Mambo 6 aliyoyaona Luhaga Mpina Wizara ya Nishati


Wewe utakuwa ni mlevi wa kike

Wewe utakuwa ni mlevi wa kike
Wewe utakuwa mke mdogo wa Mpina....!
 
Tangu lini mjinga aone hoja kwenye hoja makini?
Hamna hoja hapo zaidi upuuzi na kutaka teuzi tu, sijawahi kuwa sehemu ya wagombania matumbo yao..., Kuna upuuzi mwingi ulifanywa kipindi akiwa waziri uliwahi kumsikia dhama hizo akifungua Domo lake kuyasema?, Kipindi anaua na kunynyasa wavuvi ziwa Victoria alikuwa anafungua mdomo kuongea?. Mpina ni takataka Kama takataka zingine, uovu na wizi uliyofanywa kipindi wao n mawaziri ni mkubwa.
 
Ni wakati wa mtawala kumpima nguvu Mpina Kwa hoja zake na ikimpendeza amuweke hapo hapo Nishati anapoona kasoro za mwenzie kisha tukae pale kuona mkeka wake ataufanyia kazi au ni vita binafsi. Jamaa yupo vizuri kwneye hoja sema tungeona na Wizara nyingine akichambua zaidi ili tusipate mashaka na vita ya nafasi au ukanda dhidi ya J makamba(sukuma to msoga).
 
Nimeandika hivi, mjinga hawezi ona hoja kwenye hoja makini!

Niambie ni lini waziri anaweza kuchangia hoja na kuuliza swali badala ya kuwa mujibu maswali na kulinda maslahi ya serikali hata kama ni ya kuumiza wananchi?

Ni lini Serikali inaweza kujipinga yenyewe? Hoja za Mpina zinawachanganya wapuuzi nyie!

Unamshambulia Mpina kipindi cha uwaziri na wakati mtu ukiwa waziri huwezi kuwa mwiba madudu ya serikali uliyopo?


Swali ni kwamba, ni waziri yupi aliyeacha uwaziri akawa mchambuzi na mtoa hoja makini kama Mpina?

Ungana na wengi tudai katiba la sivyo mtawauwa mno watu mifano ya kina Mpina, na bahati mbaya kwenu kuambiwa ukweli ili mtoe majibu ni sawa na kunyang'anywa tonge mdomoni, masisiemu mana la maana?
 
Mitungi 100 ya gesi Mpina umechukua au hukuchukua?
 
Mungu mtu wake asingetoweka saizi angekuwa migahawani kusurubisha walala hoi kwa kupima samaki!, Tz hakuna wabunge Kuna wapuuzi wanaoishi kutegemeana na mazingira ya ulaji wao.
Alichosema ni sahihi au siyo sahihi? shame on you
 
Sure jamaa ameamua kusimama na wananchi sasa baada ya kuona hakuna dalili za uteuzi tena
 
kweli wanazunguzumzia mambo yake binafsi kuhusu mashamba yake wanaacha kuzungumza mambo ya umma fedha zimeibiwa za umma mikataba ya kinyonyaji inaingiwa alafu eti wanataka watanzania waache kuhoji mambo ya umma waanze kuhoji mashamba ya mpina.
Jamaa aangalie watamuua soon
 
Vipi tuhuma zake za kujirimbikizia mashamba na mauji ya Rubundo hakuyaongelea?
Itakuwa aliongea na mumeo hivyo muulize, mi nafuatilia maslahi ya nchi pekee ugomvi wa mumeo na Mpina haunihusu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…