Mambo 15 niliyoyaona leo Simba ikiivua ubingwa Wydad kwa Mkapa

Mambo 15 niliyoyaona leo Simba ikiivua ubingwa Wydad kwa Mkapa

Saidoo afurushweee, lina nuksi, mikosi na gundu lile zee, khaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jamani acheni kumbeza mchezaji namna hii...ana mchango wake..mwacheni mwalimu ndo anaejua..kumtamkia mchezaji maneno kama haya wkt anaipambania timu yetu si uungwana hata kidogo..kila mtu ana ups an downs zake...

Sijapenta Cocaa.. 😊
 
Kuna watu mna Siri!! Wydad alichukua ubingwa kimya kimya na Leo kavuliwa?
Nimeishia kusoma kichwa cha habari tu, nilipoona ameandika kumvua ubingwa nikaacha kusoma content nikaenda kwenye comments za watu.
Hata kama ingekuwa Wydad ndio bingwa mtetezi, huwezi kusema Wydad kavuliwa ubingwa wakati kuna mechi mbili zimebaki ambazo ni sawa na alama 6 kwa kila timu. Hadi sasa timu zote tatu ( Wydad, Galaxy na Simba) yeyote anaweza kuungana na Asec kwenye kufuzu. Wydad akishinda mechi inayofuata dhidi ya Galaxy halafu Simba ikafungwa mechi inayofuata dhidi ya Asec, basi asilimia ya Simba kufuzu itakuwa ni chache sana. Kwasababu Wydad atamaliza mechi yake nyumbani dhidi ya Asec mwenye uhakika wa kushika nafasi ya kwanza kwa kuwa na point 13 zisizoweza fikiwa na yeyote ile. Hivyo kutokana na Wydad kuwa nyumbani na Asec ku relax, Wydad anaweza kumfunga Asec kule Morocco na safari ikaishia hapo.

Hatima ya hili group litakuwa kwenye mzunguko wa tano.
 
7.Simba imeshinda kwa sababu mpira umechezwa sana nje otherwis wasingekuga wale wamanga.


11.Saido Ntibazonkiza bado anahitajika sana kikosini, leo angekuwepp lazima angeweka kambani.
Sentensi zinazojicontradict. Kwamba Simba imeshinda kwa kuwa mpira umechezwa sana nje, halafu unakuja kusema Saido Ntibazonkiza angekuwepp lazima angeweka kambani. Ina maana Saido angecheza ndio mpira usingekuwa umechezwa nje?
 
10.Mwamba wa Lusaka sijui nini kimemkuta, uwezo umepungua sana.

11.Saido Ntibazonkiza bado anahitajika sana kikosini, leo angekuwepp lazima angeweka kambani.
Nakubaliana na wewe kwa kiasi kikubwa lakini naomba nitofautiane na wewe kidogo hapo kwenye namba 10 na 11.

Kwanza kabla ya kumsifu Onana naomba kwa nia nzuri tu urudi " youtube" uangalie mara mbili mbili uone goli zote mbili zimeanzia kwa nani kama sio kazi kubwa liiyofanywa kwanza na Chama. Chama aliyeisha ni bora zaidi mara mbili ya Saidoo aliye "fit" . Na leo Saidoo angekuwepo Simba wasingepata hata goli moja kwa sababu Saidoo ana juhudi sana bila akili na utlivu na hicho ndio kinachomtofautisha yeye na Chama.
 
Miaka 27 yanga inakusanya pointi 2 makundi klabu bingwa.

Halafu unakuja hapa kutupigia kelele. Unajiona bora.

Mechi zote umepigwa ukahaha kutafuta suluhu.

Tangu makundi yamepangwa mko nafasi ya nne na mpaka leo ni nafasi ya nne.

Hakuna yanga mwenye akili!!!!!!!!
1. Taja timu inayoongoza kuifunga magoli mengi sana Mbumbumbu SC duniani.

2. Taja timu inayoongoza kuifunga Mbumbumbu SC mechi nyingi sana duniani.

3. Mara ngapi Makolokolo waligoma kurudi uwanjani dhidi ya Yanga SC baada ya kichapo kizito cha half time kumaliza dakika 90 za mpira?

Makolokolo mnajitutumua tu kwa Mabingwa wenu Yanga SC, bila Mbeleko Simba ni mwepesi sana [emoji4]
JamiiForums1683832807.jpg
JamiiForums-1509915263.jpg
 
Naamini Benchika atakuwa amejufunza kitu leo kwa kumchezesha Chama katikati badala ya Saidoo. Chama akili kubwa, utulivu na "team work" lakini Sidoo ubinafsi, papara na juhudi bila akili hata ili "one two" ya goli la pili angekuwa Saidoo haki ya Mungu angefumua shuti ili afunge asifiwe yeye hata timu ikikosa ushindi yeye hajali ilimradi yeye kapata sifa.
 
1. Taja timu inayoongoza kuifunga magoli mengi sana Mbumbumbu SC duniani.

2. Taja timu inayoongoza kuifunga Mbumbumbu SC mechi nyingi sana duniani.

3. Mara ngapi Makolokolo waligoma kurudi uwanjani dhidi ya Yanga SC baada ya kichapo kizito cha half time kumaliza dakika 90 za mpira?

Makolokolo mnajitutumua tu kwa Mabingwa wenu Yanga SC, bila Mbeleko Simba ni mwepesi sana [emoji4]View attachment 2847486View attachment 2847487
Mwaka 1938 hapakuwepo timu inaitwa simba katika ardhi ya Tanganyika
 
1. Mchezo ulikuwa mzuri sana kipindi cha kwanza lakini cha pili tulishikilia sana bomba

2.Beki Shabalala atafutiwe mbadala, safari nyingi sana zimefanyikia upande wake leo.

3.Inonga Baka auzwe, kuna siku ataigharimu sana timu kwa mambo ya kitoto.

4.Mzamiru Yassin hawezi kubadilija tena, amefika mwisho, nafasi yake angekaa Feitoto leo mechi ilikuwa inaisha kipindi cha 1.

5.Somba Somba Onana kama mliangalia kikosi changu jana usiku nilimweka winga wa kushoto, mimi namuamini kuliko mchezaji yeyote Simba.

6.Duchu, Israel na Abdallah Hamis hawakutegemea kama leo watacheza, ilikuwa surprise kwao, wasilaumiwe.

7.Simba imeshinda kwa sababu mpira umechezwa sana nje otherwis wasingekuga wale wamanga.

8.Kibu kupumzishwa yalikuwa makosa makubwa ya kiufundi.

9.Benchika kama anataka kudefence ni bora udefend kuanzia dakika ya 80 lakini kudefende dakika ya 60, very dangerous.

10.Mwamba wa Lusaka sijui nini kimemkuta, uwezo umepungua sana.

11.Saido Ntibazonkiza bado anahitajika sana kikosini, leo angekuwepp lazima angeweka kambani.

12.Sadio Kanoute ni mtu muhim sana Simba kwani Mzamiru ni mzinguaji tosha.

13.Simba Nguvu moja, ikiendelea hivi kama ilivyokuwa wiki hii hakuna wa kuizuia.

14.Ayoub Lakred atamfukuzisha kazi Manula na kuna uwezekano akarudi Azam.

15.Wachezaji wa Simba walirogwa leo ndio tumeona uchezaji halisi wa Somba Somba Onana.

Kila la heri Medeama kesho.
Sawa Keyboard Coach. Tumekuelewa.
 
Namba 4 na namba 10 hapo umechambua kimuhemko.
 
Back
Top Bottom