma, Babacar, Sadio Kanoute, Freddy, Jobe, Saido imetosha sasa.
7. Nalia na Benchika, Benchika hana uwezo wowote kumzidi Mgunda.
8.Yanga pamoja na ushindi lakini ni wa kawaida sana.
9. Simba wangekuwa makini leo pamoja na ubovu wa wachezaji wao wangeweza kuifunga Yanga kama wangetumia nafasi vizuri.
10. Simba haina umoja kwa sababu watu walinyimwa dili za usajili tangu msimu uanze.
Kweli ugonjwa wa akili upo.Achana nae huyoUnaandika ujinga, kunywa maji mengi upumzike.
Una uthibitisho gani kama Inonga hakuumia? Au huko kujivunja?
Mabeki wa Yanga unasema walimshindwa Kibu kwani Kibu mbali na mimbio na minguvu ana madhara gani na uzuri wachezaji wa Yanga walikuwa wameshajua kumkaba.
Yanga kama ya kawaida kawaulize bingwa wa Algeria, Misri, Ghana na Africa kusini watakupa habari za Yanga. Umepigwa nje ndani halafu unasema Yanga ya kawaida
Malone hana kosa kabisa, yule bwana hana partener wa kumwamini. ni kama anacheza mwenyewe. inonga haaminiki tena, kisaokolojia anataka kuondoka simba msimlazimishe abaki.Wachezaji wa kimataifa wanaofaa kupewa mda ni Miquison,Babacar,Kanuti,Ngoma,Ayubu,Chama.
Inonga na Shemalone wana makosa makosa ya kudumu,Saido anatakiwa aondoke na viboko juu
Kipigo kikemchanganyaUmepigwa nje ndani halafu unasema Yanga ya kawaida
Unawaita wa kawaida na wamekutoboa mara mbili..umetoka sayari gani ww1. Beki Israel Mwenda amekuwa mtu wa kufanya makosa sana lakini Benchika anaendelea kumvumilia
2.Inonga Baka amejivunja makusudi na sasa Simba imuachie akaangalie maisha mengine.
3. Che Malone amepoteza uwezo wake wa kujiamini na amekuwa akitoa boko sana, atupishe.
4. Mabeki wa Yanga walimshindwa kabisa Kibu Dennis leo lakini Benchika akamtoa badala ya kumuacha ashambulie pamoja na Micquisone.
5. Sijui kwanini Benchika hamkubali Micquisone na anawakubali wachezaji ambao wameshashindwa.
6.Ngoma, Babacar, Sadio Kanoute, Freddy, Jobe, Saido imetosha sasa.
7. Nalia na Benchika, Benchika hana uwezo wowote kumzidi Mgunda.
8.Yanga pamoja na ushindi lakini ni wa kawaida sana.
9. Simba wangekuwa makini leo pamoja na ubovu wa wachezaji wao wangeweza kuifunga Yanga kama wangetumia nafasi vizuri.
10. Simba haina umoja kwa sababu watu walinyimwa dili za usajili tangu msimu uanze.
We ambaye ni bora umevuka robo?Ilikutana na wabovu wenzake ndio maana imepigwa nje ndani
Tusijifanye wataalamu kuliko makocha. Kuna kocha anaamua timu yake isiliamshe bila sababu? Wanajua faida na madhara, kwa hiyo si kweli hawakuamua, ila uwezo uliishia hapoKama yanga wangeamua waliamshe kipindi cha pili,kesho pale msimbaz pasingefaa,key players walipunguzwa kipind cha pili
Sent from my OPPO A83 using JamiiForums mobile app
Benchika Hana uwezo... 😁😁😁 Mkuu tumefungwa kihalali acha kuonesha ujinga hadharani!1. Beki Israel Mwenda amekuwa mtu wa kufanya makosa sana lakini Benchika anaendelea kumvumilia
2.Inonga Baka amejivunja makusudi na sasa Simba imuachie akaangalie maisha mengine.
3. Che Malone amepoteza uwezo wake wa kujiamini na amekuwa akitoa boko sana, atupishe.
4. Mabeki wa Yanga walimshindwa kabisa Kibu Dennis leo lakini Benchika akamtoa badala ya kumuacha ashambulie pamoja na Micquisone.
5. Sijui kwanini Benchika hamkubali Micquisone na anawakubali wachezaji ambao wameshashindwa.
6.Ngoma, Babacar, Sadio Kanoute, Freddy, Jobe, Saido imetosha sasa.
7. Nalia na Benchika, Benchika hana uwezo wowote kumzidi Mgunda.
8.Yanga pamoja na ushindi lakini ni wa kawaida sana.
9. Simba wangekuwa makini leo pamoja na ubovu wa wachezaji wao wangeweza kuifunga Yanga kama wangetumia nafasi vizuri.
10. Simba haina umoja kwa sababu watu walinyimwa dili za usajili tangu msimu uanze.
Nnaongoza ligi na nmempiga huyo kibonde nje ndani,We ambaye ni bora umevuka robo?
Hivi nyie huwa mashabiki wa Simba naona mnijibu leo. Ngoma na Freddy wana matatizo gani?6.Ngoma, Babacar, Sadio Kanoute, Freddy, Jobe, Saido imetosha sasa.
Hii hata Benchicka akikusikia atakuramba vibao vya usoni ku restore mindset yako8.Yanga pamoja na ushindi lakini ni wa kawaida sana.