Mambo 10 ya kisayansi yanayothibitisha kuwa VVU sio chanzo UKIMWI

Mambo 10 ya kisayansi yanayothibitisha kuwa VVU sio chanzo UKIMWI

poverty eliminator

Senior Member
Joined
May 31, 2015
Posts
109
Reaction score
150
Maelezo haya yameegemea katika upande wa nadhari ya HIV/AIDS kwamba ni nadharia ambayo ni ya uongo/utapeli. Maelezo haya hayatolewi kama ushauri au maelekezo ya kitabibu.

Mleta maelezo haya kamwe hatowajibika katika masuala binafsi ya matibabu ya mtu kutokana na maelezo haya. Isipokuwa maelezo haya yanatolewa kama sehemu ya elimu na kupeana ufahamu wa mambo yanayoendelea katika huu ulimwengu.

Kumbuka maelezo haya si sheria au msahafu. ("If you want to hide something from African, put it in a book")

Hizi ndiyo sababu kumi za kisayansi kwanini kirusi cha HIV hakiwezi kusababisha UKIMWI, kwa kuanza tuchukue microscope na kukiangalia kirusi kwa ukaribu kama ifuatavyo;

1. HIV KIKIWA KAMA VIRUSI VINGINE HAKINA MADHARA BAADA YA KINGA YA MWILI KUWA GENERATED

HIV hakina tabia tofauti na virus wengine. Kirusi kinapofanya infection kwenye mwili wa binadamu huwa kinavamia seli za binadamu husika na kujidurufu (replicating) katika kiwango kikubwa sana na kuzalisha chembechembe mpya za virusi ambavyo hujimwaga kwenye mkondo wa damu (blood stream) na kuathiri seli zaidi; hiki ni kipindi ambacho kiwango kikubwa cha virusi kinaweza kuwa isolated kutoka kwa mgonjwa na dalili za ugonjwa zinaanza kuwa wazi au kuonekana.

Katika hatua hii mfumo wa kinga ya mwili huwa una respond kwa haraka kwa kuzalisha antibody protini maalumu kwa ajili ya kushambulia na kuangamiza hizi chembe chembe za virusi. Wakati huu mpambano kati ya antibody protini na chembechembe za virusi unapopamba moto antibodies zinalishwa kwa haraka sana na kudhoofisha virusi ambao wako active mwilini. Ingawa katika baadhi ya kesi kama za virusi vya ugonjwa wa malengelenge (Herpes) wanaweza kuendeleza maambukizi kwa kujificha kwenye baadhi ya tishu.

Virusi wa kundi la retrovirus kwa asili yao hupenyeza taarifa zao za kijenetiki katika seli za binadamu au mnyama ambazo zimeathiriwa na kuwa virusi mfu (dormant virus) mara tu vinapo angaamizwa na mfumo wa kinga ya mwili.

Kirusi cha HIV kikiwa kama virusi wengine kinaweza kufikia kiwango cha juu cha virusi (Kiwango cha chembechembe laki moja (100, 000) kwa mililita moja ya damu) kwa mara ya kwanza kinapoaathiri mwili wa binadamu. Lakini kwa watu wengi kirusi cha HIV kinakuwa kimeshaharibiwa na antibody ambayo imezalishwa na mwili zidi ya kirusi husika.

Antibody ndiyo sababu inayotufanya tuwe na kinga ya maisha zidi ya magonjwa kama Polio. Ironically mtu anapopimwa na kukutwa positive, kinachopimwa sio virusi bali ni antibody ambayo imezalishwa kupambana na hao virusi.

Mtu anapopimwa na kukutwa positive, maana yake mwili wa mtu huyo umezalisha kinga zidi virusi yaani maana yake huyu mtu yuko salama zidi ya hao virusi.

Kumbuka: Virusi wote husababisha ugonjwa kabla ya kinga ya mwili haijazalishwa (Before Antibody to be around not after).

Haijawahi kutokea kirusi kikasababisha ugonjwa baada ya kinga ya mwili kufanya kazi yake…….bali UKIMWI ndivyo unavyotafsiriwa yaani mtu anaweza kuwa infected sasa akaja kuugua miaka kumi baadaye.

Wanasayansi wengi wanajiuliza kwanini ukweli huu umepinduliwa juu chini?

Na kwanini pesa nyingi zinatumika kutafuta kinga zidi ya HIV wakati kinga tayari ipo baada ya mtu kukutwa positive anapoenda kupima?

2. HIV HAINA UWEZO WA KUUA T-SELI INAZOZIAMBUKIZA

H.I.V vinaweza tu kuiua T-Seli yake kwa nadra sana katika majaribio ya kimaabara. Na ni ukweli uliowazi, Robert Gallo mwenyewe ambaye ni Co Founder Of HIV na watafiti wengine wa HIV Hutumia T-Seli ili kukuza virusi sababu T-Seli huishi katika mfanano (Compatibly) na HIV.

3. HIV HAINA UWEZO WA KUATHIRI T-SELI ZA KUTOSHA KIASI CHA KUSABABISHA UKIMWI

Mara tu mwili unapozalisha kinga na kuangamiza virusi vya HIV, virusi wengi wanakuwa wameangamizwa, hivyo hawana uwezo wa kuua T-seli kiasi cha kushusha mfumo mzima wa kinga wa binadamu.

T-seli huzalishwa kwa kiwango cha 5% kila siku na HIV ina uwezo wa kuathiri T-seli moja tu kati ya T-seli 1000, hata waanzilishi wa nadharia ya HIV/AIDS wanakili kuwa ni changamoto kwao kuelezea kiwango hiki kidogo cha kuharibiwa T-seli na kirusi cha HIV. Ili HIV iwe na uwezo wa kusababisha UKIMWI inapaswa kuua nusu ya T-seli.

4. HIV HAINA GENE YA UKIMWI

HIV haina gene maalumu au sababu ya pekee ya kijenetiki kusababisha UKIMWI.
Retrovirus wote wana gene kuu tatu, nazo ni; GAG, ENV, POL. HIV inafanana na retrovirus wengine wote kijenetiki. Na kitu ambacho watu wengi hawakifahamu ni kwamba kuna retrovirus 50-100 katika mwili wa mtu mwenye afya na wote wako chini ya ulinzi wa mfumo wa kinga. HIV haina tabia tofauti ambazo hawa retrovirus wengine hawana.

Swali linakuja, kama hawa retrovirus wengine hawasababishi ukimwi, kwanini HIV isababishe UKIMWI? Na kama HIV inasababisha UKIMWI kwanini hawa virusi wengine hawasababishi?

Hivyo basi hakuna sababu ya kijenetiki inayoweza kuelezea kwanini HIV inasababisha UKIMWI.

5. HAKUNA KITU KINACHOITWA KIRUSI WA POLEPOLE

HIV inasemekana kuwa ni kirusi cha polelepole sababu inachukua miak 10 mpaka 12 kusababisha UKIMWI, yaan kutoka siku ya maambukizo mpaka kuanza kuonyesha dalili za UKIMWI.

Njia pekee ya kuulezea hili ni kukipa kirusi cha HIV nguvu za kiuchawi au za giza (magical power) za kujiamsha(reactivate), kujibadili (mutate), kuhama (migrate) na kupumbaa( hiberanate).

Waanzilishi wa nadharia ya virusi wa polepole ni Gajdusek na Dr.Robert Gallo, waliitumia hii nadharia kama janja ya kuwapumbaza watu pindi virusi vyao viliposhindwa kufanya kazi.

According to Dr.Peter Duesberg " There is no such thing as a slow virus…..Only Slow Virologists"
Kwa lugha ya nyumbani ni kwamba "Hakuna kitu kinachoitwa virusi wa polepole………bali kuna wanavirusi wa polepole"

Virusi wote wakiwemo virusi wa kundi la retrovirus husababisha ugonjwa ndani ya siku kadhaa, wiki au kipindi kisichozidi mwezi baada ya kufanya infection. Kipindi hiki kwa lugha ya kitaalamu hujulikana kama Incubation Period.

Kipindi hiki cha Incubation Period hutegemeana na Generation time ya kirusi husika, yaan ule muda ambao kirusi anautumia kuzalisha chembechembe mpya na kuathiri seli.

Kipindi hiki (Generetion Time) kwa virusi wote ambao husababisha magonjwa kwa binadamu huwa akizidi wiki au wiki 2, ikizidi sana wiki 3. Kwahiyo chochote ambacho kinaweza kufanywa na kirusi katika mwili wa binadamu basi hufanywa katika kipindi hiki, kama kirusi kitashindwa kufanya madhara ndani ya kipindi hiki basi kirusi hicho sio sababu ya ugonjwa husika.

Kwa kuzingatia ukweli huu wa kisayansi HIV imeshindwa kusababisha UKIMWI katika kipindi cha siku kadhaa, wiki au mwezi. Hivyo HIV haiwezi kuwa sababu ya UKIMWI.

Kumbuka:

Wakati ukimwi unaanzishwa mwaka 1984 incubation period ya ugonjwa wa ukimwi ilikuwa ni mwaka mmoja tu, lakini hadi kufika mwaka 1996 incubation iliongezeka hadi kufikia miaka 10-12. Leo hii 2015 si kumi tena ni zaidi ya kumi 12.

6. HIV SIO KIRUSI KIPYA HIVYO HAKIWEZI KUSABABISHA UGONJWA MPYA

Kutokana na maelezo yaliyotolewa June 1995 na kituo cha kudhibiti magonjwa marekani (CDC), kesi ya UKIMWI kwa marekani iiliongezeka kutoka sifuri (0) mwaka 1980 mpaka kufikia laki nne na sitini elfu mia tisa sabini na tano (460,975) mwaka 1995.

Kutokana na ongezeko hilo iliaminika kwamba HIV lazima kitakuwa kirusi kipya ambacho ndiyo kinasababisha ugonjwa wa UKIMWI.

Lakini swali la msingi ambalo waanzilishi nadharia wa UKIMWI wamelikwepa, HIV ina muda gani hapa duniani? Na Imetokea wapi?

Baadhi ya wanasayansi wanasema HIV imeanzia Africa, lakini kutokana na kanuni ya mwanasayansi Farr (FARR'S LAW), HIV imekuwa ikiathiri kila kizazi kwa karne nyingi bila kusababisha UKIMWI.

Hivyo HIV ni kirusi ambacho kimekuwepo enzi na enzi na kimekuwa kikisafirishwa kwa njia ya perinatally, yaan kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto.

KUMBUKA:

Njia ambayo ni efficiently kwa Kirusi cha HIV kusafirishwa (transmitted) ni kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto.

7. KIRUSI CHA HIV KIMEFELI KANUNI ZA KOCH

Kanuni ya kimataifa inayotumiwa na wanasayansi kutambua iwapo ni kweli ugonjwa umesababishwa na maambukizi, ilitengenezwa zaidi ya miaka mia moja iliyopita na mwanasayansi Robert Koch (The Father of Bacteriology).

Kanuni hiyo ya Koch inasema:
Kiumbe (kirusi):
  • Lazima kipatikane katika matukio yote ya ugonjwa huo.
  • Lazima kijipoteze kutoka kwa mwenyeji wake na kujikuza binafsi
  • Lazima kisababishe ugonjwa ule ule sawa wakati kimedungwa kwa mwenyeji mpya mwenye afya.
  • Lazima kipatikane kinakua tena katika ugonjwa wa mwenyeji wake (host/cell).
  • Lazima mbegu za kirusi kupatikana katika matukio yote ya magonjwa. VVU/HIV KIMEFELI.
  • Asilimia 10 na 20 ya wagonjwa wa UKIMWI hawana VVU/HIV.
  • Ni kiasi kidogo tu cha VVU, kwa kawaida virusi mfu (dormant), ndiyo vinaweza kupatikana katika watu wenye UKIMWI.
  • Kadhalika ni lazima mbegu ya kirusi (germ) pekee itoke kwa mwenyeji na kukua na kuwa kirusi binafsi. Hili VVU/HIV KIMEFAULU – lakini katika baadhi tu ya watu sababu ya kiteknolojia:
  • Kiasi kikubwa cha tishu za seli zinahitajika ili kupata VVU. VVU/HIV kinahitaji mchakato wa kikemikali ikiwa ni pamoja na kuamka, kinyume chake, kiasi kikubwa cha virusi walioamshwa wanaweza kupatikana pamoja na virusi wengine.
  • VVU/HIV havisababishi UKIMWI/AIDS katika majaribio kwa wanyama kama sokwe.
  • Wahudumu wa afya ambao kwa bahati mbaya huambukizwa VVU wakati wakitimiza majukumu yao mara chache huugua Ukimwi isipokuwa kama ni watumiaji wa madawa ya kulevya au AZT.
  • Kadhalika ni lazima mbegu kupatikana ikiongezeka tena katika ugonjwa mpya unaoletwa na kirusi hicho hicho cha aina moja. VVU/HIV KIMEFELI Kanuni hii – kutokana na kuferi kanuni namba 3.
HIV/ VVU imefeli kanuni hizi.
Wanasayansi wa VVU/UKIMWI wanadai kwamba Kanuni za Koch ni za zamani na zipo nje ya wakati (outdated) katika sayansi za kisasa. Lakini wao wamesimama na mitihani ya muda. Nadharia za magonjwa amabayo yamepuuza kanuni za Koch, zote zimefeli; nadharia ya kuambukiza ya kiseyeye (scurvy), pellagra, beriberi, SMON na utafiti juu ya virusi wa kansa, magonjwa haya yote yamefeli sababu za kupuuza kanuni za Koch. Na sasa VVU / UKIMWI?

8. UKIMWI umebakia ugonjwa wa makundi yale yale ya awali hatarishi kwa zaidi ya miongo 3:

Ikiwa ugonjwa hausambai, lazima uwe umesababishwa na kitu kingine kisicho cha kuambukiza. Kituo cha kudhibiti magonjwa cha Marekani (CDC) kimethibitisha hilo katika taarifa yake mwaka (1997) kwamba UKIMWI hauenei sawa katika jamii nzima.

UKIMWI katika makundi hatarishi (Marekani, 1995/96):
  • Mashoga wanaume 54%
  • Watumiaji wa madawa ya kulevya (IV drug users) 32%
  • Hemofilia 1%
  • Waongezewa damu 1%
  • Mapenzi ya jinsia tofauti 9%
  • Watoto 1%
Jumla: 97%

IKiwa ni kweli UKIMWI unasababishwa na virusi vya Ukimwi, wagonjwa wa UKIMWI wasio katika makundi hatarishi walitakiwa wawe wanaongezeka zaidi ya wastani wa asilimia 10% kadiri ugonjwa unavyosambaa.

Kumbuka kwamba wakati jeshi la Marekani lilipokuwa likifanya vipimo kwa makuruta liligundua kuwa matokeo ya watu waliopima na kukutwa na VVU yalikuwa yamegawanyika hamsini kwa hamsini, asilimia (50%) wanaume na wanawake asilimia (50%). Hata hivyo, asilimia 85% ya wagonjwa wa UKIMWI nchini Marekani ni wanaume.

Kumbuka pia kwamba nchini Marekani wanaume hutumia zaidi ya asilimia 80 ya madawa yote makali ya kulevya. Kati ya wanawake wenye UKIMWI, asilimia 60% wanakiri kutumia madawa makali ya kulevya.

9. Uwiano wa watu wenye Ukimwi kimataifa unatofautiana sana (Nchi za Viwanda na Afrika)

Ugonjwa wa kuambukizana kadhalika utaleta uwiano wa idadi ya watu katika njia hiyo hiyo duniani kote. kuzuka kwa kipindupindu katika India na Honduras kutakuwa na kiasi hicho hicho. Lakini UKIMWI ni tofauti kabisa katika Marekani au katika nchi za viwanda za magharibi na nchi za Afrika.

UKIMWI katika Afrika ulipaswa kuwa mara 14 juu kuliko katika Marekani. Badala yake, watu wenye VVU Marekani huanza kuugua UKIMWI kwa kasi zaidi mara10 hadi 20 kuliko katika Afrika. Hii ina maana kwamba, wakati muda wa kuishi kwa matumaini ukikadiriwa kuwa miaka 10 hadi 15 nchini Marekani, katika bara la Afrika ni angalau miaka 100-150!

10. UKIMWI hutokea bila ya maambukizi ya VVU na watu wengi wenye VVU kamwe hawaoneshi kuugua UKIMWI:

Ushahidi wa nadharia isemayo VVU = UKIMWI imeegemea tu juu ya uhusiano (correlation). Sababu virusi/hiv hupatikana katika wagonjwa wengi wa UKIMWI, ikadhaniwa huenda hiv/vvu husababisha UKIMWI. Lakini mantiki ya dhana hii ina dosari kwa sababu uhusiano (correlation) hauwezi kuthibitisha Usababisho (Causation), ni kama kusema kila anayefaulu mitihani basi anajisomea sana!

Utokeaji wa kawaida wa VVU/HIV katika wagonjwa wa UKIMWI si ushuhuda tena kwamba VVU husababisha UKIMWI, ni sawa na kusema pia kunguru akisimama kwenye nyanya za umeme ni uthibitisho wa kukatika umeme!

Hivyo, kama VVU na UKIMWI havihusiani, ni rahisi kupata watu wenye UKIMWI bila kuwa na VVU na watu wenye afya ambao wanaishi na VVU lakini kamwe hawauguwi UKIMWI. Na hicho ndicho kinachotokea.

Katika Afrika utafiti umeonyesha zaidi ya asilimia 65% ya wagonjwa wa UKIMWI hawana VVU. Katika Afrika vipimo chanya kwa HIV katika kinga ya mwili havina muhimu kwa ajili ya kuripoti wagonjwa wa UKIMWI; dalili za kuugua muda mrefu zinatosha.

Kesi 4,621 za UKIMWI bila VVU zimejitokeza katika Kituo cha kudhibiti magonjwa cha Marekani (CDC), ripoti ya hadi 1993. Na idadi inaweza kuwa kubwa zaidi lakini tafsiri rasmi ya UKIMWI imeundwa ili kuondoa kabisa UKIMWI bila ya V.V.U.

UKIMWI unatofautiana karibu na ugonjwa wowote ambao umewahi kutokea duniani kutokana na ukweli kuwa hauna dalili maalumu za ukweli za kudumu.

UKIMWI ni neno mwamvuli kwa ajili ya magonjwa mengine zaidi ya 29 ya zamani na mmoja ambao siyo ugonjwa (wa chembechembe za seli T4 wa chini ya 200/ul ya damu) wakati mtu amekutwa na kinga dhidi ya VVU anapofanya vipimo vya ukimwi.

Namna tafsiri ya UKIMWI ya CDC inavyofanya kazi:
  • Kaposi sarkoma + HIV = UKIMWI
  • kaposi sarkoma – VVU = kaposi sarkoma
  • Pneumonia + HIV = UKIMWI
  • Pneumonia – VVU = Pneumonia
  • Dementia (matatizo ya akili) + HIV = UKIMWI
  • Dementia – VVU = Dementia
  • Chembechembe chini ya 200 za seli T4 + HIV = UKIMWI
  • Chembechembe chini ya 200 za seli T4 – VVU = hakuna ugonjwa
Hakuna ugonjwa ambao husababishwa na VVU/ HIV pekee. HIV/VVU inasemwa husababisha magonjwa 29 ya zamani wakati inapokuwepo sasa inapojitokeza sambamba na magonjwa mengine. Wakati HIV/VVU hakijaanza kusemwa husababisha ukimwi, sababu za magonjwa hayo zaidi ya 29 zinajulikana, si VVU/HIV tena.

Tafsiri rasmi ya UKIMWI inajenga uhusiano wa asilimia 100% kati ya Ukimwi na virusi vya UKIMWI. Uhusiano (correlation) huo siyo lengo au jambo la kisayansi, bali ni usanii na ghiriba zilizojaa maslahi binafsi.

Rejea:


HIV & AIDS - VirusMyth AIDS WebSite - Find
Is 'HIV' Really the Cause of AIDS? Are there really only 'a few' scientists who doubt this?
Ukweli Kuhusu UKIMWI | fadhilipaulo.com
Dr. Kary Banks Mullis
HIV & AIDS - VirusMyth HomePage
Peter Duesberg on AIDS - Duesberg.com - HIV / AIDS research website for Peter H. Duesberg.
ARV Facts | www.ARV-Facts.com | Facts on Antiretroviral Drugs
www.houseofnumbers.com
www.rethinkingaids.com
 
Lengo ni kucreate fear tu na kuiaminisha dunia kwamba hakuna ukimwi bila HIV ili wafanye biashara zao

Japo nimesoma huko juu wewe hapa cjakuelewa, lkn pia makala hii huwa ina hang inatoa dhana tofauti na iliozoeleka lkn haitoi hitimisho

Ili tujue sasa kwa ujumla mwandishi anasimama wapi?
Maana amepinfa tu dhana iliopo ya UKIMWI lkn hajahtimisha na upande wa pili kipi ni kipi
 
Dumelang,
Nimekusoma mkuu, hitmisho ni kwamba HIV sio sababu ya UKIMWI isipokuwa UKIMWI katika nchi za viwanda husababishwa na matumizi ya dawa za kulevyazinazotumiwa na watu kama sehemu ya starehe, miongoni mwa madawa hayo ni;

HEROIN, COCAINE, POPPERS, BARBITUATES, SPEED, PCP na LSD
, ila kwa nchi zinazoendelea ikiwemo nchi zilizopo bara la afrikka sababu ya UKIMWI ni;

utapiamlo, ukosefu wa maji safi na salama, matumizi yaliyokithiri ya antibiotics, maambukizi ya magonjwa yanayojirudia kama malaria na tb, stress na mitindo mibovu ya maisha.

Hivyo ndivyo vinavyosababisha ku break down kwa mfumo wa kinga wa binadamu.
 
Sawa tukubaliane na hilo, iweje ukimwi sasa hauponi na unaua?
Kama ni utapia mlo na vitu kama ivo kwa nchi za africa iweje hakuna anaepona kwa kubadili mtindo wa maisha pale anapogundulika?
Mkuu utaponaje wakati usiku ulali kwa hofu ya kutabiriwa kifo? wewe ni shahidi kuna watu wamejiua kwa sababu wamekutwa positive africa hii.

Katika dunia ya leo kukutwa positive ni janga kwa kila mtu kutokana na imani tulizoaminishwa. Wengi wanaokutwa positive hukimbilia kula AVR'S wakiamini ndiyo mkombozi, lakini ni ukweli uliowazi hata medical experts ambao wako smart africa hii na hapa Tanzania wanajua negative side effect za ARVs.

Ni vipi utapona wakati unapewa wrong treatment? Kwahiyo hata ubadili mtindo wa maisha still kuna kitu kinaendelea kuharibu organ muhimu katika mwili wako nacho ni wrong treatment ambayo inaambatana na dawa zenye sumu kama ARV's.
 
So ushauri wa hawa wenye hii alternative theory ni mtu akiwa Positive asinywe dawa?

Haya mambo yanatatanisha, inakiwaje pia ni rahsi couple kuwakuta wote wana HIV ikiwa kwa mujibu wa theory hii ni kuwa UKIMWI hauambukizi?

Maana mimi nna ndg yangu ana maisha mazuri tu alianza na kupata black spot mwili mzima miaka mitatu mfululizo mwisho akazidiwa ohoo kupima HIV. Akaanza matibabu akabadilika na leo ukimuona huwezi amini hata zile spot zilizosumbua miaka nenda rudi zikaisha kwa izoizo ARVs

Lakn mkewe alipopima pia japo yeye alikuwa haja develop sign yeyote alipopimwa anao, hapo ndipo akaisha ghafla baada ya kujua anao, ndani ya miezi minne iliofuata ulikuwa uwezi mtazama mara mbili. Lakin alipoanza pia ARVs aka regain.

Sasa nikisoma hali ya hawa na theory hii bado napata walakini, iweje kama hauambukizi ukimwi ni matokeo ya vitu flan flani, bado inakuwa kama unaambukiza yan ni rahs couples kuwakuta wakiwa wote positive?
 
poverty eliminator,

Ha haa haaa,mkuu,kwa nini usiseme tu waziwazi kwamba ARVs ndizo zinazosababisha AIDS na ndizo zinazoua kwa wale wanaozitumia? Yaani ARVs ni kama mtego.

Ushawahi kutega wanyama porini,kama umewahi nadhani utanielewa maana yangu,yaani unamfukuza mnyama huku ukimwelekezea mahali ulipo mtego, hivi ndivyo wajanja waliotudanganya wanavyofanya, wanatumia vipimo feki vya kijanja kukusingizia kwamba una HIV ambaye pia ni feki halafu kwa sababu wameshakujengea hofu wanakwambia njia pekee ya kurefusha maisha yako ni ARVs.

kumbe ARVs ndio zinafanya kazi ile ambayo HIV ndio alitakiwa afanye lakini kwa kuwa HIV ni feki basi kazi hiyo ya kusababisha AIDS inafanywa na ARVs.Hebu google side effects za ARVs halafu uone kama je,dalili unazoziona kwa watu wanaokaribia kufa kwa ugonjwa huu feki wa HIV/AIDS na side effects za ARVs je vinafanana au havifanani?

Kama ukifanya uchunguzi wako binafsi utaona kwamba kinachowaua watu wanaotumia ARVs ni ARVs na sio HIV kama wengi wanavyodhani na ARVs zimetengenezwa hivyo kwa makusudi kabisa, hazijakosewa,na hii ni kwasababu HIV hawezi kusababisha AIDS sasa ili watu waamini kwamba kweli HIV/AIDS ipo na inaua lazima watafute kitu halisi chenye uwezo wa kusababisha AIDS,kitu hiko si kingine bali ni ARVs.

Tafuta side effect za ARVs ujionee mwenyewe.Side effects za ARVs ndio ukimwi wenyewe,na wale wanaodhoofu na kufa bila kutumia ARVs pia kuna sababu zake za msingi kabisa za kuelezea hilo watu wasifikiri kwamba kuna utata kwenye hili suala, maana najua kuna watu watasema "mbona wengine hawatumii ARVs na bado wanadhoofu na kufa?

Majibu yake yapo mengi tu na ni very very easy kuelezea kama utapewa mfano mahsusi wa hao watu na utapewa data zote za hao watu.

Wagonjwa walio kwenye final stages wanaotumia ARVs ukiwachunguza utakuta wana matatizo yafuatayo;
1.Matatizo ya moyo
2.Matatizo ya ini
3.Matatizo ya figo
4.Anaemia-upungufu wa damu
5.Cancer-saratani yoyote ile
6.Diabetes-kisukari

Matatizo hayo ndio yanayowaua,na hakuna tatizo hata moja kati ya hayo ambalo linasababishwa na HIV.ARVs zinasababisha LACTIC ACIDOSIS kwenye damu ambayo ndio kiini cha matatizo yote tajwa hapo juu,damu ikiwa na acid hakuna uhai tena,process zote za mwili hazifanyiki inavyotakiwa, kwa kawaida damu inatakiwa iwe alkaline ambapo pH yake ni 7.365,chini ya hapo ambapo ni acidic hakuna usalama tena,acid kwenye damu ni sumu,damu ikiwa acidic madini muhimu mbalimbali kama vile calcium na magnesium hupotea,madini haya ni muhimu kwa contraction na relaxation ya heart muscles,pia madini ya calcium ni muhimu kwa kuimarisha mifupa na mambo mengine.

Kama mtu haamini basi afanye utafiti wake binafsi kwenye mambo hayo peke yake,usiende mbali na hapo,yaani mambo hayo niliyotaja peke yake halafu ujionee mwenyewe.AU muulize daktari yeyote halafu uone kama atapinga.
 
So ushauri wa hawa wenye hii alternative theory ni mtu akiwa Positive asinywe dawa?

Exactly,hutakiwi kunywa dawa,bali kama unaumwa tibu tatizo lako husika,badili taratibu zako za maisha zinazokufanya uumwe na utakuwa umemaliza tatizo.Mimi ninayekwambia hivyo nina akili timamu na nina uhakika wa kile ninachosema na nimefanya uchunguzi wa kutosha na kuna watu nimewaachisha dawa na wako safi hadi leo hii.Ila kama kuna mtu anatumia dawa asiache,kwa kuwa ukiacha ghafla ARVs unaweza kufa,zimetengezwa ziwe addictive ili ukiacha halafu ukifa watu waamini kwamba kweli HIV anaua.

...Haya mambo yanatatanisha, inakiwaje pia ni rahsi couple kuwakuta wote wana HIV ikiwa kwa mujibu wa theory hii ni kuwa UKIMWI hauambukizi?

Mambo haya hayatatanishi kama utatulia na kuyafuatilia kwa makini taratibu.Yanatatanisha kwa wale wasiojua ukweli tu.Ukitumia hisia basi utaona kama ulichosema hapo juu ni kweli,lakini ukifanya uchunguzi utaona kwamba couple nyingi sana zaidi ya 90% utakuta mmoja ni HIV- lakini mwingine ni HIV+,we nenda mtaani ujionee mwenyewe ukweli huu,watu mitaani wanaona kama hili ni jambo la kawaida,hawajiulizi,hawa jamaa wametudanganya kisayansi sana na kushikilia akili zetu kiasi kwamba utata wote unaotokea kila siku kwenye vituo vya afya na mitaani tunauona ni wa kawaida,hatujiulizi,kuna uzi mmoja nimeelezea hayo yote ambayo unadhani yana utata na kuna wana JF wamekuja na mifano mingi hai kuthibitisha nilichosema,nitakuwekea huo uzi uusome taratibu,usiwe na haraka,kama kweli unataka kujikomboa na utumwa huu basi usome huo uzi taratibu sana,nina uhakika ukiumaliza hutakuwa na swali tena.

Hata ukimuuliza daktari yeyote mwerevu atakwambia kweli ukimwi hauambukizwi,wanachosema kinaambukizwa ni HIV sio ukimwi,na huyo HIV mwenyewe ni feki na ameshathibitishwa ki sayansi kwamba ni feki,kilichobaki kwa wale ambao wako gizani ni kasumba tu ambayo tumerithishwa kwa miaka 30 sasa na imekuwa kama IMANI.

...Maana mimi nna ndg yangu ana maisha mazuri tu alianza na kupata black spot mwili mzima miaka mitatu mfululizo mwisho akazidiwa ohoo kupima HIV. Akaanza matibabu akabadilika na leo ukimuona huwezi amini hata zile spot zilizosumbua miaka nenda rudi zikaisha kwa izoizo ARVs

Lakn mkewe alipopima pia japo yeye alikuwa haja develop sign yeyote alipopimwa anao, hapo ndipo akaisha ghafla baada ya kujua anao, ndani ya miezi minne iliofuata ulikuwa uwezi mtazama mara mbili. Lakin alipoanza pia ARVs aka regain.

Hapa lazima utakuwa ume miss kitu kwenye haya maelezo.Ninakuhakikishia kwamba ume miss kitu muhimu hapa,kama huamini nenda kawaulize wenyewe hao ndugu zako ndipo utakapojua kwamba ume miss kitu.Lakini tambua kwamba vipimo hivi ni feki na havipimi HIV kama unavyojua,swala hili la vipimo nalo ni refu kidogo,kwa vipimo hivi mtu yeyote anaweza kupimwa HIV+ bila kujali ni nani, hata kama yeye ni bikira anaweza kupima HIV+,kupimwa HIV+ sio ishu,ni ujanja wa vipimo tu,ukielewa hili la vipimo ndio utajua namaanisha nini.Ukisoma uzi nitakaokupa utaelewa yote hayo.Pia inabidi ufahamu pia,mgonjwa yeyote wanapompima wakamkuta na huyu HIV feki halafu wakamkuta ana ugonjwa fulani,huwa wanampa ARVs na kumtibu ugonjwa husika mpaka anapona,haponi ugonjwa wake husika kwa kumeza ARVs kwa kuwa ARVs hazitibu ugonjwa wowote ule,unaona hapo?Hivyo kama umeona ndugu yako kapona ujue kuna dawa specific za kumtibu ugonjwa wake specific amepewa na baada ya kutumia akapona kabisa,lakini inabidi ufahamu pia kwamba baada ya muda mrefu wa matumizi ya ARVs utaanza kuona dalili nyingine zinajitokeza ambazo ndio ukimwi wenyewe sasa ambao chanzo chake si HIV bali ni ARVs.Ilitakiwa ki haki haki baada ya kupona ugonjwa wake husika abadili life style iliyompelekea kupata ugonjwa huo aliokuwa nao na alitakiwa asitumie ARVs.Kuwa na maisha mazuri haina maana kwamba unakula vyakula bora,vyakula bora havina uhusiano na maisha mazuri,wamarekani ndio watu wanaoongoza kwa kula junk foods pamoja na kwamba ndio wenye pesa,vyakula bora ni simple sana,huhitaji kuwa tajiri sana ili kuvipata.Sasa wewe kamuulize ndugu yako,je,vile vipele alivipata kabla au baada ya kuanza ARVs?Halafu muulize tena kama alivipata kabla hajaanza ARVs,je,alipopima aliambiwa alikuwa na ugonjwa gani specific?na alipewa dawa gani kujitibu ukiachilia mbali ARVs?Halafu muuize je,doctor alimpa ushauri gani?Nina uhakika kwamba hivyo vipele lazima vilisababishwa na kitu fulani ambacho si HIV,ningepata info ya kutosha kuhusu ndugu yako lazima ningekupa jibu sahihi.

Hata huyo mkewe muulize maswali ya udadisi kama hayo.Ukiambiwa una HIV kwa mara ya kwanza unachanganyikiwa na kuwa na mawazo sana kama hujui ukweli,lakini baadaye watu wa karibu wanakushauri na kukupa moyo na unashauriwa ule vyakula bora na doctor na kubadili style ya maisha halafu baada ya muda kupita unazoea na unaishi normal,hata kama ulikuwa umekonda utaanza kurudi hali yako ya kawaida,lakini baada ya muda mrefu wa matumizi ya ARVs dalili za ukimwi wenyewe unaosababishwa na ARVs huanza kujitokeza.Lakini usiwaambie haya ndugu zako kwa sasa,wasije ku panic.Waache hivyohivyo na maisha yao,cha msingi waulize hayo maswali niliyokwambia ili yawe kama utafiti/uchunguzi wako kufikia kubaini ukweli.

...Sasa nikisoma hali ya hawa na theory hii bado napata walakini, iweje kama hauambukizi ukimwi ni matokeo ya vitu flan flani, bado inakuwa kama unaambukiza yan ni rahs couples kuwakuta wakiwa wote positive?

Uichokisema hapa ni kinyume na uhalisia.Sasa soma reply zangu taratibu sana kwenye uzi huu hapa chini,humo nimeweka na scientific papers na video mbalibali;

https://www.jamiiforums.com/jf-doct...wenye-ukimwi-tena-peku-na-asipate-ukimwi.html
 
Deception,
Yap! ni kweli zinachangia kuharibu organ muhimu kweye mwili kama ini na figo, pia zinachangia ku break down mfumo wa kinga mwilini
 
Dumelang,

Exactly, unapokuwa positive inamaana uko salama, mwili umezalisha kinga asilia na kuaangamiza virusi, sasa kama uko salama unakunywa dawa kwenda kutibu nini kwenye mwili wako?, ila defendants wa HIV/AIDS hypothesis wao wanamaanisha unapokuwa positive wewe ni maiti mtarajiwa, hivyo ili uchelewe kuwa maiti mtarajiwa unapaswa kutumia ARVs (Huu ndo unakuwa msumari wa mwisho kwenye jeneza lako wakati wao wakitengeneza mamilioni ya pesa).

Kwanza unapaswa kujua tofauti ya HIV na UKIMWI, hili watu wengi wamekuwa wakichanganya na sio kosa lao bali ni hawa matapeli wa hii hypothesis ya HIV/AIDS. Wametengeneza mahusiano kati ya HIV na UKIMWI pasipo kuwa na ushahidi wa kisayansi ili tu kujenga dhana ya kwamba hakuna UKIMWI bila HIV. Kwahiyo kuwa na HIV it is not a big deal, HIV ni retrovirus wa kawaida tu, na yuko dormant baada ya kuwa neutralized na kinga ya mwili.

Efficient way kwa HIV kuwa transmitted ni kutoka kwa mama kwenda mtoto (Perinatally Transmission) , ingawa inaweza pia kuwa transmitted kwa njia ya ngono, but it is not efficient. Kwahiyo hao couple wanaweza kweli kuambukizana HIV lakini sio kuambikizana Upungufu wa kinga kwenye mwili (UKIMWI).
Tatizo ni kwamba mtu ukishapimw na kukutwa positive basi, wewe binafsi na watu waliokuzunguka yaan ndugu jamaa na marafiki wanaamini tayari wewe una UKIMWI na tayari wewe ni maiti mtarajiwa, hivi ni vitu 2 tofauti.
 
Hakuna jipya chini ya jua... Bora kuishi maisha yako bila kufuata kasumba..,
laiti kama ingekuwa watu wanachunguza kila wanachoambiwa na kukifanyia utafiti japo kidogo tu., haya yote yasingetokea.
Tatizo watu ni wavivu wa kuzisumbua akili zao, wanangoja watafuniwe, wamezeshwe. Na ndomana mzungu anatupata
 
Nimependa sana ufafanuzi wa mleta mada..ila kuna mamabo kadhaa naona bado yanahitaji maelezo zaidi

Kwanza ni vema ukatuambia una maana gani unaposema kwamba,kwa kuwa T-Cells zinazalishwa nyingi na kwa hiyo kiasi kidogo kinachoathiriwa na vvu haliwezi kuwa tatizo kubwa? Je,unatambua kuwa T-Cell zipo aina tofauti tofauti na ziko recruited kwa specific functions? Na je,unatambua kuwa si aina zote za T-Cells zinazoshambuliwa na HIV?

Tutumie mfano huu: nchi yetu ina majeshi kadhaa..ina polisi,ina magereza,ina jeshi la ulinzi nk..nk.. Pia kuna usalama wa taifa..vikosi vyote hivi ni vya ulinzi na usalama wa nchi..na kila jeshi lina utaratibu wake wa utendaji kutegemea aina ya mafunzo wanayopata na aina ya adui wanayefundishwa kukabiliana naye..sasa kwa mfano,tunaweza kusema,vikosi vyote hivi vina askari laki 2 kwa ujumla wake..Halafu let's say JWTZ is only 5%..Sasa kwa kuwa JWTZ ni sehemu ndogo miongoni mwa vikosi vyote vya ulinzi na usalama..je,tuseme hata kama likiondolewa tutabaki salama kwa kuwa wao ni just 5%?

Unaposema HIV haina uwezo wa kuua T-Cells unamanisha nini? Inafahamika kuwa HIV akiingia ndani ya T-Cell (specifically CD4) anacomand ile cell kutumia rasilimali ilizonazo kutengeneza nakala nyingi za HIV..na kwa kufanya hivyo maisha ya ile cell yanakuwa mafupi,yaani cell inakufa haraka..na hivyo ndivyo kinga inapokuwa inapungua..je,kwa njia hii ni kwanini HIV asihesabike kuwa sababu mojawapo ya Upungufu wa Kinga Mwilini(UKIMWI)?

Hebu fafanua kidogo..
 
Mkuu Deception uko wapi nadhani ule uzi wakwanza hawakuuona hawa watu hebu funguka kidogo
 
Wapi WARUMI mnahitajika hapa muwafungue watu masikio ila wajuaji hatuwataki madokta uchwara
 
Back
Top Bottom