Mambo 10 niliyoyaona Simba ikiikaanga Al Ahly Tripoli ya Libya

Camara saves of the match,maana pale kama lingeingia mechi ilikiwa imeshia pale.
Watu wameenda kwa 3, unasema lingeingia match imeisha, ina maana 3 kwa 2 hao waarabu koko wangeenda makundi?

Nina dawa ya maumivu uyasikiayo, hata usipate tabu, poleee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Watuu wakachoma la 3, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Vipi nalo Off side? Mtasemaa yotee leoo.
 
Ilo ndio pira Irizi, timu haijulikani inacheza Nini lakini Magoli yanapatikana[emoji2][emoji2]
Dawa ya maumivu uliyonayo leo, ninayo wahii upate tibaaa.
Poleee wee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa sasa ndiyo mumehamia huku?
 
Kwa kifupi simba imecheza vizuri sana, narudia imecheza vizuri sana
 
Timu zinazojielewa ni zipi embu zitaje tuone kama.unajua kweli mpira , na ukitaja timu taja na mifumo wanayocheza na ulinganishe na simba na uelezee kwa kirefu kwanini mfumo wa hio timu utaushinda mfumo wa simba..
Fanya haraka tupe.jibu
Labda anamaanisha CBE mkuu
 
kuna dogo wenu mmoja anaitwa shabalala, hata kama mnamtukana kuwa amezeeka, ni mtu mbadi sana yule, kijana yule hata timu ya taifa kama ataendelea hivyo atacheza hata akiwa na miaka 40. ana uwezo mkubwa na siku zote huwa anawasaidia sana.
 
Kama wale makarani wa fedha, mmewafunga Sita tu, mgeigunga mengi timu iliyowekeza ksma ile.
 
No 6 uko sahihi, shabalala anapenda kuingia Kat na kuacha pembeni pawe wazi.
 
Kwa simba hii mdebwedo furaha ni ya muda mfupi tu!! Kupiga timu mbovu si kipimo cha ubora!!
 
.

✍🏻Kipindi cha kwanza kwenye build up ya Simba SC kulikuwa na tatizo la kimuundo :

1: Distance kubwa kutoka mstari wa walinzi wa kati kwenda viungo na mstari wa mwisho wa ushambuliaji kiais kwamba Malone na Hamza walikuwa wanalazimika kupiga sana mipira mirefu

2: Tripoli walichofanya ni kuzuia kwa 4-4-1-1 namba kumi wao anakuwa anasimama na Fernandes maana ya anawanyima options mabeki wawili kupasia fupi kwa Fernandes ( ambaye ndio progressor mkuu )

✍🏻Ni sawa pia Tripoli ambao game plan yao inaonekana ni kumeza mashambulizi na kucheza kwa counter attacks lakini haikuwa na ufanisi kwanini ?

1: Hawana wingers wenye spidi sana ambao wa kum support Mabululu

2: Distance kubwa baina ya Mabululu na viungo washambuliaji kiasi kwamba second balls zote zilikuwa kwa Fernandes na Kagoma

✍🏻Kipindi cha pili Simba SC walikuwa better , vitu ambavyo hawakufanya kipindi cha kwanza , cha pili walifanya vizuri

1: Distance ndogo baina ya mistari yote mitatu maana yake inarahisisha kusogea na mpira mbele kutoka nyuma

2: Muundo mzuri wa ulinzi pale ambapo wana mpira ( si chini ya wachezaji wanne nyuma ) maana yake hata mpira ukipotea wapo salama dhidi ya transition

3: Movements sahihi hasa kwa wale ambao hawana mpira , kipindi cha kwanza kuna nyakati walikuwa wanaenda sana sehemu moja , cha pili tofauti .

4: Decision making hasa kwenye counter attacks ( idadi ya wachezaji wanaoenda mbele , spidi , passing , finishing )

5: Work rate , hakukuwa na abiria uwanjani .

NOTE

1: Reaction ya wachezaji kurudi mchezoni kipindi hiko hiko cha kwanza ilikuwa nzuri . Fanya ufanyavyo ufunge goli kwa namna yoyote ile ( mpira uliokufa , makosa ya mpinzani , uwezo binafsi etc etc )

2: Nafasi mbili kwa Mabululu moja kambani moja save ya Camara

3: Kila nikifikira ile offside imetokea wapi ? 🤔

4: Ahoua kipindi cha pili aliwaka sana , anaficha mali , decision making .

5: Kibu D spidi na power 🔥

6: Balua kauwa mechi , Camara kashinda mechi na ile Save

7: Beki wa kushoto wa Tripoli anajua boli

8: Ateba : Nguvu , Spidi , anatunza mali goli akilipa mgongo la mpinzani , kazi ya lone striker 🔥

FT: Simba SC 3-1 Tripoli C/P
 
Shetani upo kwenye ubora wako na utanena sana kwa lugha....
 
Shetani upo kwenye ubora wako na utanena sana kwa lugha....
Mashetani wamebaki upande wenu maana wanaokoka na kuusema ukweli kama mwanachama wenu mtiifu bwana Kaduguda kwamba mpo kwenye kombe la wakinamama, na mmekutana wote ni sanda na maiti akukuwepo na mwenye nafuu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…