Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Nahisi huwa wanatumwa kuchafua hali ya hewa...Huwa wanazingua sanaa, utafkiri wanatumwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nahisi huwa wanatumwa kuchafua hali ya hewa...Huwa wanazingua sanaa, utafkiri wanatumwa.
Anapiga tu makeleleHata haueleweki for sure...
Muhimu point 3 na nyie kesho baneni matako mpate point 3Wameshinda kwa mbinde mno
Anajichanganya sana kwny hoja zake..Anapiga tu makelele
Kuujua mpira kwa kuangalia tu na kuujua kuangalia na kuucheza ndiyo tatizo linaazia hapo.Hata ukiangalia kwny rating ya mchezo wa leo utaona yy ndo mwenye point nyingi..Lakred zimepungua kwa sbb ya kadi njano...
Hao wanosema Inonga sijui hivi inonga vile wa kupuuzwa ..
Kwakweli...wajitahidi waache kuhemukwa..Kuujua mpira kwa kuangalia tu na kuujua kuangalia na kuucheza ndiyo tatizo linaazia hapo.
Huwezi kuwa na akili halafu ukasema Inonga auzwe.1. Mchezo ulikuwa mzuri sana kipindi cha kwanza lakini cha pili tulishikilia sana bomba
2.Beki Shabalala atafutiwe mbadala, safari nyingi sana zimefanyikia upande wake leo
3.Inonga Baka auzwe, kuna siku ataigharimu sana timu kwa mambo ya kitoto
4.Mzamiru Yassin hawezi kubadilija tena, amefika mwisho, nafasi yake angekaa Feitoto leo mechi ilikuwa inaisha kipindi cha 1
5.Somba Somba Onana kama mliangalia kikosi changu jana usiku nilimweka winga wa kushoto, mm namuamini kuliko mchezaji yeyote Simba
6.Duchu, Israel na Abdallah Hamis hawakutegemea kama leo watacheza, ilikuwa surprise kwao, wasilaumiwe
7.Simba imeshinda kwa sababu mpira umechezwa sana nje otherwis wasingekuga wale wamanga
8.Kibu kupumzishwa yalikuwa makosa makubwa ya kiufundi
9.Benchika kama anataka kudefence ni bora udefend kuanzia dakika ya 80 lkn kudefende dakika ya 60, very dangerous
10.Mwamba wa Lusaka sijui nini kimemkuta, uwezo umepungua saba
11.Saido Ntibazonkiza bado anahitajika sana kikosini, leo angekuwepp lazima angeweka kambani
12.Sadio Kanoute ni mtu muhim sana Simba kwani Mzamiru ni mzinguaji tosha
13.Simba Nguvu moja, ikiendelea hivi kama ilivyokuwa wiki hii hakuna wa kuizuia
14.Ayoub Lakred atamfukuzisha kazi Manula na kuna uwezekano akarudi azam
15.Wachezaji wa Simba walirogwa leo ndio tumeona uchezaji halisi wa Somba Somba Onana.
Kila la heri Medeama kesho.
Miaka 27 yanga inakusanya pointi 2 makundi klabu bingwa.Utofauti wa Makolokolo na Wananchi hudhihirika namna hii, Yanga "Wananchi" huwa hatuhadaiki kutathmini klabu yetu kwa matokeo ya mechi 1 tu ilihali tunaamini chemistry ya timu huhitaji muda gani Kocha mpya kuweka filosofi zake kuleta ubora wa timu.
Makolokolo SC fans = Maharagwe ya Mbeya maji mara 1 (kuridhika mapema)...[emoji142]
Mnakuwa mmekula nini?Utofauti wa Makolokolo na Wananchi hudhihirika namna hii, Yanga "Wananchi" huwa hatuhadaiki kutathmini klabu yetu kwa matokeo ya mechi 1 tu ilihali tunaamini chemistry ya timu huhitaji muda gani Kocha mpya kuweka filosofi zake kuleta ubora wa timu.
Makolokolo SC fans = Maharagwe ya Mbeya maji mara 1 (kuridhika mapema)...[emoji142]
Mbulula kama wewe unamshauri kocha mwenye makombe Africa na anakaa na kuwafahamu wachezaji vizuri, wewe wa Tandahimba unakuja kuchambua upumbavu, shameless1. Mchezo ulikuwa mzuri sana kipindi cha kwanza lakini cha pili tulishikilia sana bomba
2.Beki Shabalala atafutiwe mbadala, safari nyingi sana zimefanyikia upande wake leo
3.Inonga Baka auzwe, kuna siku ataigharimu sana timu kwa mambo ya kitoto
4.Mzamiru Yassin hawezi kubadilija tena, amefika mwisho, nafasi yake angekaa Feitoto leo mechi ilikuwa inaisha kipindi cha 1
5.Somba Somba Onana kama mliangalia kikosi changu jana usiku nilimweka winga wa kushoto, mm namuamini kuliko mchezaji yeyote Simba
6.Duchu, Israel na Abdallah Hamis hawakutegemea kama leo watacheza, ilikuwa surprise kwao, wasilaumiwe
7.Simba imeshinda kwa sababu mpira umechezwa sana nje otherwis wasingekuga wale wamanga
8.Kibu kupumzishwa yalikuwa makosa makubwa ya kiufundi
9.Benchika kama anataka kudefence ni bora udefend kuanzia dakika ya 80 lkn kudefende dakika ya 60, very dangerous
10.Mwamba wa Lusaka sijui nini kimemkuta, uwezo umepungua saba
11.Saido Ntibazonkiza bado anahitajika sana kikosini, leo angekuwepp lazima angeweka kambani
12.Sadio Kanoute ni mtu muhim sana Simba kwani Mzamiru ni mzinguaji tosha
13.Simba Nguvu moja, ikiendelea hivi kama ilivyokuwa wiki hii hakuna wa kuizuia
14.Ayoub Lakred atamfukuzisha kazi Manula na kuna uwezekano akarudi azam
15.Wachezaji wa Simba walirogwa leo ndio tumeona uchezaji halisi wa Somba Somba Onana.
Kila la heri Medeama kesho.
11, Saido ntibanzokiza yulee mzee wa nn? Tena lina nuksi na mikosi lile zee, wallah angekuwepo tungefungwa.1. Mchezo ulikuwa mzuri sana kipindi cha kwanza lakini cha pili tulishikilia sana bomba
2.Beki Shabalala atafutiwe mbadala, safari nyingi sana zimefanyikia upande wake leo
3.Inonga Baka auzwe, kuna siku ataigharimu sana timu kwa mambo ya kitoto
4.Mzamiru Yassin hawezi kubadilija tena, amefika mwisho, nafasi yake angekaa Feitoto leo mechi ilikuwa inaisha kipindi cha 1
5.Somba Somba Onana kama mliangalia kikosi changu jana usiku nilimweka winga wa kushoto, mm namuamini kuliko mchezaji yeyote Simba
6.Duchu, Israel na Abdallah Hamis hawakutegemea kama leo watacheza, ilikuwa surprise kwao, wasilaumiwe
7.Simba imeshinda kwa sababu mpira umechezwa sana nje otherwis wasingekuga wale wamanga
8.Kibu kupumzishwa yalikuwa makosa makubwa ya kiufundi
9.Benchika kama anataka kudefence ni bora udefend kuanzia dakika ya 80 lkn kudefende dakika ya 60, very dangerous
10.Mwamba wa Lusaka sijui nini kimemkuta, uwezo umepungua saba
11.Saido Ntibazonkiza bado anahitajika sana kikosini, leo angekuwepp lazima angeweka kambani
12.Sadio Kanoute ni mtu muhim sana Simba kwani Mzamiru ni mzinguaji tosha
13.Simba Nguvu moja, ikiendelea hivi kama ilivyokuwa wiki hii hakuna wa kuizuia
14.Ayoub Lakred atamfukuzisha kazi Manula na kuna uwezekano akarudi azam
15.Wachezaji wa Simba walirogwa leo ndio tumeona uchezaji halisi wa Somba Somba Onana.
Kila la heri Medeama kesho.
Bora umesema, kwanza lina nuksi na mikosii plus gunduu. LifurushweeeSaidoo ana Ubinafsi, angekuwepo Simba angepoteza maaana yeye hatoi assist anataka afunge yeye tuu
Nashangaa hapo.Huwa mnapata wapi ujasiri wa kusema Inonga auzwe..!?
Saidoo afurushweee, lina nuksi, mikosi na gundu lile zee, khaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Inonga ataendelea kuwa bora tu,
Kibu ndio mchezaji anaejituma sana na sasahivi ame-upgrade masuala fulani ya kiuchezaji
Chama sio wa kutolewa maana yeye ndiye brain ya mashambulizi karibu yote ya simba.Anapopata mpira anajua afanye nini, aupeleke wapi, kwa nani na kwa wakati gani.
Saido ukitoa kimbia kimbia yake hakuna lingine zaidi ya ubinafsi wa kupiga mashuti yasiyo na macho
1. Mchezo ulikuwa mzuri sana kipindi cha kwanza lakini cha pili tulishikilia sana bomba
2.Beki Shabalala atafutiwe mbadala, safari nyingi sana zimefanyikia upande wake leo
3.Inonga Baka auzwe, kuna siku ataigharimu sana timu kwa mambo ya kitoto
4.Mzamiru Yassin hawezi kubadilija tena, amefika mwisho, nafasi yake angekaa Feitoto leo mechi ilikuwa inaisha kipindi cha 1
5.Somba Somba Onana kama mliangalia kikosi changu jana usiku nilimweka winga wa kushoto, mm namuamini kuliko mchezaji yeyote Simba
6.Duchu, Israel na Abdallah Hamis hawakutegemea kama leo watacheza, ilikuwa surprise kwao, wasilaumiwe
7.Simba imeshinda kwa sababu mpira umechezwa sana nje otherwis wasingekuga wale wamanga
8.Kibu kupumzishwa yalikuwa makosa makubwa ya kiufundi
9.Benchika kama anataka kudefence ni bora udefend kuanzia dakika ya 80 lkn kudefende dakika ya 60, very dangerous
10.Mwamba wa Lusaka sijui nini kimemkuta, uwezo umepungua saba
11.Saido Ntibazonkiza bado anahitajika sana kikosini, leo angekuwepp lazima angeweka kambani
12.Sadio Kanoute ni mtu muhim sana Simba kwani Mzamiru ni mzinguaji tosha
13.Simba Nguvu moja, ikiendelea hivi kama ilivyokuwa wiki hii hakuna wa kuizuia
14.Ayoub Lakred atamfukuzisha kazi Manula na kuna uwezekano akarudi azam
15.Wachezaji wa Simba walirogwa leo ndio tumeona uchezaji halisi wa Somba Somba Onana.
Kila la heri Medeama kesho.
Lia kwa nguvu😂😂😂Bingwa wa caf ni Al Ahly sio wachovu wydad