poverty eliminator
Senior Member
- May 31, 2015
- 109
- 150
- Thread starter
- #21
Nimependa sana ufafanuzi wa mleta mada..ila kuna mamabo kadhaa naona bado yanahitaji maelezo zaidi
Kwanza ni vema ukatuambia una maana gani unaposema kwamba,kwa kuwa T-Cells zinazalishwa nyingi na kwa hiyo kiasi kidogo kinachoathiriwa na vvu haliwezi kuwa tatizo kubwa? Je,unatambua kuwa T-Cell zipo aina tofauti tofauti na ziko recruited kwa specific functions? Na je,unatambua kuwa si aina zote za T-Cells zinazoshambuliwa na HIV?
Tutumie mfano huu: nchi yetu ina majeshi kadhaa..ina polisi,ina magereza,ina jeshi la ulinzi nk..nk.. Pia kuna usalama wa taifa..vikosi vyote hivi ni vya ulinzi na usalama wa nchi..na kila jeshi lina utaratibu wake wa utendaji kutegemea aina ya mafunzo wanayopata na aina ya adui wanayefundishwa kukabiliana naye..sasa kwa mfano,tunaweza kusema,vikosi vyote hivi vina askari laki 2 kwa ujumla wake..Halafu let's say JWTZ is only 5%..Sasa kwa kuwa JWTZ ni sehemu ndogo miongoni mwa vikosi vyote vya ulinzi na usalama..je,tuseme hata kama likiondolewa tutabaki salama kwa kuwa wao ni just 5%?
Unaposema HIV haina uwezo wa kuua T-Cells unamanisha nini? Inafahamika kuwa HIV akiingia ndani ya T-Cell (specifically CD4) anacomand ile cell kutumia rasilimali ilizonazo kutengeneza nakala nyingi za HIV..na kwa kufanya hivyo maisha ya ile cell yanakuwa mafupi,yaani cell inakufa haraka..na hivyo ndivyo kinga inapokuwa inapungua..je,kwa njia hii ni kwanini HIV asihesabike kuwa sababu mojawapo ya Upungufu wa Kinga Mwilini(UKIMWI)?
Hebu fafanua kidogo..
Nimekupata mkuu, T-Cells zimeganyika katika makundi mengi, lakini kwa upana wake zimekuwa grouped katika makundi makuu mawili,yaani Killer T-cells and Helper T-cells. Na ni kweli sio T-Cells zote hushambuliwa na HIV.
[h=1]Lakini ngoja tugusie kwa ukaribu zaidi hizi Helper T-cells ambazo ndiyo target ya HIV.[/h]T-helper cell: Ni aina ya T-Cell ambayo inazipa msaada seli nyingine kuweza kureact na kutambua kitisho na hatimaye kuzalisha protini ijulikanayo kwa jina la Cytokines ambayo hutumika kuzichochea T- cells na B -cells.
Sasa kutokana na maelezo ya hawa Defendant wa HIV/AIDS hypothesis, ni kwamba HIV anashambulia hizi T-helper Cells na kusababisha mwili kuwa dhaifu katika kujilinda na maambukizi. Kumbuka T-helper Cells zimecontain CD4 katika surface zake. Kwahiyo T-helper cells zinapoharibiwa automatically CD4 pia zinaharibiwa. Na ndiyo hapo tunasema kuwa mgonjwa anakuwa na CD4 chini ya 200.
Sasa tukirejea kwenye hiyo fact No:1 ni kwamba hizi T-helper cells huzalishwa kwa wingi mwilini na HIV ina uwezo wa kuathiri T-helper Cell moja kwa 1000, sasa iweje HIV isababishe kushuka kwa mfumo mzima wa kinga hali ya kuwa kitu kinacho play part kubwa katika mfumo wa kinga bado kiko katika ubora wake?
Hivyo basi HIV si sababu ya UKIMWI kuna kitu kingine ambacho kinahusika katika kushusha mfumo mzima wa kinga katika mwili wa binadamu na sio HIV.
Katika mfano wa majeshi uliyotoa naomba kabla sijakujibu nikuulize swali;
Assume mlango wa grill una komeo 2 juu na chini, na komeo zote zimefungwa kwa kufuli za solex ambazo ni imara, je kuvunja kufuli moja ya komeo kutakufanya uweze kuufungua mlango na kuingia ndani?
Sasa nakuja kwenye jibu lako, kwa kupitia kwenye mfano wako, kwanza ungetoa mfano wa jwtz pekee igekuwa vizuri zaidi, usihusishe majeshi mengine maana hayo sio target ya adui, hapa tunazungumzia T-helper Cell huyu ndiye adui kwa HIV na si seli nyinginezo.
Inaamaana ulipaswa kutoa mfano wa jeshi la ulinzi kama JWTZ, yaani hiko kikosi cha askari laki 2 wawe JWTZ ili kuleta maana halisi ya mfano wako.
Then katika hao askari laki 2, tutoe 5% ya askari, kwa mfano huu efficient ya jeshi itapungua kidogo, maana ni asilimia ndogo tu ya askari wamezulika.
Sasa tuje kwa kesi ya UKIMWI, idadi ndogo ya T-Helper Cell inayozulika kutokana na HIV haisababishi mfumo mzima wa kinga ku break down isipokuwa efficient ya ulinzi itapungua.
Na hili liko wazi kwa mara ya kwanza HIV anapofanya infection, mtu hukumbwa na mafua makali then kinga inakuwa generated na mchezo unakuwa umeishia hapo (GAME IS OVER. HIV IS NO MORE).
Mafua haya makali ni dalili ya kutetereka kwa mfumo wako wa kinga na si kuwa breakdown katika stage ya kusababusha magonjwa zaidi ya 20.