Mambo 10 ya kufanya kabla hujafika umri wa miaka 28

Mambo 10 ya kufanya kabla hujafika umri wa miaka 28

Joined
Jan 21, 2018
Posts
35
Reaction score
33
1. Jifunze kuweka akiba ya fedha
2. Tafuta mpenzi sahihi na tulia naye
3. Acha kuishi na wazazi au kupanga nyumba na washikaji
4. Achana na starehe zisizo na maana
5. Jali sana afya yako
6. Kuwa na marafiki wenye changamoto za maendeleo
7. Anza kununua asset kama vile ardhi, kitanda, vyombo vya nyumbani n.k
8. Jifunze kuvaa kwa heshima na si tu suala la kupendeza
9. Acha mambo ya kitoto
10. Zingatia sana muda wako



SISI NI TANZANIA MPYA
 
Back
Top Bottom