Mapindizi chanya
Member
- Jan 21, 2018
- 35
- 33
Kabisa?!!!
Ndiyo ni asset.Mkuu hio namba saba(7) sijaelewa vizuri!! Kama hutojali naomba ufafanuzi wake!!
Kitanda na vyombo vya ndan ni ASSET??
@YoungJigger
Hiyo ipo kwako mkuuKwa Tanzania unaweza ukafika miaka 45 ila bado umepanga chumba na kodi ni kitendawili. Bado kwa mangi una deni la buku ya mkate.
Mada za watoto wa mwaka wa kwanza huko vyuoni.
Maisha hayapangwi kiboya boya kama ulivyo yaandika hapo.
Property and equipments zote ni assets mzee