Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
MAMBO 5 UKIYAFANYA UTAKUWA MWENYE AFYA DAIMA
1.Kufanya mazoezi japo dk 20 kila siku
2.Kula nafaka kamili
>ukosefu wa nafaka husababisha,usingizi usio isha,mfano ukiangalia watu wengi kwenye daladala wanalala,uchovu na uzee mapema.
3.Kula mboga mboga na matunda kila siku,kiafya unatakiwa kula matunda aina 5 na mboga mboga aina 7 kila siku.
4.Kula protein ya kutosha,
protein imegawanyika ktk makundi mawili,PROTIN A,na PROTIN B,
protein A hupatikana kwenye mboga jamii ya kunde,na PROTEIN B,hupatikana kwenye nyama,lkn ulaji wa nyama huleta madhara ya mifupa na saratani kwa wanawake,hakuna nyama mbaya kama nyama ya kuchoma,kumekuwa na ongezeko kubwa la watu kupata kansa ya ziwa kwa sababu ya kupenda mishikaki,nyama ya kuchoma inamadhara.
5.Ulaji kwa kiasi kidogo mafuta na sukari
Ulaji wa sukari kupita kiasi unasababisha magonjwa kama
a)Kisukari
b)Presha
c)Ukoesefu wa nguvu za kiume unaosababishwa na kuganda kwa mafuta kwenye mishipa ya damu,wanaume wengi wamekuwa wakikimbilia kwa waganga kupata tiba ya nguvu za kiume kumbe tatizo liko kwenye damu,hivyo hawataweza kupona lkn usijali solution imepatikana,
Pia epuka kumwambia muuza chips akuchemshie chips kwani kuchemsha maana yake ni kuchukuwa mafuta na kuweka kwenye mwili wako,matokeo yake ni mwanamke kuota kitambia na mwanaume kupata ugonjwa wa nguvu za kiume.
Ukosefu wa nguvu za kiume,nguvu za kike,presha au kisukari unaweza kuzuia wewe mwenyewe.
jiadhari kwani magonjwa hayo ni hatari
1.Kufanya mazoezi japo dk 20 kila siku
2.Kula nafaka kamili
>ukosefu wa nafaka husababisha,usingizi usio isha,mfano ukiangalia watu wengi kwenye daladala wanalala,uchovu na uzee mapema.
3.Kula mboga mboga na matunda kila siku,kiafya unatakiwa kula matunda aina 5 na mboga mboga aina 7 kila siku.
4.Kula protein ya kutosha,
protein imegawanyika ktk makundi mawili,PROTIN A,na PROTIN B,
protein A hupatikana kwenye mboga jamii ya kunde,na PROTEIN B,hupatikana kwenye nyama,lkn ulaji wa nyama huleta madhara ya mifupa na saratani kwa wanawake,hakuna nyama mbaya kama nyama ya kuchoma,kumekuwa na ongezeko kubwa la watu kupata kansa ya ziwa kwa sababu ya kupenda mishikaki,nyama ya kuchoma inamadhara.
5.Ulaji kwa kiasi kidogo mafuta na sukari
Ulaji wa sukari kupita kiasi unasababisha magonjwa kama
a)Kisukari
b)Presha
c)Ukoesefu wa nguvu za kiume unaosababishwa na kuganda kwa mafuta kwenye mishipa ya damu,wanaume wengi wamekuwa wakikimbilia kwa waganga kupata tiba ya nguvu za kiume kumbe tatizo liko kwenye damu,hivyo hawataweza kupona lkn usijali solution imepatikana,
Pia epuka kumwambia muuza chips akuchemshie chips kwani kuchemsha maana yake ni kuchukuwa mafuta na kuweka kwenye mwili wako,matokeo yake ni mwanamke kuota kitambia na mwanaume kupata ugonjwa wa nguvu za kiume.
Ukosefu wa nguvu za kiume,nguvu za kike,presha au kisukari unaweza kuzuia wewe mwenyewe.
jiadhari kwani magonjwa hayo ni hatari