Mambo 5 ya kweli duniani ambayo yatakuacha mdomo wazi

Mambo 5 ya kweli duniani ambayo yatakuacha mdomo wazi

Namba tanon ni kweli 100% wala hakuna sababu ya mtu kuwa nashaka. chukulia mfano MBWA JIKE akitaka kuzaa basi madume toka pande zote utakuta yamekusanyika kwake huku yakitokea sehemu mbalimbali.
 
Hakuna kipya hapo. Yote nlikuwa nayajua

Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk
 
Naona hujaelewa, binadamu hufanya mapenzi kwa starehe hata kama hawahitaji mtoto kwa wakati huo. Wanyama mpaka jike liwe kwenye heat ndo dume linapanda. Ina maana huelewi au wataka kubisha tu !!!

ingekuwa vinginevyo, dada-poa wangekufa njaa.
 
Na kwa chimpanzee kutumia sex kutuliza migogolo inayotokea katika familia
 
Namba tano sikubaliani nayo 100 kwa 100. Nahisi hata binadamu huhisi harufu fulani yenye kuamsha hisia ya kutaka kutenda lakini huwa hajitambui nini kimemsibu.

alimaanisha hivi...
binadam ndo mnyama anaefanya mapenzi kama sehem ya starehe, wanyma wengine ni kwa ajili ya kuzaliana tuu
 
Hiyo ya mende Nadhani itakuwa kweli. Mende mmbishi sana kufa. Waweza kumkanyaga kabisa lkn bado unaona anafurukuta. Ila pamoja na kwamba wanasayansi wmwsema lkn kukaa siku saba bila kichwa ni suala lingine kabisa
nimemkata kichwa mende muda sio mrefu kashakufa saa nyingi! sitaki uongo
 
Kuna moja umeisahau... kuhusu wanachama wa chama chakavu...chama kimechoka.kimezeeka kimepauka lakini wao....sasa utawasikia wakianza kunijbu hapa na ndo utaamini na wao ni wa ajabu mno hapa duniani
 
Namba tano sikubaliani nayo 100 kwa 100. Nahisi hata binadamu huhisi harufu fulani yenye kuamsha hisia ya kutaka kutenda lakini huwa hajitambui nini kimemsibu.
Haujaelewa mkuu hapo.... point ni kwamba wanyama hao wengine hawafanyi sex kama pleasure.
 
Basi.wachina washaleta mi mende yao ya kichina bongo

Hili membe hapa mbona.nimefyeka kichwa limekufa
 
hawa wanasayansi sijui wanatafuta nini, kitu kama hiko kinakaribia kuwezekana, nilishafunga safari kwenda moro kuona ng'ombe asiyekula majani, kazi yake kubwa ni kusema more, jamaa anaweka majani na maji kwenye tumbo la ng'ombe kwani limepasuliwa pembeni.
Duuh! Si mchezo!
 
Namba tano sikubaliani nayo 100 kwa 100. Nahisi hata binadamu huhisi harufu fulani yenye kuamsha hisia ya kutaka kutenda lakini huwa hajitambui nini kimemsibu.
Hahaha...mkuu eti hajitambui? Kasema nani?
 
KAMA HAUKUJUA BASI JUA KUWA
1. Kwa mujibu wascientificamerican.com, Mende anaweza kuishi kwa siku TISA bila kuwa na kichwa.






2. Kuna aina ya samaki aitwae STARFISH ambaye samaki huyo hana UBONGO. Kwa mujibu wa Wikipedia





3. Katika misuli ya binadamu, msuli ambao unafanya kazi nyingi na ni imara kuliko yote ni ULIMI kwa mujibu wa livescience.com





4. Tembo,kiboko na kifaru ndio mnyama ambao hawawezi kuruka juu. Hapa kuruka ina maana kuwa na miguu yao yote juu. Kwa mujibu walistverse.com&[HASHTAG]#8203[/HASHTAG];





5. Kwa mujibu wa scienceline.ucsb.edu wanyama wengi ukiacha binadamu na dolphin hufanya mapenzi ili tuu waweze kuzaliana. Hivyo kwa wanyama wengine kama hakuna dalili kuwa mnyama wa kike hatopata ujauzito , basi wanyama hao hawafanyi mapenzi. Mojawapo ya dalili kuwa mnyama anaweza kubeba ujauzito ni kutoa aina fulani ya harufu, sauti, na hata kubadilika muonekano wake ili kutoa ishara kwa mnyama mwanaume.

Kwa taarifa yako hata panya hufanya mapenzi kama starehe na sio kuzaliana tu..
source:je wataka kujua...Jahazi-Clouds Fm
 
Back
Top Bottom