Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
1. Simba haijawahi kucheza mchezo wowote wa kimataifa msimu huu na kushinda, kumbuka hata kufuzu walifuzu kwa goli la ugenii.
2. Sio jambo la kawaida kwa timu kama Simba kucheza mechi za kimataifa na kuishia sare.
3.Sikubaliani na hoja kuwa wachezaji wa Simba ni wazee ila nakubaliana na hoja kuwa hawa wachezaji kuna kitu kimefanyika kwa wachezaji ili timu isipate ushindi.
4.Kwa yanayoendelea katika timu hii Benchika amekuja kujidhalilisha na muda sio mrefu yatamkuta kama.Robertinho.
5.Ushindi wa Simba utaendelea kuwa sare hadi mambo yatakapokaa sawa.
6.Viongozi wakubali kuwajibika ili wenye uwezo waongoze timu, kuendelea kung'ang'ania uongozi wakati matokeo sio mazuri sio sawa kabisa.
7.Brand ya timu imekufa kabisa kwa sababu sidhani kama mashabiki watakuwa na morali tena na hii timu.
8.Mnaweza kuwalaumu wachezaji lakn hata wajitume namna gani ngoma haiwezi kusimama tena kwa sababu wachezaji wameshafungwa miguu hao.
9.Wazee wa Simba wakiendelea kukaa kimya jahazi linakwenda mrama, muda bado upo.
10. Kama tumeshindwa kuwafunga Gwanengy leo basi msimu huu ni msimu wa ngedere.
11.Yanga leo atashinda dhidi ya Al Ahly na hali hiyo itazidi kuchochea mgogoro pale unyamani.
2. Sio jambo la kawaida kwa timu kama Simba kucheza mechi za kimataifa na kuishia sare.
3.Sikubaliani na hoja kuwa wachezaji wa Simba ni wazee ila nakubaliana na hoja kuwa hawa wachezaji kuna kitu kimefanyika kwa wachezaji ili timu isipate ushindi.
4.Kwa yanayoendelea katika timu hii Benchika amekuja kujidhalilisha na muda sio mrefu yatamkuta kama.Robertinho.
5.Ushindi wa Simba utaendelea kuwa sare hadi mambo yatakapokaa sawa.
6.Viongozi wakubali kuwajibika ili wenye uwezo waongoze timu, kuendelea kung'ang'ania uongozi wakati matokeo sio mazuri sio sawa kabisa.
7.Brand ya timu imekufa kabisa kwa sababu sidhani kama mashabiki watakuwa na morali tena na hii timu.
8.Mnaweza kuwalaumu wachezaji lakn hata wajitume namna gani ngoma haiwezi kusimama tena kwa sababu wachezaji wameshafungwa miguu hao.
9.Wazee wa Simba wakiendelea kukaa kimya jahazi linakwenda mrama, muda bado upo.
10. Kama tumeshindwa kuwafunga Gwanengy leo basi msimu huu ni msimu wa ngedere.
11.Yanga leo atashinda dhidi ya Al Ahly na hali hiyo itazidi kuchochea mgogoro pale unyamani.