Shadrack K. Lwila
JF-Expert Member
- Jul 17, 2016
- 4,925
- 14,287
Hata mimi mbona nilisha katwa kichwa siku saba nili survive mpaka ss
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
???hawa wanasayansi sijui wanatafuta nini, kitu kama hiko kinakaribia kuwezekana, nilishafunga safari kwenda moro kuona ng'ombe asiyekula majani, kazi yake kubwa ni kusema more, jamaa anaweka majani na maji kwenye tumbo la ng'ombe kwani limepasuliwa pembeni.
Sasa mbona hujawahi kutuambiaHakuna kipya hapo. Yote nlikuwa nayajua
Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk
Funguka mkuu hujasomekaKuna moja umeisahau... kuhusu wanachama wa chama chakavu...chama kimechoka.kimezeeka kimepauka lakini wao....sasa utawasikia wakianza kunijbu hapa na ndo utaamini na wao ni wa ajabu mno hapa duniani