Mambo 10 yaliyopo Ulaya, hasa hasa Sweden, pengine kwako ni mageni, na ungependa kuyafahamu

Mambo 10 yaliyopo Ulaya, hasa hasa Sweden, pengine kwako ni mageni, na ungependa kuyafahamu

Kuongeza hapo,,,,kwa US ukiandikiwa Faini huku inaitwa ticket unaend kulipia mahakamani,, IMENIKUTA JUZI,, ukifika makosa yako yatakua displayed kweny screen kubwa...mm nilizuga kama nasimama kwenye sign ya stop afu sikusimama complete...nkaja home jion kwenye box nje nakuta ticket ,,so ikabdi nkalipe mahakamn pale unaoneshwa ulivyopuuza kusimama
 
Wakuu, heshima kwenu.!

Kama ilivyo ada, JF ni kisima cha habari, stories, ucheshi na mengineyo. Ili kuifanya JF iendelee kuwa kisima cha taarifa, naomba nami leo ku-share mawili matatu kuhusu mada tajwa hapo juu.

1) Kwa muda wote niliopo huku, miaka mitatu sasa, nimesafiri na kutembea maeneo mbalimbali. Safari za muda mrefu na fupi. Kwakweli sijawahi kushuhudia ajali ya barabarani. Simanishi kuwa ajali hazipo kabisa, ila ni kwa kiwango kidogo sana. Kwa mujibu wa utafiti wangu mfupi usio rasmi, nimegundua hii inatokana na sababu zifuatazo,

i) Leseni za udereva zinatolewa kwa njia ambayo ipo high secured. Yaani hata kama una leseni ya bongo, na una experience ya kuendesha kwa miaka 10, lazima ufanyiwe majaribio kabla ya kupewa leseni ya huku. Endapo utakosea hata kosa moja tu wakati wa majaribio, mfano kuchelewa kuwasha indicator kabla ya kukata kona, au ukaendesha gari huku umeegesha mkono dirishani kama ifanyikavyo bongo, hakika hautapewa leseni na inabidi urudie tena majaribio. Aidha, leseni mpya zinatolewa kwa mafunzo ambayo lazima uwe very compentent. Kwa ufupi wakuu ni kwamba, leseni hazitolewi kama njugu.

ii) Ikibainika umeendesha gari huku umekunywa pombe kwa kiasi kisichoruhusiwa, fine yake inaweza kukaribia nusu ya kipato chako cha mwezi. Kuna baadhi ya magari, hususan magari ya makampuni, ili uweze kuliendesha, lazima ufanye test ya kucheki kama umekunywa pombe. Usipofanya hiyo test ambayo ipo kwenye mfumo wa gari, hiyo gari haitoondoka wala kuwaka.

iii) Magari yote yanayotembea barabarani lazima yakaguliwe kila mwaka ili kujua kama bado yanakidhi vigezo vya kuwa barabarani.

iv) Njia nyingi hasa high way, ni one-way. Hizi ni barabara hasa zinazotoka mji mmoja kwenda mwingine. Baadhi ya miji, hata barabara za ndani zina mfumo huu. Yaani magari yanayoenda upande mmoja hayakutani na yanayokuja upande mwingine. Madereva wanafahamu nachomaanisha.

v) Barabara zina standard kiwango cha juu. Yaani ikitokea uharibifu tu mahala, haraka sana inafanyiwa marekebisho.

2) Kwa muda wa miaka mitatu sasa, tangu niwepo huku (Sweden na Uholanzi), hakuna hata sekunde moja ambapo umeme na maji vimekatika. Hebu imagine huko Kilosa, Ileje, Nyapande, Nkasi, Ludewa, Liwale, Ngara, Uvinza, Makete kuwe na access ya umeme na maji ndani ya nyumba 24 hours/7 days. Maisha yangekuwaje? Raha si raha? Ha ha haa.!

3) Intrnent ni huduma muhimu kwa kila nyumba kama ilivyo umeme na maji. Namanisha kuwa, kila nyumba imeungunishiwa mfumo wa kupata internet.

4) Huduma za Elimu na Afya kwa Sweden ni bure. Elimu kwa Uholanzi unalipia kidogo, ila siyo gharama kubwa kivile.

5) Sweden ukiwa mgonjwa ukapelekwa hosp unapatiwa na huduma ya chakula. Ni bure, haulipii. Muhimu uwe mkazi au raia. Pesa zinatoka kwenye Tax unayolipa. Hapa ndipo kuna hoja kwamba, wanalipa Tax kubwa, mfano kwenye mji ambao huwa naishi, Tax ni almost 30% ya kipato chako.

5) Shughuli zote zimewekwa kwenye mfumo rasmi chini ya makampuni. Kwa ufupi hakuna eti ile kusema hii kazi i.e anapewa fundi locally na kuanza kujenga kwa kuwatafuta vibarua mtaani kienyeji. Namanisha kuwa, kila kazi, iwe ni kupanda maua, kupaka rangi, usafi, kusafisha vioo kwenye majumba n.k zipo kwenye mfumo rasmi. Na kila anayefanya kazi anaajiriwa katika mfumo rasmi. Nadhani hii njia inafanya hizi nchi za wenzetu kila mtu kuhakikisha analipa kodi.

6) Kila anayeajiriwa, hata iwe non-professional job, kwa kiasi kikubwa, mshahara anaolipwa mtu unamwezesha kukidhi maisha katika standard ya kawaida. Yaani anaweza kula chakula, kulipia rent, usafiri, n.k kwa mwezi mzima na akabakisha chenji kidogo. Nasisitiza kuwa ni kwa kiasi kikubwa, kulingana na uexperience niliyonayo. Huenda kuna baadhi ya kazi (zitakuwa chache sana) mtu anaweeza kulipwa below the standard. Wenzetu wana standard za mishahara kwa nchi nzima. Siyo kila mtu kujipangia tu.

7) Train na mabasi ya Public ndani na nje ya mji yana ratiba zinazofahamika. Mfano, kila baada ya robo saa gari inapita kwenye kituo. Kuwe na abiria ama hakuna abiria muda ukifika basi lazima liondoke/kusafiri kama ilivyopangwa. Hii ni kwa sababu, Serikali ina- provide subsdy kwenye sekta za usafiri. Kwahiyo kama kampuni itapata hasara, serikali inafanya ku-top up ili sekta hiyo iendelee ku-survive.

8) Hakuna masuala ya mfanyakazi wa ndani kumuangalia mtoto ama mtu mzee kama bongo. Hii ni kwa sababu, mama akijifungua, mama anapewa maternity leave na baba anapewa partenity leave ambapo kwa ujumla wake vikichanganywa inafikia mwaka mmoja. Hivyo mtoto atalelewa na wazazi mpaka afikishe mwaka mmoja. Baada ya hapo anapelekwa kwenye baby care center ambako anapelekwa asubuhi na kuchulkuliwa mchana. Kwa Wazee, akishafikisha umri wa kutojiweza, anapelekwa kuhudumiwa kwenye community center ambako pension yake itatumika kumuhudumia.

9) Kiwango cha ukosefu wa ajira ni kiasi kidogo sana. Yaani si rahisi kukuta mkazi yupo home muda mrefu bila kazi yoyote. Sisemi kuwa hakuna wasiokuwa na ajira, ila ni kwa kiasi kidogo sana. Suala la gharama za maisha ni jukumu la baba na mama. Sio kama sisi eti kazi ya kutafuta mahitaji ni suala la baba peke yake. Huku suala la usawa linafanyika kwa vitendo. Hii mada ya usawa nitaijadili siku nyingine.

10) Pamoja na kodi kubwa wanayokatwa (atleast 30%), ila jamaa wanafaidi sana kodi yao. Yaani unakuta Serikali inampatia mzazi kiasi flani cha pesa kwa ajili ya huduma ya mtoto anapozaliwa mpaka anapokuwa mkubwa. Ha ha haa. Kwa lugha fupi ni kuwa, kila mtoto analipwa kiasi flani cha pesa mpaka afikishe umri mkubwa. Siyo kiasi kikubwa, ila kinamwezesha kuishi.

Kwa leo naomba niishiea hapa. Leo nimezungumzia upande wa +ve side, siku nyingine nitazungumzia -ve side pia. Haya niliyosema simanishi kuwa nchi za Ulaya wanaishi kama Mbinguni, na kwenyewe kuna shida zake nyingi tu.

Kama kuna mahala nimeteleza kidogo, basi ni sahihi kukosolewa na kurekebisha jambo ambalo naweza kuwa nime-overlook. Ila nilichokisema kina uhalisia mkubwa zaidi ya 90% maana ni mambo niliyoyaona na kusimuliwa.

NB: Siasa za huku kwa kiasi kikubwa, zimejikita kwenye sera za kupunguza wahamiaji ( Yaani malalamiko kuwa wahamiaji ni wengi yamekuwa makubwa sana miongoni mwa raia). Siasa nyingine zimejikitia kwenye masuala ya mabadilkiko ya Tabia ya nchi (Climate change). Yaani sisi Afrika tukiwa tunataka labda kuandamana kwa ajili ya kupatiwa huduma za msingi za maisha, huku wenzetu wameanza kuandamana kushinikiza Serikali zao zichukuwe hatua dhidi ya Mabadiliko ya Tabia ya Nchi . Naomba hii iwe mada ya siku nyingine pia.

Ahsanteni.
Naomba A-Z mpaka ulivyofika huko
 
Wakuu, heshima kwenu.!

Kama ilivyo ada, JF ni kisima cha habari, stories, ucheshi na mengineyo. Ili kuifanya JF iendelee kuwa kisima cha taarifa, naomba nami leo ku-share mawili matatu kuhusu mada tajwa hapo juu.

1) Kwa muda wote niliopo huku, miaka mitatu sasa, nimesafiri na kutembea maeneo mbalimbali. Safari za muda mrefu na fupi. Kwakweli sijawahi kushuhudia ajali ya barabarani. Simanishi kuwa ajali hazipo kabisa, ila ni kwa kiwango kidogo sana. Kwa mujibu wa utafiti wangu mfupi usio rasmi, nimegundua hii inatokana na sababu zifuatazo,

i) Leseni za udereva zinatolewa kwa njia ambayo ipo high secured. Yaani hata kama una leseni ya bongo, na una experience ya kuendesha kwa miaka 10, lazima ufanyiwe majaribio kabla ya kupewa leseni ya huku. Endapo utakosea hata kosa moja tu wakati wa majaribio, mfano kuchelewa kuwasha indicator kabla ya kukata kona, au ukaendesha gari huku umeegesha mkono dirishani kama ifanyikavyo bongo, hakika hautapewa leseni na inabidi urudie tena majaribio. Aidha, leseni mpya zinatolewa kwa mafunzo ambayo lazima uwe very compentent. Kwa ufupi wakuu ni kwamba, leseni hazitolewi kama njugu.

ii) Ikibainika umeendesha gari huku umekunywa pombe kwa kiasi kisichoruhusiwa, fine yake inaweza kukaribia nusu ya kipato chako cha mwezi. Kuna baadhi ya magari, hususan magari ya makampuni, ili uweze kuliendesha, lazima ufanye test ya kucheki kama umekunywa pombe. Usipofanya hiyo test ambayo ipo kwenye mfumo wa gari, hiyo gari haitoondoka wala kuwaka.

iii) Magari yote yanayotembea barabarani lazima yakaguliwe kila mwaka ili kujua kama bado yanakidhi vigezo vya kuwa barabarani.

iv) Njia nyingi hasa high way, ni one-way. Hizi ni barabara hasa zinazotoka mji mmoja kwenda mwingine. Baadhi ya miji, hata barabara za ndani zina mfumo huu. Yaani magari yanayoenda upande mmoja hayakutani na yanayokuja upande mwingine. Madereva wanafahamu nachomaanisha.

v) Barabara zina standard kiwango cha juu. Yaani ikitokea uharibifu tu mahala, haraka sana inafanyiwa marekebisho.

2) Kwa muda wa miaka mitatu sasa, tangu niwepo huku (Sweden na Uholanzi), hakuna hata sekunde moja ambapo umeme na maji vimekatika. Hebu imagine huko Kilosa, Ileje, Nyapande, Nkasi, Ludewa, Liwale, Ngara, Uvinza, Makete kuwe na access ya umeme na maji ndani ya nyumba 24 hours/7 days. Maisha yangekuwaje? Raha si raha? Ha ha haa.!

3) Intrnent ni huduma muhimu kwa kila nyumba kama ilivyo umeme na maji. Namanisha kuwa, kila nyumba imeungunishiwa mfumo wa kupata internet.

4) Huduma za Elimu na Afya kwa Sweden ni bure. Elimu kwa Uholanzi unalipia kidogo, ila siyo gharama kubwa kivile.

5) Sweden ukiwa mgonjwa ukapelekwa hosp unapatiwa na huduma ya chakula. Ni bure, haulipii. Muhimu uwe mkazi au raia. Pesa zinatoka kwenye Tax unayolipa. Hapa ndipo kuna hoja kwamba, wanalipa Tax kubwa, mfano kwenye mji ambao huwa naishi, Tax ni almost 30% ya kipato chako.

5) Shughuli zote zimewekwa kwenye mfumo rasmi chini ya makampuni. Kwa ufupi hakuna eti ile kusema hii kazi i.e anapewa fundi locally na kuanza kujenga kwa kuwatafuta vibarua mtaani kienyeji. Namanisha kuwa, kila kazi, iwe ni kupanda maua, kupaka rangi, usafi, kusafisha vioo kwenye majumba n.k zipo kwenye mfumo rasmi. Na kila anayefanya kazi anaajiriwa katika mfumo rasmi. Nadhani hii njia inafanya hizi nchi za wenzetu kila mtu kuhakikisha analipa kodi.

6) Kila anayeajiriwa, hata iwe non-professional job, kwa kiasi kikubwa, mshahara anaolipwa mtu unamwezesha kukidhi maisha katika standard ya kawaida. Yaani anaweza kula chakula, kulipia rent, usafiri, n.k kwa mwezi mzima na akabakisha chenji kidogo. Nasisitiza kuwa ni kwa kiasi kikubwa, kulingana na uexperience niliyonayo. Huenda kuna baadhi ya kazi (zitakuwa chache sana) mtu anaweeza kulipwa below the standard. Wenzetu wana standard za mishahara kwa nchi nzima. Siyo kila mtu kujipangia tu.

7) Train na mabasi ya Public ndani na nje ya mji yana ratiba zinazofahamika. Mfano, kila baada ya robo saa gari inapita kwenye kituo. Kuwe na abiria ama hakuna abiria muda ukifika basi lazima liondoke/kusafiri kama ilivyopangwa. Hii ni kwa sababu, Serikali ina- provide subsdy kwenye sekta za usafiri. Kwahiyo kama kampuni itapata hasara, serikali inafanya ku-top up ili sekta hiyo iendelee ku-survive.

8) Hakuna masuala ya mfanyakazi wa ndani kumuangalia mtoto ama mtu mzee kama bongo. Hii ni kwa sababu, mama akijifungua, mama anapewa maternity leave na baba anapewa partenity leave ambapo kwa ujumla wake vikichanganywa inafikia mwaka mmoja. Hivyo mtoto atalelewa na wazazi mpaka afikishe mwaka mmoja. Baada ya hapo anapelekwa kwenye baby care center ambako anapelekwa asubuhi na kuchulkuliwa mchana. Kwa Wazee, akishafikisha umri wa kutojiweza, anapelekwa kuhudumiwa kwenye community center ambako pension yake itatumika kumuhudumia.

9) Kiwango cha ukosefu wa ajira ni kiasi kidogo sana. Yaani si rahisi kukuta mkazi yupo home muda mrefu bila kazi yoyote. Sisemi kuwa hakuna wasiokuwa na ajira, ila ni kwa kiasi kidogo sana. Suala la gharama za maisha ni jukumu la baba na mama. Sio kama sisi eti kazi ya kutafuta mahitaji ni suala la baba peke yake. Huku suala la usawa linafanyika kwa vitendo. Hii mada ya usawa nitaijadili siku nyingine.

10) Pamoja na kodi kubwa wanayokatwa (atleast 30%), ila jamaa wanafaidi sana kodi yao. Yaani unakuta Serikali inampatia mzazi kiasi flani cha pesa kwa ajili ya huduma ya mtoto anapozaliwa mpaka anapokuwa mkubwa. Ha ha haa. Kwa lugha fupi ni kuwa, kila mtoto analipwa kiasi flani cha pesa mpaka afikishe umri mkubwa. Siyo kiasi kikubwa, ila kinamwezesha kuishi.

Kwa leo naomba niishiea hapa. Leo nimezungumzia upande wa +ve side, siku nyingine nitazungumzia -ve side pia. Haya niliyosema simanishi kuwa nchi za Ulaya wanaishi kama Mbinguni, na kwenyewe kuna shida zake nyingi tu.

Kama kuna mahala nimeteleza kidogo, basi ni sahihi kukosolewa na kurekebisha jambo ambalo naweza kuwa nime-overlook. Ila nilichokisema kina uhalisia mkubwa zaidi ya 90% maana ni mambo niliyoyaona na kusimuliwa.

NB: Siasa za huku kwa kiasi kikubwa, zimejikita kwenye sera za kupunguza wahamiaji ( Yaani malalamiko kuwa wahamiaji ni wengi yamekuwa makubwa sana miongoni mwa raia). Siasa nyingine zimejikitia kwenye masuala ya mabadilkiko ya Tabia ya nchi (Climate change). Yaani sisi Afrika tukiwa tunataka labda kuandamana kwa ajili ya kupatiwa huduma za msingi za maisha, huku wenzetu wameanza kuandamana kushinikiza Serikali zao zichukuwe hatua dhidi ya Mabadiliko ya Tabia ya Nchi . Naomba hii iwe mada ya siku nyingine pia.

Ahsanteni.
Kwani hayo yote unapaswa uwe waishi Ulaya hususani Sweden ili kuyajua kama yanafanyika?
 
Mtaan kwangu hapo
20211226_151846.jpg
 
Hii aina ya baishara inabidi utafiti wa muda. Kubaini aina ya bidhaa specifically na uingizwaji wake ndani ya nchi. Namanisha masuala ya kodi n.k Mfano, nimwahi kufatilia kuhusu biashara ya used furniture, niliponda TRA nikagundua unaweza kupata hasara, maana sera ya kodi kwa furniture kwa mtizamo wangu ni kama inalinda bidhaa za ndani hivyo kodi yake nikaona ni kubwa. Kingine, hizi bidhaa used siyo kwamba utazitukua sehemu moja kwa kiwango unachotaka. Inaweza kukuchukuwa muda mrefu kukusanya mzigo wa kutosha maana inakubidi kukusanya kimoja kimoja kulingana na upatikanaji wake huko kwenye maduka used.
Nina fanya kazi ya Customs clearing agent hapa dsm,ni mdau kwa mwaka wa 10 sasa japo kwa sasa nimesimama kutokana na kuwa waagizaji na wasafirishaji wamepungua sana siku hizi hasa hasa wakati na baada ya janga la UVIKO 19. Kuna wakati hapo kitambo kama miaka ya 2012 na 2015 kuna jamaa mmoja ni mwarabu wa huko vijijini mbeya kabisa alikuwa mteja wetu anatupa document za kumtolea mizigo yake bandarini ni mizigo yake hasa ilikuwa ni Caterpillar,bulldozer magari makubwa kama dampers,agricultural tractors,rollers na vitu kama hizo alikuwa anavitoa Sweden sasa katika story story nikamuuliza huwa unatumiwa na ndugu zako au unavipata vipi hivi vifaa akanijibu kuwa huwa anakwenda Sweden yeye mwenyewe anakwenda Sweden anatembelea hadi vijijini kabisa huko akasema huko Sweden vijijini unaweza ukakuta damper kwa huko wana regard as kama tayari mbovu na limeisha muda wake lakini unaweza ukalinunua kwa bei chee kabisa na kwa kuwa yeye kakulia familia za kiarabu mambo ya magari magari na ufundi wa gereji anajua jinsi ya kuya handle.So alichokuwa anafanya ananunua hayo ma equipments kwa bei ndogo huko Sweden ya swekeni kabisa anasafirisha yakifika hapa bongo anatengeneza anayauza au mengine anakodisha kwa makampuni ya ujenzi kwa kweli kwa kipindi kile jamaa alini surprise sana kwa sababu ukimuona ni kama mshamba fulani hivi ila jamaa ana exposure ya kipekee kabisa na ndio alifungua akili kuwa kwa ulaya kama unaenda kwa ajili ya biashara ni rahisi sana na nauli sio kubwa kivile na hasa nchi za Scandinavian akasema hata gharama za kulala hotel au hostel ni ndogo sana watu tu huwa wanaogopa.By the way hapa bongo kama wewe ni muagizaji wa bidhaa kutoka nje ya nchi na una exposure ya mambo ya ushuru wa forodha kwa upande wako utaweza kufanikiwa maana shida ya bongo abracadabra nyingi Sanaa kuna a lot of shinanigans so kama uko familiar na hizo mbilingembilinge unaweza pitisha bidhaa zako kwa kodi reasonable kabisa pasipo kukwepa kodi na mapato ya serikali wala kupigwa na ma agent au tra officers na faida ukapata vizuri tu.

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
 
Wadangaji sina experience nao ila itakuwa kwa kiasi kidogo maana karibia kila mtu ana uwezo wa kujiingizia kipato. Kuhusu biashara ya ngono, Kwa Sweden, anayenunua ni kosa, ila anayetoa huduma (Mwanamke) si kosa kwake. Huwa sijui mantiki ya hii sheria kwamba Mwanamme anakuwa guilt ila Mwanamke hawi guilt kwenye prostitution. Kwa Uholanzi kujiuza ni haki ya kila mtu. Kuna sehemu kabisa huko Amsterdam wana-mama waakuwa kwenye jumba lenye vioo wanajiuza kama unavyoona bidhaa kwenye maduka.
Waliweka hiyo sheria ili kuvunja hali ya wanaume kununua ngono. Kama wanaume hawanunui biashara inakuwa haipo.
Lakini mji kama Stockholm, kuna wadada wengi wadangaji na wanao jiuza. Hasa usiku ktk club. Ukipita wanakuita kama wadada wa Kinondoni. Wengine wanakaa club, wakiona unaenda msalani wanakufuata huko wakijisemesha. Sweden mademu wengi kuwapata kiurahisi ni club.
Kuna siku boss wa polisi alifumwa kwenye danguro na demu. Jamaa akajitetea alienda kuwachuguza.
Kuna demu yeye anazaa tu na wanaume tofauti akijua anapata fedha za matunzo. Si kwamba wadada wa kiswedish hawapendi wanaume wenye hela. Ilikuwa zamani. Siku hizi wanapenda sana wenye hela wakijuwa wataishi life nzuri. Wanapenda kutolewa outing na shopping.
Wakipenda wanapenda kweli, ila wakivurugwa kuachana ni dakika.
 
Nina fanya kazi ya Customs clearing agent hapa dsm,ni mdau kwa mwaka wa 10 sasa japo kwa sasa nimesimama kutokana na kuwa waagizaji na wasafirishaji wamepungua sana siku hizi hasa hasa wakati na baada ya janga la UVIKO 19. Kuna wakati hapo kitambo kama miaka ya 2012 na 2015 kuna jamaa mmoja ni mwarabu wa huko vijijini mbeya kabisa alikuwa mteja wetu anatupa document za kumtolea mizigo yake bandarini ni mizigo yake hasa ilikuwa ni Caterpillar,bulldozer magari makubwa kama dampers,agricultural tractors,rollers na vitu kama hizo alikuwa anavitoa Sweden sasa katika story story nikamuuliza huwa unatumiwa na ndugu zako au unavipata vipi hivi vifaa akanijibu kuwa huwa anakwenda Sweden yeye mwenyewe anakwenda Sweden anatembelea hadi vijijini kabisa huko akasema huko Sweden vijijini unaweza ukakuta damper kwa huko wana regard as kama tayari mbovu na limeisha muda wake lakini unaweza ukalinunua kwa bei chee kabisa na kwa kuwa yeye kakulia familia za kiarabu mambo ya magari magari na ufundi wa gereji anajua jinsi ya kuya handle.So alichokuwa anafanya ananunua hayo ma equipments kwa bei ndogo huko Sweden ya swekeni kabisa anasafirisha yakifika hapa bongo anatengeneza anayauza au mengine anakodisha kwa makampuni ya ujenzi kwa kweli kwa kipindi kile jamaa alini surprise sana kwa sababu ukimuona ni kama mshamba fulani hivi ila jamaa ana exposure ya kipekee kabisa na ndio alifungua akili kuwa kwa ulaya kama unaenda kwa ajili ya biashara ni rahisi sana na nauli sio kubwa kivile na hasa nchi za Scandinavian akasema hata gharama za kulala hotel au hostel ni ndogo sana watu tu huwa wanaogopa.By the way hapa bongo kama wewe ni muagizaji wa bidhaa kutoka nje ya nchi na una exposure ya mambo ya ushuru wa forodha kwa upande wako utaweza kufanikiwa maana shida ya bongo abracadabra nyingi Sanaa kuna a lot of shinanigans so kama uko familiar na hizo mbilingembilinge unaweza pitisha bidhaa zako kwa kodi reasonable kabisa pasipo kukwepa kodi na mapato ya serikali wala kupigwa na ma agent au tra officers na faida ukapata vizuri tu.

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Waarabu, Wahindi, Wasomali etc siku zote wanatoboa sababu ya exposure na tabia zao. Sisi wamatumbi ujuaji ni mwingi mno alafu tuna mambo mengii🤣🤣
 
Nimepapenda bure
Ahsante kwa taarifa
 
Waliweka hiyo sheria ili kuvunja hali ya wanaume kununua ngono. Kama wanaume hawanunui biashara inakuwa haipo.
Lakini mji kama Stockholm, kuna wadada wengi wadangaji na wanao jiuza. Hasa usiku ktk club. Ukipita wanakuita kama wadada wa Kinondoni. Wengine wanakaa club, wakiona unaenda msalani wanakufuata huko wakijisemesha. Sweden mademu wengi kuwapata kiurahisi ni club.
Kuna siku boss wa polisi alifumwa kwenye danguro na demu. Jamaa akajitetea alienda kuwachuguza.
Kuna demu yeye anazaa tu na wanaume tofauti akijua anapata fedha za matunzo. Si kwamba wadada wa kiswedish hawapendi wanaume wenye hela. Ilikuwa zamani. Siku hizi wanapenda sana wenye hela wakijuwa wataishi life nzuri. Wanapenda kutolewa outing na shopping.
Wakipenda wanapenda kweli, ila wakivurugwa kuachana ni dakika.
Ahsante kwa ufafanuzi Mkuu. Sasa iweje kuuza mwili kwa mwanamke isiwe kosa, ila kununua ndo iwe kosa? Kama lengo ni kudhibiti kabisa kwanini wasingeweka sheria kuwa kuuaza na kununua vyote ni makosa?
 
Ahsante kwa ufafanuzi Mkuu. Sasa iweje kuuza mwili kwa mwanamke isiwe kosa, ila kununua ndo iwe kosa? Kama lengo ni kudhibiti kabisa kwanini wasingeweka sheria kuwa kuuaza na kununua vyote ni ma

Ahsante kwa ufafanuzi Mkuu. Sasa iweje kuuza mwili kwa mwanamke isiwe kosa, ila kununua ndo iwe kosa? Kama lengo ni kudhibiti kabisa kwanini wasingeweka sheria kuwa kuuaza na kununua vyote ni makosa?
Wanaume wamekuwa waoga kununua bidhaa, hivyo soko la uuzaji linakosekana. Wanajua ukimdhibiti mnunuaji biashara itadoda na kukoswa soko. Lakini pia Sweden ni moja ya nchi ambazo zinatetea sana wanawake. Mwanamke Sweden ana sauti kuliko mwanaume. Ni sawa na sheria zetu kuwa ukimkonyeza mwanamke ni kosa la jinai. Na ukishiriki mapenzi na binti chini ya miaka kumi na nane hata awe amekubali yeye mwenyewe ni kosa la jinai utakuwa umebaka. Na hata ushiriki na student akiwa na miaka 18 akakubali yeye mwenyewe au akakuanza kimapenzi ni kosa la jinai.

Hivyo sheria zipo kumlinda mwanamke au binti wa kike. Na zaidi kumsurubu mwanaume. Then wanataka haki sawa? Hapa hakuna haki sawa ni kutaka kumnyanyasa mwanaume kinamna kwa matumizi ya sheria.
 
Nina fanya kazi ya Customs clearing agent hapa dsm,ni mdau kwa mwaka wa 10 sasa japo kwa sasa nimesimama kutokana na kuwa waagizaji na wasafirishaji wamepungua sana siku hizi hasa hasa wakati na baada ya janga la UVIKO 19. Kuna wakati hapo kitambo kama miaka ya 2012 na 2015 kuna jamaa mmoja ni mwarabu wa huko vijijini mbeya kabisa alikuwa mteja wetu anatupa document za kumtolea mizigo yake bandarini ni mizigo yake hasa ilikuwa ni Caterpillar,bulldozer magari makubwa kama dampers,agricultural tractors,rollers na vitu kama hizo alikuwa anavitoa Sweden sasa katika story story nikamuuliza huwa unatumiwa na ndugu zako au unavipata vipi hivi vifaa akanijibu kuwa huwa anakwenda Sweden yeye mwenyewe anakwenda Sweden anatembelea hadi vijijini kabisa huko akasema huko Sweden vijijini unaweza ukakuta damper kwa huko wana regard as kama tayari mbovu na limeisha muda wake lakini unaweza ukalinunua kwa bei chee kabisa na kwa kuwa yeye kakulia familia za kiarabu mambo ya magari magari na ufundi wa gereji anajua jinsi ya kuya handle.So alichokuwa anafanya ananunua hayo ma equipments kwa bei ndogo huko Sweden ya swekeni kabisa anasafirisha yakifika hapa bongo anatengeneza anayauza au mengine anakodisha kwa makampuni ya ujenzi kwa kweli kwa kipindi kile jamaa alini surprise sana kwa sababu ukimuona ni kama mshamba fulani hivi ila jamaa ana exposure ya kipekee kabisa na ndio alifungua akili kuwa kwa ulaya kama unaenda kwa ajili ya biashara ni rahisi sana na nauli sio kubwa kivile na hasa nchi za Scandinavian akasema hata gharama za kulala hotel au hostel ni ndogo sana watu tu huwa wanaogopa.By the way hapa bongo kama wewe ni muagizaji wa bidhaa kutoka nje ya nchi na una exposure ya mambo ya ushuru wa forodha kwa upande wako utaweza kufanikiwa maana shida ya bongo abracadabra nyingi Sanaa kuna a lot of shinanigans so kama uko familiar na hizo mbilingembilinge unaweza pitisha bidhaa zako kwa kodi reasonable kabisa pasipo kukwepa kodi na mapato ya serikali wala kupigwa na ma agent au tra officers na faida ukapata vizuri tu.

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Gharama za kulala sehemu kama Ibis na Novotel ni ndogo sana.

Kama ulivyosema, ukiwa na genuine reasons waenda ughaibuni kibiashara na documents zipo safi, una akaunti yako imetuna na watoa statements za uhakika wakihitaji basi huko kwa wenzetu ni poa sana.

Tena wajijengea heshima wengine waweza kukupa ILE hata miaka 5.
 
Wanaume wamekuwa waoga kununua bidhaa, hivyo soko la uuzaji linakosekana. Wanajua ukimdhibiti mnunuaji biashara itadoda na kukoswa soko. Lakini pia Sweden ni moja ya nchi ambazo zinatetea sana wanawake. Mwanamke Sweden ana sauti kuliko mwanaume. Ni sawa na sheria zetu kuwa ukimkonyeza mwanamke ni kosa la jinai. Na ukishiriki mapenzi na binti chini ya miaka kumi na nane hata awe amekubali yeye mwenyewe ni kosa la jinai utakuwa umebaka. Na hata ushiriki na student akiwa na miaka 18 akakubali yeye mwenyewe au akakuanza kimapenzi ni kosa la jinai.

Hivyo sheria zipo kumlinda mwanamke au binti wa kike. Na zaidi kumsurubu mwanaume. Then wanataka haki sawa? Hapa hakuna haki sawa ni kutaka kumnyanyasa mwanaume kinamna kwa matumizi ya sheria.
Shukrani kwa ufafanuzi Mkuu. Kuna kipindi nilihudhuria event moja hivi wakawa wanasema kwa Sweden mtoto/kijana mwenye umri wa miaka chini ya 18 au 15 kama sijakosea siyo kosa la jinai iwapo atashiriki mapenzi na mtu mwenye umri sawa na yeye. Namanisha mfano mtoto kwa kike mwenye 13 years kushiriki mapenzi na mtoto wa kiume mwenye 13 years si kosa. Ila mmojawapo akishiriki mapenzi na mtu mwenye umri mkubwa zaidi yake ndio kosa. Unaifahamu hii kitu Mkuu kwa uzoefu wako?
 
Gharama za kulala sehemu kama Ibis na Novotel ni ndogo sana.

Kama ulivyosema, ukiwa na genuine reasons waenda ughaibuni kibiashara na documents zipo safi, una akaunti yako imetuna na watoa statements za uhakika wakihitaji basi huko kwa wenzetu ni poa sana.

Tena wajijengea heshima wengine waweza kukupa ILE hata miaka 5.
Sweden wana sera nzuri sana ya uwekezaji. Very friendly investment policy.
 
Shukrani kwa ufafanuzi Mkuu. Kuna kipindi nilihudhuria event moja hivi wakawa wanasema kwa Sweden mtoto/kijana mwenye umri wa miaka chini ya 18 au 15 kama sijakosea siyo kosa la jinai iwapo atashiriki mapenzi na mtu mwenye umri sawa na yeye. Namanisha mfano mtoto kwa kike mwenye 13 years kushiriki mapenzi na mtoto wa kiume mwenye 13 years si kosa. Ila mmojawapo akishiriki mapenzi na mtu mwenye umri mkubwa zaidi yake ndio kosa. Unaifahamu hii kitu Mkuu kwa uzoefu wako?
Ndiyo kwa Sweden mtoto akiwa na miaka 15 anaruhusiwa kuanya mapenzi na mtu wa rika lake. Isipokuwa kunasheria inayowalinda wasiwe kwenye mahusiano na mtu mzima. Japo watoto wengi wa shule hasa Sweden wanaanya sana mapenzi na rika lao pia vijana walio kwenye miaka ishirini na kitu.
Kuna wakimbizi wengi toka Middle East. Hawa wamekuwa wanawapitia sana vibinti vya shule. Watoto wengi wameharibika wakiwa shule wanavuta sigara na bangi. Kwao wanaweza wasielewe au wakaelewa lakini mtoto ndo anamaamuzi. Kuna sheria watoto chini ya miaka 18 hawezi nunua sigara au pombe dukani. Lakini wapo wengi sana wananunua kwa kuwatumia vijana wakubwa kwenye miaka 20 na kitu. Kisha uvuta nao na hata kunywa pombe nao. Mida ya jioni yanayoendelea ni aibu. Hawaoni shida kukuta wanasex kwenye Park, shuleni maeneo ya kupumzika na hata kanisani maliwatoni, au ktk lounge.

Watoto wengi hasa hao ma teenager, wanapenda sana kuchill, sigara haziwatoki midomoni, kuna baadhi uacha shule wakipenda kujirusha kwanza na maisha.
 
Sweden wana sera nzuri sana ya uwekezaji. Very friendly investment policy.
Ila kingereza ni lugha rasmi ya kazi lakini kuongea lugha yao wajipa nafasi ya kupata kazi nzuri.

Nilipata nafasi ya kuwa nakwenda hapo kikazi na kampuni moja hivi maarufu.

Ina makao yake makuu Stockholm.

Ila nimefika hadi mji wa Sundsvall.

Wana tractor zao kama Bolinder Manktel na Valtra.

Hizi za Valtra ni modern generation.
 
Ndiyo kwa Sweden mtoto akiwa na miaka 15 anaruhusiwa kuanya mapenzi na mtu wa rika lake. Isipokuwa kunasheria inayowalinda wasiwe kwenye mahusiano na mtu mzima. Japo watoto wengi wa shule hasa Sweden wanaanya sana mapenzi na rika lao pia vijana walio kwenye miaka ishirini na kitu.
Kuna wakimbizi wengi toka Middle East. Hawa wamekuwa wanawapitia sana vibinti vya shule. Watoto wengi wameharibika wakiwa shule wanavuta sigara na bangi. Kwao wanaweza wasielewe au wakaelewa lakini mtoto ndo anamaamuzi. Kuna sheria watoto chini ya miaka 18 hawezi nunua sigara au pombe dukani. Lakini wapo wengi sana wananunua kwa kuwatumia vijana wakubwa kwenye miaka 20 na kitu. Kisha uvuta nao na hata kunywa pombe nao. Mida ya jioni yanayoendelea ni aibu. Hawaoni shida kukuta wanasex kwenye Park, shuleni maeneo ya kupumzika na hata kanisani maliwatoni, au ktk lounge.

Watoto wengi hasa hao ma teenager, wanapenda sana kuchill, sigara haziwatoki midomoni, kuna baadhi uacha shule wakipenda kujirusha kwanza na maisha.
Uko sawa, influence ya wageni imechangia sana kubadili mtazamo wa vijana.
 
Back
Top Bottom