Mambo 10 niliyoyaona leo Yanga Vs Simba

Mambo 10 niliyoyaona leo Yanga Vs Simba

1. Beki Israel Mwenda amekuwa mtu wa kufanya makosa sana lakini Benchika anaendelea kumvumilia

2.Inonga Baka amejivunja makusudi na sasa Simba imuachie akaangalie maisha mengine.

3. Che Malone amepoteza uwezo wake wa kujiamini na amekuwa akitoa boko sana, atupishe.

4. Mabeki wa Yanga walimshindwa kabisa Kibu Dennis leo lakini Benchika akamtoa badala ya kumuacha ashambulie pamoja na Micquisone.

5. Sijui kwanini Benchika hamkubali Micquisone na anawakubali wachezaji ambao wameshashindwa.

6.Ngoma, Babacar, Sadio Kanoute, Freddy, Jobe, Saido imetosha sasa.

7. Nalia na Benchika, Benchika hana uwezo wowote kumzidi Mgunda.

8.Yanga pamoja na ushindi lakini ni wa kawaida sana.

9. Simba wangekuwa makini leo pamoja na ubovu wa wachezaji wao wangeweza kuifunga Yanga kama wangetumia nafasi vizuri.

10. Simba haina umoja kwa sababu watu walinyimwa dili za usajili tangu msimu uanze.
Shabiki mpuuzi kama wewe ni wa kupuuza. Hiyo No.2 Una ushahidi wa Inonga kujivunja? Hujawahi hata kucheza chandimu unachonga mdomo kama Chuchunge!! Lomalisa katoka dakika ya 6 tu naye Yanga waseme kajivunja?
Halafu Mambo 10 ya mechi yanakuwaje ya upande mmoja kama siyo Uzuzu?
 
1. Beki Israel Mwenda amekuwa mtu wa kufanya makosa sana lakini Benchika anaendelea kumvumilia

2.Inonga Baka amejivunja makusudi na sasa Simba imuachie akaangalie maisha mengine.

3. Che Malone amepoteza uwezo wake wa kujiamini na amekuwa akitoa boko sana, atupishe.

4. Mabeki wa Yanga walimshindwa kabisa Kibu Dennis leo lakini Benchika akamtoa badala ya kumuacha ashambulie pamoja na Micquisone.

5. Sijui kwanini Benchika hamkubali Micquisone na anawakubali wachezaji ambao wameshashindwa.

6.Ngoma, Babacar, Sadio Kanoute, Freddy, Jobe, Saido imetosha sasa.

7. Nalia na Benchika, Benchika hana uwezo wowote kumzidi Mgunda.

8.Yanga pamoja na ushindi lakini ni wa kawaida sana.

9. Simba wangekuwa makini leo pamoja na ubovu wa wachezaji wao wangeweza kuifunga Yanga kama wangetumia nafasi vizuri.

10. Simba haina umoja kwa sababu watu walinyimwa dili za usajili tangu msimu uanze.
Bado hujamaliza kusema!!
11. Mangungu na Try Again watuachie timu yetu.
12. Mo aweke mzigo wa kueleweka ili tusajili wachezaji wa ukweli kama Caesar Manzoki.
13. Mechi zote za simba msimu ujao zichezeshwe na waamuzi Tatu Malogo na Ahmada Simba.
14. Mzee Kilomoni na Mwina Kaduguda wapewe timu.
15. Mechi zote dhidi ya Yanga zichezwe mchana wa jua kali, badala ya jioni/usiku.
 
Unaandika ujinga, kunywa maji mengi upumzike.

Una uthibitisho gani kama Inonga hakuumia? Au huko kujivunja?

Mabeki wa Yanga unasema walimshindwa Kibu kwani Kibu mbali na mimbio na minguvu ana madhara gani na uzuri wachezaji wa Yanga walikuwa wameshajua kumkaba.

Yanga kama ya kawaida kawaulize bingwa wa Algeria, Misri, Ghana na Africa kusini watakupa habari za Yanga. Umepigwa nje ndani halafu unasema Yanga ya kawaida
Kweli ugonjwa wa akili upo.Achana nae huyo
 
Wachezaji wa kimataifa wanaofaa kupewa mda ni Miquison,Babacar,Kanuti,Ngoma,Ayubu,Chama.
Inonga na Shemalone wana makosa makosa ya kudumu,Saido anatakiwa aondoke na viboko juu
Malone hana kosa kabisa, yule bwana hana partener wa kumwamini. ni kama anacheza mwenyewe. inonga haaminiki tena, kisaokolojia anataka kuondoka simba msimlazimishe abaki.
 
Huwa mna uhakika Simba na Yanga wakikutana hao ni wachezaji wa ukweli au misukule?

Mechi zao huwa mchezo mbovu sana wakikutana
 
1. Beki Israel Mwenda amekuwa mtu wa kufanya makosa sana lakini Benchika anaendelea kumvumilia

2.Inonga Baka amejivunja makusudi na sasa Simba imuachie akaangalie maisha mengine.

3. Che Malone amepoteza uwezo wake wa kujiamini na amekuwa akitoa boko sana, atupishe.

4. Mabeki wa Yanga walimshindwa kabisa Kibu Dennis leo lakini Benchika akamtoa badala ya kumuacha ashambulie pamoja na Micquisone.

5. Sijui kwanini Benchika hamkubali Micquisone na anawakubali wachezaji ambao wameshashindwa.

6.Ngoma, Babacar, Sadio Kanoute, Freddy, Jobe, Saido imetosha sasa.

7. Nalia na Benchika, Benchika hana uwezo wowote kumzidi Mgunda.

8.Yanga pamoja na ushindi lakini ni wa kawaida sana.

9. Simba wangekuwa makini leo pamoja na ubovu wa wachezaji wao wangeweza kuifunga Yanga kama wangetumia nafasi vizuri.

10. Simba haina umoja kwa sababu watu walinyimwa dili za usajili tangu msimu uanze.
Unawaita wa kawaida na wamekutoboa mara mbili..umetoka sayari gani ww
 
Kama yanga wangeamua waliamshe kipindi cha pili,kesho pale msimbaz pasingefaa,key players walipunguzwa kipind cha pili

Sent from my OPPO A83 using JamiiForums mobile app
Tusijifanye wataalamu kuliko makocha. Kuna kocha anaamua timu yake isiliamshe bila sababu? Wanajua faida na madhara, kwa hiyo si kweli hawakuamua, ila uwezo uliishia hapo
 
1. Beki Israel Mwenda amekuwa mtu wa kufanya makosa sana lakini Benchika anaendelea kumvumilia

2.Inonga Baka amejivunja makusudi na sasa Simba imuachie akaangalie maisha mengine.

3. Che Malone amepoteza uwezo wake wa kujiamini na amekuwa akitoa boko sana, atupishe.

4. Mabeki wa Yanga walimshindwa kabisa Kibu Dennis leo lakini Benchika akamtoa badala ya kumuacha ashambulie pamoja na Micquisone.

5. Sijui kwanini Benchika hamkubali Micquisone na anawakubali wachezaji ambao wameshashindwa.

6.Ngoma, Babacar, Sadio Kanoute, Freddy, Jobe, Saido imetosha sasa.

7. Nalia na Benchika, Benchika hana uwezo wowote kumzidi Mgunda.

8.Yanga pamoja na ushindi lakini ni wa kawaida sana.

9. Simba wangekuwa makini leo pamoja na ubovu wa wachezaji wao wangeweza kuifunga Yanga kama wangetumia nafasi vizuri.

10. Simba haina umoja kwa sababu watu walinyimwa dili za usajili tangu msimu uanze.
Benchika Hana uwezo... 😁😁😁 Mkuu tumefungwa kihalali acha kuonesha ujinga hadharani!
 
6.Ngoma, Babacar, Sadio Kanoute, Freddy, Jobe, Saido imetosha sasa.
Hivi nyie huwa mashabiki wa Simba naona mnijibu leo. Ngoma na Freddy wana matatizo gani?

Huwa naona comments nyingi sijui hawafai mara hivi mara vile ila sijawahi kuelewa hawa watu wamasemwa vibaya kwa sababu zipi hasa?
 
Back
Top Bottom