Watu wameenda kwa 3, unasema lingeingia match imeisha, ina maana 3 kwa 2 hao waarabu koko wangeenda makundi?Camara saves of the match,maana pale kama lingeingia mechi ilikiwa imeshia pale.
Watuu wakachoma la 3, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ile ni offside, hata mimi nilishangaa goli kukataliwa ila baada ya mechi Azam waliirudia lile tukio. Unaona mshika kibendera alinyoosha kibendera mapema kabisa baada ya mchezaji aliyepo kwenye offside position kuuingilia mchezo. Refa wa kati ndiye aliyechelewa kuona.
Dawa ya maumivu uliyonayo leo, ninayo wahii upate tibaaa.Ilo ndio pira Irizi, timu haijulikani inacheza Nini lakini Magoli yanapatikana[emoji2][emoji2]
Na medali zake zenye shanga ndiyo tunsjivunia sisi Yanga aka utopolo.Ambayo tuliingia fainali
Hilo mwaka huu la kwetu.Na medali zake zenye shanga ndiyo tunsjivunia sisi Yanga aka utopolo.
Na nyie wamama wajane mmezitunza medali zenu...Haya ndo mashindano ya akina Mama
Kwa sasa ndiyo mumehamia huku?Zilikutana pipa na mfuniko timu zote 2, Hawa waarabu wangekutana na yanga hakika wangechapika kuanzia kule kule kwao na uku wangeondoka na aibu ya mwaka, Simba imeingia group stage lakini timu bado sana tunawaambia, kama Hawa waarabu tu weupe hivi wanakupa tabu vipi ukikutana na timu inayojielewa itakuwaje?
Si huwa mnasema Uchawi haupo? Imekuwaje tena?Ilo ndio pira Irizi, timu haijulikani inacheza Nini lakini Magoli yanapatikana😃😃
Labda anamaanisha CBE mkuuTimu zinazojielewa ni zipi embu zitaje tuone kama.unajua kweli mpira , na ukitaja timu taja na mifumo wanayocheza na ulinganishe na simba na uelezee kwa kirefu kwanini mfumo wa hio timu utaushinda mfumo wa simba..
Fanya haraka tupe.jibu
kuna dogo wenu mmoja anaitwa shabalala, hata kama mnamtukana kuwa amezeeka, ni mtu mbadi sana yule, kijana yule hata timu ya taifa kama ataendelea hivyo atacheza hata akiwa na miaka 40. ana uwezo mkubwa na siku zote huwa anawasaidia sana.1. Mchezo ulikuwa mzuri lkn ulitaka kuwa mgumu baada ya Mabululu kututanguliza na waarabu kuweka viungo wengi kati kuliko sisi ambao tulimtegemea sana Kagoma na Fernandez
2. Che Malone ameanza kutupanda kichwani, yeye na Hamza uchezaji wao uko slow sana na kama tungecheza na timu kubwa kama zile za Champions leo kufuzu ingekuw ngumu
3. Timu aliishika sana Kibbu Denis leo, nilitukana na kulaani sana alipotolewa kabla ya Joshua Mutale. Kumtoa Kibbu kungeweza kutugharimu sana
4. Kweli nimeamini refa alipewa gemu kujaribiwa, unawezaje kukataa clear goal namna ile
5. Ukweli ni kuwa viungo wetu wa pembeni bado wana kazi kama tunahitaji mafanikio, afadhali nimemuona jukwaani Elie Mpanzu
6 Lionel Ateba ni mtu hatari sana kwa usalama wa Taifa
7. Jean Charles Ahoua bado hajaniridhisha kabisa kiwango chake alipaswa kukaa benchi kitambo t
8 Mussa Camara na Kibbu Denis ndio Nyota wa mchezo leo
9 Fahdu aambiwe tumeshinda leo lkn bado Simba haichezi mpira mzuri na hata sub pia zinamshinda
10 Mabululu anaipenda Sana na mshambuliaji aliyekamilika 100%, Simba inaweza kumuacha Mukwala ikambeba Mabululu
Nimefurahi sanaaaaaa leo
Soma Pia: FT: Simba SC 3-1 Al Ahly Tripoli | CAFCC | 2nd Leg | Benjamin Mkapa Stadium | 22-09-2024
Kama wale makarani wa fedha, mmewafunga Sita tu, mgeigunga mengi timu iliyowekeza ksma ile.Zilikutana pipa na mfuniko timu zote 2, Hawa waarabu wangekutana na yanga hakika wangechapika kuanzia kule kwao na wangeondoka na aibu ya mwaka, Simba imeingia group stage lakini timu bado tunawaambia, kama Hawa waarabu tu weupe hivi wanakupa tabu ukikutana na timu inayojielewa. itakuwaje?
Ndiyo maana tulimnunua. Hata Utopolo bila Diarra ingekuwa bado inafukuza makochaCamara saves of the match,maana pale kama lingeingia mechi ilikiwa imeshia pale.
Sure,wenzetu wako serious na uwekazaji kwenye mpiraAda ya usajili ya mabululu unajenga reli ya SGR toka kibaha mpaka mlandizi,mshahara wake wa mwezi ni mafao ya mwalimu kwa miaka 35 kazini
No 6 uko sahihi, shabalala anapenda kuingia Kat na kuacha pembeni pawe wazi.1. Waliompa jina Camara kuwa ni "spiderman" hawakukosea. Lile shuti la Mabululu wakati Camara anarudi upande mwingine ni makipa wachache sana wanaweza kufanya ile "save". Na kwa muda ule lingekuwa goli basi mechi ingeishia pale pale.
2. Che Malone anajiamini kupita kiasi huku anafanya makosa ya wazi kabisa wakati yeye ni mtu wa mwisho. Asipojirekebisha ipo siku ataichomesha Simba.
3. Benchi la ufundi Simba ni kweli lilichemsha mno na kuifanya ngumu baada ya kumuacha Mutale muda mrefu uwanjani wakati mechi ilishamshinda. Na mbaya zaidi unamtoa Kibu unamuacha Mutale anazurura uwanjani akipata mpira badala atoe pasi anakaa nao muda mrefu mpaka anayang'anywa.
4. Nilipongeze benchi la ufundi la Simba kwa kuanza kufanyia kazi " counter attack".
5. Magori na kamati yake wajulishwe kuwa bado Simba inahitaji namba 10 mwingine wa kumuongezewa Ahoua nguvu. Anatakiwa namba 10 hasa wa kulainisha mambo pale mbele.
6. Watu wengi wanalaumu mabeki wa kati kwenye goli alilofungwa Simba. Lakini mimi nawakumbusha tu mchezaji wa timu pinzani alipiga "free header" kuingiza mpira kati. Hayo makosa mara nyingi sana Kapombe na Mohamed Hussein wanayarudia sana wanashindwa ku screen mchezaji wa mwisho wakati faulu inapigwa.
7.Kwa Ateba walau Simba wamepata mtu. Kadri anavyocheza anaonyesha kuimarika akiendelea hivi atakuwa msaada sana kwa Simba.
Ni mtizamo tu
Shetani upo kwenye ubora wako na utanena sana kwa lugha....Zilikutana pipa na mfuniko timu zote 2, Hawa waarabu wangekutana na yanga hakika wangechapika kuanzia kule kule kwao na uku wangeondoka na aibu ya mwaka, Simba imeingia group stage lakini timu bado sana tunawaambia, kama Hawa waarabu tu weupe hivi wanakupa tabu vipi ukikutana na timu inayojielewa itakuwaje?
Mashetani wamebaki upande wenu maana wanaokoka na kuusema ukweli kama mwanachama wenu mtiifu bwana Kaduguda kwamba mpo kwenye kombe la wakinamama, na mmekutana wote ni sanda na maiti akukuwepo na mwenye nafuu!Shetani upo kwenye ubora wako na utanena sana kwa lugha....
Tuliwabeba wake zetu mashindano haya tukaongeza nafasi, sasa wao wanalisha nyumba siku hizi wanaleta mdomo.Haya ndo mashindano ya akina Mama