Mambo 10 niliyoyaona Simba vs Tabora

Mambo 10 niliyoyaona Simba vs Tabora

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
1.Awesu Awesu fundi wa mpira
2.Awesu Awesu Fundi wa mpira
3.Awesu Awesu Fundi wa mpira
4.Awesu Awesu fundi wa mpira
5.Jeans Charles Ahoua anamfanya Mukwala aonekane nyoka wa kibisa, nafasi yake asimame Awesu Awesu
6.Okajeph au Kagoma ndio mbadala wa Mzamiru, Mzamiru anachelewesha sana mipira
7.Abdulrazak Hamza mzawa halisi wa kibongo
8.Timu bado inacheza kwa slow iongeze spidi
9.Mukwala anaonekana mchovu kwa sababu ya Ahoua
10.Kiungo wa chini awe Okajepha, wa juu Debora kumi Awesu Awesu fundi wa boli, nna hakika ipo siku mtu anakula 8
 
1.Awesu Awesu fundi wa mpira
2.Awesu Awesu Fundi wa mpira
3.Awesu Awesu Fundi wa mpira
4.Awesu Awesu fundi wa mpira
5.Jeans Charles Ahoua anamfanya Mukwala aonekane nyoka wa kibisa, nafasi yake asimame Awesu Awesu
6.Okajeph au Kagoma ndio mbadala wa Mzamiru, Mzamiru anachelewesha sana mipira
7.Abdulrazak Hamza mzawa halisi wa kibongo
8.Timu bado inacheza kwa slow iongeze spidi
9.Mukwala anaonekana mchovu kwa sababu ya Ahoua
10.Kiungo wa chini awe Okajepha, wa juu Debora kumi Awesu Awesu fundi wa boli, nna hakika ipo siku mtu anakula 8
ongezea chasambi nae aingie kwenye mfumo dogo mzuri sana huyu nae
 
1.Awesu Awesu fundi wa mpira
2.Awesu Awesu Fundi wa mpira
3.Awesu Awesu Fundi wa mpira
4.Awesu Awesu fundi wa mpira
5.Jeans Charles Ahoua anamfanya Mukwala aonekane nyoka wa kibisa, nafasi yake asimame Awesu Awesu
6.Okajeph au Kagoma ndio mbadala wa Mzamiru, Mzamiru anachelewesha sana mipira
7.Abdulrazak Hamza mzawa halisi wa kibongo
8.Timu bado inacheza kwa slow iongeze spidi
9.Mukwala anaonekana mchovu kwa sababu ya Ahoua
10.Kiungo wa chini awe Okajepha, wa juu Debora kumi Awesu Awesu fundi wa boli, nna hakika ipo siku mtu anakula 8
Fundi wa mpira katika mechi 1 tu, Aden Rage azidishiwe tuzo kwa kuvumbua jinsi Makolokolo walivyo Mbumbumbu.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Fundi wa mpira katika mechi 1 tu, Aden Rage azidishiwe tuzo kwa kuvumbua jinsi Makolokolo walivyo Mbumbumbu.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Kwavile kafunga, umesahau alivyoimbwa Jobe alivyoingia uwanjani mashabiki wa Simba hawakutaka kusubiria muda wakaanza kumsifia Jobe ni bonge la fundi halafu wakamsema Freddy kuwa ndio garasa.
 
Awesu ndio anamalizia mpira wake ,

Mngemuona kipindi yupo Arusha anacheza ndondo 2010 mngesemaje?

Nashangaa Leo et ana miaka 28

Ina maana kipind kile anakichafua Sheikh Amri Abeid pale Arusha alikuwa ana miaka 14?
 
Awesu ndio anamalizia mpira wake ,

Mngemuona kipindi yupo Arusha anacheza ndondo 2010 mngesemaje?

Nashangaa Leo et ana miaka 28

Ina maana kipind kile anakichafua Sheikh Amri Abeid pale Arusha alikuwa ana miaka 14?
Hahhaahha
 
Back
Top Bottom