Jamani acheni kumbeza mchezaji namna hii...ana mchango wake..mwacheni mwalimu ndo anaejua..kumtamkia mchezaji maneno kama haya wkt anaipambania timu yetu si uungwana hata kidogo..kila mtu ana ups an downs zake...Saidoo afurushweee, lina nuksi, mikosi na gundu lile zee, khaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kabsa ni wapuuziHata ukiangalia kwny rating ya mchezo wa leo utaona yy ndo mwenye point nyingi..Lakred zimepungua kwa sbb ya kadi njano...
Hao wanosema Inonga sijui hivi inonga vile wa kupuuzwa ..
Nimeishia kusoma kichwa cha habari tu, nilipoona ameandika kumvua ubingwa nikaacha kusoma content nikaenda kwenye comments za watu.Kuna watu mna Siri!! Wydad alichukua ubingwa kimya kimya na Leo kavuliwa?
Sentensi zinazojicontradict. Kwamba Simba imeshinda kwa kuwa mpira umechezwa sana nje, halafu unakuja kusema Saido Ntibazonkiza angekuwepp lazima angeweka kambani. Ina maana Saido angecheza ndio mpira usingekuwa umechezwa nje?7.Simba imeshinda kwa sababu mpira umechezwa sana nje otherwis wasingekuga wale wamanga.
11.Saido Ntibazonkiza bado anahitajika sana kikosini, leo angekuwepp lazima angeweka kambani.
Nakubaliana na wewe kwa kiasi kikubwa lakini naomba nitofautiane na wewe kidogo hapo kwenye namba 10 na 11.10.Mwamba wa Lusaka sijui nini kimemkuta, uwezo umepungua sana.
11.Saido Ntibazonkiza bado anahitajika sana kikosini, leo angekuwepp lazima angeweka kambani.
Wew jamaa kituko kwelihujui kitu kaa kimya
1. Taja timu inayoongoza kuifunga magoli mengi sana Mbumbumbu SC duniani.Miaka 27 yanga inakusanya pointi 2 makundi klabu bingwa.
Halafu unakuja hapa kutupigia kelele. Unajiona bora.
Mechi zote umepigwa ukahaha kutafuta suluhu.
Tangu makundi yamepangwa mko nafasi ya nne na mpaka leo ni nafasi ya nne.
Hakuna yanga mwenye akili!!!!!!!!
Mwaka 1938 hapakuwepo timu inaitwa simba katika ardhi ya Tanganyika1. Taja timu inayoongoza kuifunga magoli mengi sana Mbumbumbu SC duniani.
2. Taja timu inayoongoza kuifunga Mbumbumbu SC mechi nyingi sana duniani.
3. Mara ngapi Makolokolo waligoma kurudi uwanjani dhidi ya Yanga SC baada ya kichapo kizito cha half time kumaliza dakika 90 za mpira?
Makolokolo mnajitutumua tu kwa Mabingwa wenu Yanga SC, bila Mbeleko Simba ni mwepesi sana [emoji4]View attachment 2847486View attachment 2847487
Sawa Keyboard Coach. Tumekuelewa.1. Mchezo ulikuwa mzuri sana kipindi cha kwanza lakini cha pili tulishikilia sana bomba
2.Beki Shabalala atafutiwe mbadala, safari nyingi sana zimefanyikia upande wake leo.
3.Inonga Baka auzwe, kuna siku ataigharimu sana timu kwa mambo ya kitoto.
4.Mzamiru Yassin hawezi kubadilija tena, amefika mwisho, nafasi yake angekaa Feitoto leo mechi ilikuwa inaisha kipindi cha 1.
5.Somba Somba Onana kama mliangalia kikosi changu jana usiku nilimweka winga wa kushoto, mimi namuamini kuliko mchezaji yeyote Simba.
6.Duchu, Israel na Abdallah Hamis hawakutegemea kama leo watacheza, ilikuwa surprise kwao, wasilaumiwe.
7.Simba imeshinda kwa sababu mpira umechezwa sana nje otherwis wasingekuga wale wamanga.
8.Kibu kupumzishwa yalikuwa makosa makubwa ya kiufundi.
9.Benchika kama anataka kudefence ni bora udefend kuanzia dakika ya 80 lakini kudefende dakika ya 60, very dangerous.
10.Mwamba wa Lusaka sijui nini kimemkuta, uwezo umepungua sana.
11.Saido Ntibazonkiza bado anahitajika sana kikosini, leo angekuwepp lazima angeweka kambani.
12.Sadio Kanoute ni mtu muhim sana Simba kwani Mzamiru ni mzinguaji tosha.
13.Simba Nguvu moja, ikiendelea hivi kama ilivyokuwa wiki hii hakuna wa kuizuia.
14.Ayoub Lakred atamfukuzisha kazi Manula na kuna uwezekano akarudi Azam.
15.Wachezaji wa Simba walirogwa leo ndio tumeona uchezaji halisi wa Somba Somba Onana.
Kila la heri Medeama kesho.