machiaveli
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 2,225
- 5,055
Hizi mada hazina maana yoyote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaelewa maana ya kuthibitisha au unaongea moto wa imani tu kama vile ubaya ubwela?Because we can never be like God
"Something can't arise from nothing" ni uthibitisho mtupuCosmological Argument ni hoja zilizojaribu ku-assume kuwa ku Mungu kupitia mifano ya mazingira, hazithibitishi Mungu yupo.
"Something can't arise from nothing" ni uthibitisho mtupuCosmological Argument ni hoja zilizojaribu ku-assume kuwa ku Mungu kupitia mifano ya mazingira, hazithibitishi Mungu yupo.
Hoja nyepesi sana hii, kwa maana imekaa kiimani zaidi so ni ngumu kumshawishi mtu ambae haamini akuaminiBut you can't compare God with other things🤔he greater than all things that arise from something umenielewa ?!
Kabisa yaniHoja nyepesi sana hii, kwa maana imekaa kiimani zaidi so ni ngumu kumshawishi mtu ambae haamini akuamini
Kama hii hoja ni kweli then hata Mungu nae anacho chanzo chake."Something can't arise from nothing" ni uthibitisho mtupu
God is eternal.. uncreated doesn't changed neither Grow old ..sawa ehKama hii hoja ni kweli then hata Mungu nae anacho chanzo chake.
Biblia inaeleza mambo mengi kuhusu Mungu. Na Biblia imeandikwa na wanadamu wakiongozwa na Roho Mtakatifu. Kwa maneno mengine, ukisoma Biblia utajua habari za Mungu na unaweza kuwaelezea wengine wasiomjua Mungu.Hakuna mwanadamu anayeweza kumuelezea Mwenyezi Mungu.
Hao wamejaribu tu kumuelezea ila kuna mengi sana tusiyoyajua kuhusu Mungu.Biblia inaeleza mambo mengi kuhusu Mungu. Na Biblia imeandikwa na wanadamu wakiongozwa na Roho Mtakatifu. Kwa maneno mengine, ukisoma Biblia utajua habari za Mungu na unaweza kuwaelezea wengine wasiomjua Mungu.
Sijui kwa nini mnataka kuthibitishiwa Mungu? Anayeamini aamini na anayechagua kutokuamini asiamini, wote tumezaliwa tumekuta hii misimamo wenye kuamini na wasioamini toka enzi wala tusidhani sayansi au teknolojia ndio imekuja kupinga uwepo wa Mungu.Thibitisha uwepo wa huyo Mungu?
Kujamba linaonekana jambo baya kwa sababu ya dhambi zetu wenyewe. Biblia inasema Mungu alipomaliza kuumba, kila alichokiumba kilikuwa chema. Hakukuwa na harufu mbaya. Dhambi ilipoingia ndio imeleta uharibifu: magonjwa, harufu mbaya nk nkhivi kweli ungekuwa wewe ndo MUNGU, ungemuumba kiumbe anayeJAMBA ,. kweli?🤔🤔🤔
kwamba kulikuwa hamna namna nyingine kabisaaaa?🤧🤧🤔
Kama Mungu yupo unataka mjadala na mimi wa nini?Anyway, mijadala ya namna hii huwa haifikiagi muafaka kwa maana imani ni mambo ya rohoni na kutokuamini ni mambo ya kimwili, tunaoamini tuendelee kuamini na tusio amini tuendelee kutokuamini... Siku itabidi mnipe mdahalo na hawa jamaa min -me Kiranga na wengineo wenye misimamo hasi kuhusu uwepo wa Mungu ili niwasilimishe au niwasalishe Sala ya toba baada ya mdahalo kumalizika.
tungeonewa huruma juu ya hili 🤧🙌🙌Kujamba linaonekana jambo baya kwa sababu ya dhambi zetu wenyewe. Biblia inasema Mungu alipomaliza kuumba, kila alichokiumba kilikuwa chema. Hakukuwa na harufu mbaya. Dhambi ilipoingia ndio imeleta uharibifu: magonjwa, harufu mbaya nk nk
Waafrika tunatoa mapepo kwa Jina la Yesu, yanakimbia mbio! Waafrika tunaomba Mungu anatupa mahitaji yetu. Mimi nimepona magonjwa mengi sana kwa kumuomba Mungu. Mbuga za wanyama Afrika ni uthibitisho mkubwa wa uwepo wa Mungu.Umeandika mambo ya wazungu ambayo mengi yapo kwenye vitabu. Gravity mfano yaani wamesema wao kwa namna zao. Mungu yupo ila sio kwa namna ambazo zinathibifishwa na watu wa upande flan tu. Ndio kusema sisi Waafrika hakuna letu hata moja linalothibitisha uwepo wa Mungu?
Kusema kila kitu kuwa na chanzo nadhani ni akili ya binaadamu ndio inakubali hivyo.Hayo ni maneno ya kiimani tu na hukupaswa kusema kila kitu lazima kiwe na chanzo sijui kama unanielewa lakini?
Huwezi kujua bila kujifunzaKujifunza kuamini au kujua?