Mambo 7 yanayodhihirisha ubora wa katiba inayopendekezwa.

Mambo 7 yanayodhihirisha ubora wa katiba inayopendekezwa.

Dragunov Sniper

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2015
Posts
2,795
Reaction score
9
1.
Moja ya Katiba bora duniani ikilinganishwa na Katiba za nchi mbalimbali duniani kama vile Kenya, Uganda, Uingereza, Marekani
Imejielekeza katika kutatua changamoto za makundi yote katika jamii. Mfano haki za binadamu kwa watu wenye ulemavu, watoto, wanawake, vijana, wazee, wakulima, wafugaji, wavuvi, wachimbaji wadogo wadogo na wasanii.
2.
Mchakato wa upatikanaji wa Katiba Inayopendekezwa ulikuwa wa uwazi na shirikishi
Uteuzi wa wajumbe walioshiriki katika uandaaji ulizingatia uwakilishi kutoka makundi mbalimbali ya kijamii wakiwemo wabunge, wawakilishi kutoka vyama vyote vya siasa vyenye usajili wa kudumu, watu wenye ulemavu, wanawake, vijana, viongozi wa dini, wazee, wakulima, wafugaji, wavuvi, wachimbaji wadogo wadogo, wasanii, wafanyakazi, waajiri, wafanyabiashara, wasomi n.k.
3.
Katiba Inayopendekezwa inalenga kuimarisha Muungano
Imezungumzia namna itakavyotatua kero za Muungano kupitia uanzishwaji wa Tume ya Usimamizi na Uratibu wa Mambo ya Muungano (Sura ya 9, ibara 127 na 128).
Katiba ya mwaka 1977 haikubainisha namna ya kushughulikia kero za Muungano na hivyo Kero nyingi kuchelewa kutatuliwa kwani hakukuwa na mfumo mahsusi wa kutatua kero za Muungano.
4.
Katiba Inayopendekezwa imebainisha suala la ardhi, maliasili na mazingira

Sura ya 3 imebainisha suala la ardhi, maliasili na mazingira kwa kuzingatia mgawanyo na matumizi bora ya ardhi, fidia, mipaka, na umiliki ili kuondoa changamoto za mapigano na migogoro ya ardhi, maliasili na mazingira. Hii ni fursa ya Katiba Inayopendekezwa kutatua migogoro mingi ambayo imekuwa ikirudisha nyuma maendeleo ya Sekta hizo.
5.
Katiba Inayopendekezwa imezungumzia misingi ya Utawala Bora.
Ibara ya 6 ya Katiba inaeleza wajibu wa kila mmoja katika uadilifu, demokrasia, uwajibikaji na utawala wa sheria. Jambo hili ni muhimu kwa Utawala wa Nchi na uwajibikaji wa Viongozi katika maendeleo ya nchi.
6.
Katiba Inayopendekezwa imeweka miiko kwa viongozi wa umma na watumishi wa Serikali
Ibara ya 30 na 31 inaelezea namna ya kuwawajibisha viongozi na watumishi wa umma wanaokiuka sheria, kanuni na taratibu za utumishi wa umma. Kupitia katiba mpya, vitendo vya matumizi mabaya ya madaraka na mali za umma vitakomeshwa.
7.
Utashi wa kisiasa wa viongozi kufanikisha upatikanaji wa Katiba mpya
Viongozi mbalimbali wakiwemo wa vyama vya siasa, Vyama vya Hiari na Viongozi wa Makundi mbalimbali kama Wanawake, Wazee, Vijana na hata viongozi wa Walemavu kwa pamoja wamedhamiria kupatikana kwa Katiba mpya kwa kusimamia michakato yote kwa mujibu wa sheria. Aidha vyama vya siasa vyenye wabunge na visivyo na wabunge vilishiriki katika mchakato wa Bunge Maaluma la Katiba.
 
HII IMEKAA POA SANA MAANA TANZANIA NI MOJA - Katiba Inayopendekezwa inalenga kuimarisha Muungano
Imezungumzia namna itakavyotatua kero za Muungano kupitia uanzishwaji wa Tume ya Usimamizi na Uratibu wa Mambo ya Muungano (Sura ya 9, ibara 127 na 128).
Katiba ya mwaka 1977 haikubainisha namna ya kushughulikia kero za Muungano na hivyo Kero nyingi kuchelewa kutatuliwa kwani hakukuwa na mfumo mahsusi wa kutatua kero za Muungano.
 
mnahangaika kweli kuuza katiba ya Chenge, wakati rohoni mwenu mnajua kabisa kuwa ni mbovu
 
user-online.png
UFO_ALIEN

Today 09:14
#5
MemberArray


Join Date : 10th March 2015
Posts : 46
Rep Power : 310
Likes Received13
Likes Given23
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mbovu umeisoma?? au unabwatuka tuuu!! khaaakhaaaa umeishiwa hoja wewe, jipange tenaaa!! hii inapita bhanaaa.
acha kuropoka hovyo hovyo, hapa nilipo nina softcopy na nina hard copy. Unachokipigia debe hukijui kilivyo kibaya. Katiba ni ya nchi sio chama. Daima tetea maslahi ya nchi sio chama. Tanzania kwanza sio CCM.CUF/TLP/CDM/UDP kwanza, jenga uzalendo kwa taifa. Mimi sijakaririshwa kama wewe hata walimu wangu hawakunikaririsha nina mawazo huru. Ina uzuri gani mpaka unaitolea mapovu ya kuipigia debe hapa jukwaani... Maadili mazuri kwa viongozi wameng'oa, wananchi kuwawajibisha wabunge wameng'oa, ubunge kuwa na ukomo wameng'oa, wameongeza idadi ya wabunge kazi kutengeneza ulaji tu, si ni bora wangeweka utaratibu kila wilaya liwe ni jimbo, sasa wameweka wabunge mpaka 360 wa nini kwa nchi maskini kama yetu. Tume ya uchaguzi ni utata mtupu. Mawaziri arobaini wa nini kwa nchi maskini kama yetu, kwanini tusiestablish agencies kama tunaona kuwa kuna haja hiyo.Hata hivyo tunategemea kweli chenge angeandika katiba nzuri yenye kulinda maadili? Hata nikikutana nawe uso kwa uso nitakwambia kuwa katiba pendekezwa haifai, period. Nenda kwadanganya ambao hawajaisoma na wale ambao ni wavivu wa kusoma. Mimi so mvivu wa kununua na kusoma vitabu, kila mwaka nasoma wastani wa vitabu 30 mbali na magazeti, journals, na magazines
 
Mbovu umeisoma?? au unabwatuka tuuu!! khaaakhaaaa umeishiwa hoja wewe, jipange tenaaa!! hii inapita bhanaaa.
acha kuropoka hovyo hovyo, hapa nilipo nina softcopy na nina hard copy. Unachokipigia debe hukijui kilivyo kibaya. Katiba ni ya nchi sio chama. Daima tetea maslahi ya nchi sio chama. Tanzania kwanza sio CCM.CUF/TLP/CDM/UDP kwanza, jenga uzalendo kwa taifa. Mimi sijakaririshwa kama wewe hata walimu wangu hawakunikaririsha nina mawazo huru. Ina uzuri gani mpaka unaitolea mapovu ya kuipigia debe hapa jukwaani... Maadili mazuri kwa viongozi wameng'oa, wananchi kuwawajibisha wabunge wameng'oa, ubunge kuwa na ukomo wameng'oa, wameongeza idadi ya wabunge kazi kutengeneza ulaji tu, si ni bora wangeweka utaratibu kila wilaya liwe ni jimbo, sasa wameweka wabunge mpaka 360 wa nini kwa nchi maskini kama yetu. Tume ya uchaguzi ni utata mtupu. Mawaziri arobaini wa nini kwa nchi maskini kama yetu, kwanini tusiestablish agencies kama tunaona kuwa kuna haja hiyo.Hata hivyo tunategemea kweli chenge angeandika katiba nzuri yenye kulinda maadili? Hata nikikutana nawe uso kwa uso nitakwambia kuwa katiba pendekezwa haifai, period. Nenda kawadanganya ambao hawajaisoma na wale ambao ni wavivu wa kusoma. Mimi sio mvivu wa kununua na kusoma vitabu, kila mwaka nasoma wastani wa vitabu 30 mbali na magazeti, journals, na magazines
 
acha kuropoka hovyo hovyo, hapa nilipo nina softcopy na nina hard copy. Unachokipigia debe hukijui kilivyo kibaya. Katiba ni ya nchi sio chama. Daima tetea maslahi ya nchi sio chama. Tanzania kwanza sio ccm.cuf/tlp/cdm/udp kwanza, jenga uzalendo kwa taifa. Mimi sijakaririshwa kama wewe hata walimu wangu hawakunikaririsha nina mawazo huru. Ina uzuri gani mpaka unaitolea mapovu ya kuipigia debe hapa jukwaani... Maadili mazuri kwa viongozi wameng'oa, wananchi kuwawajibisha wabunge wameng'oa, ubunge kuwa na ukomo wameng'oa, wameongeza idadi ya wabunge kazi kutengeneza ulaji tu, si ni bora wangeweka utaratibu kila wilaya liwe ni jimbo, sasa wameweka wabunge mpaka 360 wa nini kwa nchi maskini kama yetu. Tume ya uchaguzi ni utata mtupu. Mawaziri arobaini wa nini kwa nchi maskini kama yetu, kwanini tusiestablish agencies kama tunaona kuwa kuna haja hiyo.hata hivyo tunategemea kweli chenge angeandika katiba nzuri yenye kulinda maadili? Hata nikikutana nawe uso kwa uso nitakwambia kuwa katiba pendekezwa haifai, period. Nenda kwadanganya ambao hawajaisoma na wale ambao ni wavivu wa kusoma. Mimi so mvivu wa kununua na kusoma vitabu, kila mwaka nasoma wastani wa vitabu 30 mbali na magazeti, journals, na magazines

Kasome SURA YA KUMI YA KATIBA INAYOPENDEKEZWA, SEHEMU YA KWANZA, IBARA YA 129 na vifungu vyake vyote, then nionyeshe wapi imeandikwa kuwa ni ya chama, na ni ya chama gani, wewe hujui ndo mana unabisha vitu ambavyo viko wazi kabisa, ebu toa hoja ya maana ujibiwe na epuka hasira, tubishane kwa hoja na sio matusi wala kejeli.
 
.................., wewe hujui ndo mana unabisha vitu ambavyo viko wazi kabisa, ebu toa hoja ya maana ujibiwe na epuka hasira, tubishane kwa hoja na sio matusi wala kejeli.
Bila haya wala soni macho pako unasema sijui!!!! sijui nini? nakufahamisha kuwa najua ninachokiandika, na pia fahamu kuwa mimi simo kwenye kundi la wale wanaojua kusoma na kuandika (mwenye ufahamu afahamu) na hapa nilipo nina rasimu ya Tume pia nina Katiba pendekezwa. Mambo ya muhimu yote yameondolewa, Mtanzania mwenzangu. Hivi unafahamu kuwa CCM, wao walitaka Katiba iwe hiyo unayoipigia debe na sio ile ambayo itawabana mafisadi na wezi wakubwa katika nchi. Just imagine eti serikali imenyang'anywa uwezo wa kumfilisi mtu, Wezi wameweka kila eneo pini ili wasije wakaguswa na serikali..

Okay, unasema hakuna nilichoandika kwa sababu unaiangalia post yangu kwa jicho lingine. Wabunge 360 wewe unaona ni sawa, yaani pesa ziende kwenye siasa na sio maendeleo ww unaona ni sawa tu, eti sifa ya kuwa mbunge iwe ni kujua kusoma na kuandika, wewe unaona ni sawa tu, halafu eti huyo mtu ndiye atakaye iwakilisha Tanzania hata katika jukwaaa la kimataifa!!!! mawaziri kuwa wabunge, ww unaona ni sawa tu, mawaziri kuwa arobaini, Katiba kuwa kimya kutaja majina ya wizara, wewe unaona ni sawa tu, Maadili ktk utumishi wa umma kusiginwa, wewe unaona ni sawa tu. Wananchi kupokwa madaraka ya kuwawajibisha wabunge wasiowatumikia, wewe unaona ni sawa tu. Vyama kuwafukuza wabunge waliochaguliwa na wananchi, na hivyo wananchi kukosa mwakilishi wao kwa sababu ya ugomvi ndani ya chama ambao hauwahusu wananchi, wewe unaona ni sawa tu. Mafisadi kujiwekea utaratibu wa kuhamisha uchumi wa nchi kwa kufungua account nje ya nchi, wewe unaona ni sawa tu na mengine mengi wewe unaona ni sawa tu. Inawezekana huu kwako ni mradi na unakupatia posho kwa kutetea ujinga huu na unadhani kila unayejibizana naye ni kiazi.

Eti kejeli, eti matusi, unaweza nitajia matusi/kejeli nilizotoa. Highlight kejeli zangu, nami nizione. Acheni kupotosha watu. Najua mnafanya hivyo kwa sababu mnajua Watz ni wavivu wa kusoma, kumbuka sio wote tuko hivyo. Hata nikikutana nawe uso kwa uso nitakwambia hayo niliyokwambia, na huna hutakuwa na majibu tena wala utetezi, Badala ya kupunguza ukubwa wa serikali tunarudia makosa yale yale, can't we learn from the past!!!
 
bila haya wala soni macho pako unasema sijui!!!! Sijui nini? Nakufahamisha kuwa najua ninachokiandika, na pia fahamu kuwa mimi simo kwenye kundi la wale wanaojua kusoma na kuandika (mwenye ufahamu afahamu) na hapa nilipo nina rasimu ya tume pia nina katiba pendekezwa. Mambo ya muhimu yote yameondolewa, mtanzania mwenzangu. Hivi unafahamu kuwa ccm, wao walitaka katiba iwe hiyo unayoipigia debe na sio ile ambayo itawabana mafisadi na wezi wakubwa katika nchi. Just imagine eti serikali imenyang'anywa uwezo wa kumfilisi mtu, wezi wameweka kila eneo pini ili wasije wakaguswa na serikali..

Okay, unasema hakuna nilichoandika kwa sababu unaiangalia post yangu kwa jicho lingine. Wabunge 360 wewe unaona ni sawa, yaani pesa ziende kwenye siasa na sio maendeleo ww unaona ni sawa tu, eti sifa ya kuwa mbunge iwe ni kujua kusoma na kuandika, wewe unaona ni sawa tu, halafu eti huyo mtu ndiye atakaye iwakilisha tanzania hata katika jukwaaa la kimataifa!!!! Mawaziri kuwa wabunge, ww unaona ni sawa tu, mawaziri kuwa arobaini, katiba kuwa kimya kutaja majina ya wizara, wewe unaona ni sawa tu, maadili ktk utumishi wa umma kusiginwa, wewe unaona ni sawa tu. Wananchi kupokwa madaraka ya kuwawajibisha wabunge wasiowatumikia, wewe unaona ni sawa tu. Vyama kuwafukuza wabunge waliochaguliwa na wananchi, na hivyo wananchi kukosa mwakilishi wao kwa sababu ya ugomvi ndani ya chama ambao hauwahusu wananchi, wewe unaona ni sawa tu. Mafisadi kujiwekea utaratibu wa kuhamisha uchumi wa nchi kwa kufungua account nje ya nchi, wewe unaona ni sawa tu na mengine mengi wewe unaona ni sawa tu. Inawezekana huu kwako ni mradi na unakupatia posho kwa kutetea ujinga huu na unadhani kila unayejibizana naye ni kiazi.

Eti kejeli, eti matusi, unaweza nitajia matusi/kejeli nilizotoa. Highlight kejeli zangu, nami nizione. Acheni kupotosha watu. Najua mnafanya hivyo kwa sababu mnajua watz ni wavivu wa kusoma, kumbuka sio wote tuko hivyo. Hata nikikutana nawe uso kwa uso nitakwambia hayo niliyokwambia, na huna hutakuwa na majibu tena wala utetezi, badala ya kupunguza ukubwa wa serikali tunarudia makosa yale yale, can't we learn from the past!!!

kama unavyo sasa unabisha vitu gani kuhusu katiba inayopendekezwa? Ukweli unauma eeenh??? Message sent katiba hii ni ndiyooo tu coz imecover kila kitu, huna jipya la kuniconvince nkakuelewa, kaisome katiba uielewe then ndo uje na hoja zenye mantiki.
 
kama unavyo sasa unabisha vitu gani kuhusu katiba inayopendekezwa? Ukweli unauma eeenh??? Message sent katiba hii ni ndiyooo tu coz imecover kila kitu, huna jipya la kuniconvince nkakuelewa, kaisome katiba uielewe then ndo uje na hoja zenye mantiki.

hivi wewe mwakaboko mbona umekuwa mbogo? Kitu gani hujakielewa katika katiba inayopendekezwa ili ujibiwe? Naona unajibu kwa hasira hasira tu, katiba imaetulia naamini majibu unayo ila unaona aibu kukubali ukweli wa haya mambo, kuwa muwazi tukuelewe bhana.
 
Bila haya wala soni macho pako unasema sijui!!!! sijui nini? nakufahamisha kuwa najua ninachokiandika, na pia fahamu kuwa mimi simo kwenye kundi la wale wanaojua kusoma na kuandika (mwenye ufahamu afahamu) na hapa nilipo nina rasimu ya Tume pia nina Katiba pendekezwa. Mambo ya muhimu yote yameondolewa, Mtanzania mwenzangu. Hivi unafahamu kuwa CCM, wao walitaka Katiba iwe hiyo unayoipigia debe na sio ile ambayo itawabana mafisadi na wezi wakubwa katika nchi. Just imagine eti serikali imenyang'anywa uwezo wa kumfilisi mtu, Wezi wameweka kila eneo pini ili wasije wakaguswa na serikali..

Okay, unasema hakuna nilichoandika kwa sababu unaiangalia post yangu kwa jicho lingine. Wabunge 360 wewe unaona ni sawa, yaani pesa ziende kwenye siasa na sio maendeleo ww unaona ni sawa tu, eti sifa ya kuwa mbunge iwe ni kujua kusoma na kuandika, wewe unaona ni sawa tu, halafu eti huyo mtu ndiye atakaye iwakilisha Tanzania hata katika jukwaaa la kimataifa!!!! mawaziri kuwa wabunge, ww unaona ni sawa tu, mawaziri kuwa arobaini, Katiba kuwa kimya kutaja majina ya wizara, wewe unaona ni sawa tu, Maadili ktk utumishi wa umma kusiginwa, wewe unaona ni sawa tu. Wananchi kupokwa madaraka ya kuwawajibisha wabunge wasiowatumikia, wewe unaona ni sawa tu. Vyama kuwafukuza wabunge waliochaguliwa na wananchi, na hivyo wananchi kukosa mwakilishi wao kwa sababu ya ugomvi ndani ya chama ambao hauwahusu wananchi, wewe unaona ni sawa tu. Mafisadi kujiwekea utaratibu wa kuhamisha uchumi wa nchi kwa kufungua account nje ya nchi, wewe unaona ni sawa tu na mengine mengi wewe unaona ni sawa tu. Inawezekana huu kwako ni mradi na unakupatia posho kwa kutetea ujinga huu na unadhani kila unayejibizana naye ni kiazi.

Eti kejeli, eti matusi, unaweza nitajia matusi/kejeli nilizotoa. Highlight kejeli zangu, nami nizione. Acheni kupotosha watu. Najua mnafanya hivyo kwa sababu mnajua Watz ni wavivu wa kusoma, kumbuka sio wote tuko hivyo. Hata nikikutana nawe uso kwa uso nitakwambia hayo niliyokwambia, na huna hutakuwa na majibu tena wala utetezi, Badala ya kupunguza ukubwa wa serikali tunarudia makosa yale yale, can't we learn from the past!!!

hivi wewe mwakaboko mbona umekuwa mbogo? Kitu gani hujakielewa katika katiba inayopendekezwa ili ujibiwe? Naona unajibu kwa hasira hasira tu, katiba imaetulia naamini majibu unayo ila unaona aibu kukubali ukweli wa haya mambo, kuwa muwazi tukuelewe bhana.
 
Bila haya wala soni macho pako unasema sijui!!!! sijui nini? nakufahamisha kuwa najua ninachokiandika, na pia fahamu kuwa mimi simo kwenye kundi la wale wanaojua kusoma na kuandika (mwenye ufahamu afahamu) na hapa nilipo nina rasimu ya Tume pia nina Katiba pendekezwa. Mambo ya muhimu yote yameondolewa, Mtanzania mwenzangu. Hivi unafahamu kuwa CCM, wao walitaka Katiba iwe hiyo unayoipigia debe na sio ile ambayo itawabana mafisadi na wezi wakubwa katika nchi. Just imagine eti serikali imenyang'anywa uwezo wa kumfilisi mtu, Wezi wameweka kila eneo pini ili wasije wakaguswa na serikali..

Okay, unasema hakuna nilichoandika kwa sababu unaiangalia post yangu kwa jicho lingine. Wabunge 360 wewe unaona ni sawa, yaani pesa ziende kwenye siasa na sio maendeleo ww unaona ni sawa tu, eti sifa ya kuwa mbunge iwe ni kujua kusoma na kuandika, wewe unaona ni sawa tu, halafu eti huyo mtu ndiye atakaye iwakilisha Tanzania hata katika jukwaaa la kimataifa!!!! mawaziri kuwa wabunge, ww unaona ni sawa tu, mawaziri kuwa arobaini, Katiba kuwa kimya kutaja majina ya wizara, wewe unaona ni sawa tu, Maadili ktk utumishi wa umma kusiginwa, wewe unaona ni sawa tu. Wananchi kupokwa madaraka ya kuwawajibisha wabunge wasiowatumikia, wewe unaona ni sawa tu. Vyama kuwafukuza wabunge waliochaguliwa na wananchi, na hivyo wananchi kukosa mwakilishi wao kwa sababu ya ugomvi ndani ya chama ambao hauwahusu wananchi, wewe unaona ni sawa tu. Mafisadi kujiwekea utaratibu wa kuhamisha uchumi wa nchi kwa kufungua account nje ya nchi, wewe unaona ni sawa tu na mengine mengi wewe unaona ni sawa tu. Inawezekana huu kwako ni mradi na unakupatia posho kwa kutetea ujinga huu na unadhani kila unayejibizana naye ni kiazi.

Eti kejeli, eti matusi, unaweza nitajia matusi/kejeli nilizotoa. Highlight kejeli zangu, nami nizione. Acheni kupotosha watu. Najua mnafanya hivyo kwa sababu mnajua Watz ni wavivu wa kusoma, kumbuka sio wote tuko hivyo. Hata nikikutana nawe uso kwa uso nitakwambia hayo niliyokwambia, na huna hutakuwa na majibu tena wala utetezi, Badala ya kupunguza ukubwa wa serikali tunarudia makosa yale yale, can't we learn from the past!!!

wewe kijana uwage muelewa, toa hoja mbona hueleweki? toa 7bu zako ambazo zinakufanya uipinge hiyo Katiba then ujibiwe hizo hoja sio kulalamika lalamika tu bila msingi.
 
bila haya wala soni macho pako unasema sijui!!!! Sijui nini? Nakufahamisha kuwa najua ninachokiandika, na pia fahamu kuwa mimi simo kwenye kundi la wale wanaojua kusoma na kuandika (mwenye ufahamu afahamu) na hapa nilipo nina rasimu ya tume pia nina katiba pendekezwa. Mambo ya muhimu yote yameondolewa, mtanzania mwenzangu. Hivi unafahamu kuwa ccm, wao walitaka katiba iwe hiyo unayoipigia debe na sio ile ambayo itawabana mafisadi na wezi wakubwa katika nchi. Just imagine eti serikali imenyang'anywa uwezo wa kumfilisi mtu, wezi wameweka kila eneo pini ili wasije wakaguswa na serikali..

Okay, unasema hakuna nilichoandika kwa sababu unaiangalia post yangu kwa jicho lingine. Wabunge 360 wewe unaona ni sawa, yaani pesa ziende kwenye siasa na sio maendeleo ww unaona ni sawa tu, eti sifa ya kuwa mbunge iwe ni kujua kusoma na kuandika, wewe unaona ni sawa tu, halafu eti huyo mtu ndiye atakaye iwakilisha tanzania hata katika jukwaaa la kimataifa!!!! Mawaziri kuwa wabunge, ww unaona ni sawa tu, mawaziri kuwa arobaini, katiba kuwa kimya kutaja majina ya wizara, wewe unaona ni sawa tu, maadili ktk utumishi wa umma kusiginwa, wewe unaona ni sawa tu. Wananchi kupokwa madaraka ya kuwawajibisha wabunge wasiowatumikia, wewe unaona ni sawa tu. Vyama kuwafukuza wabunge waliochaguliwa na wananchi, na hivyo wananchi kukosa mwakilishi wao kwa sababu ya ugomvi ndani ya chama ambao hauwahusu wananchi, wewe unaona ni sawa tu. Mafisadi kujiwekea utaratibu wa kuhamisha uchumi wa nchi kwa kufungua account nje ya nchi, wewe unaona ni sawa tu na mengine mengi wewe unaona ni sawa tu. Inawezekana huu kwako ni mradi na unakupatia posho kwa kutetea ujinga huu na unadhani kila unayejibizana naye ni kiazi.

Eti kejeli, eti matusi, unaweza nitajia matusi/kejeli nilizotoa. Highlight kejeli zangu, nami nizione. Acheni kupotosha watu. Najua mnafanya hivyo kwa sababu mnajua watz ni wavivu wa kusoma, kumbuka sio wote tuko hivyo. Hata nikikutana nawe uso kwa uso nitakwambia hayo niliyokwambia, na huna hutakuwa na majibu tena wala utetezi, badala ya kupunguza ukubwa wa serikali tunarudia makosa yale yale, can't we learn from the past!!!

kaka kasome katiba inayopendekezwa upate majibu ya hoja zako zisizo na mantiki ulizoziweka hapo juu, sasa kumbe katiba zote unazo, unachokaidi kitu gani? Kila majibu ya maswali yako yapo au umetumwa na ukawa au? Soma uelewe kama huna kazi pumzika ulale, huku hapakufai maanake kazi yako ni kuzungumza mabaya tu inamana hakuna mazuri ndani ya hiyo katiba?
 
kama unavyo sasa unabisha vitu gani kuhusu katiba inayopendekezwa? Ukweli unauma eeenh??? Message sent katiba hii ni ndiyooo tu coz imecover kila kitu, huna jipya la kuniconvince nkakuelewa, kaisome katiba uielewe then ndo uje na hoja zenye mantiki.

Watanzania ni watu waelewa sana Bw. mwakaboko, Jiulize kwa nini wewe ndio unajifanya unawasemea? Unaweza kuwa na document za Katiba Inayopendekezwa au Rasimu lakini uelewa wako ukawa ni mdogo na hivyo kuwapotossha Watanzania. Acha udanganyifu, uwe muungwana na Taifa lako.
 
bila haya wala soni macho pako unasema sijui!!!! Sijui nini? Nakufahamisha kuwa najua ninachokiandika, na pia fahamu kuwa mimi simo kwenye kundi la wale wanaojua kusoma na kuandika (mwenye ufahamu afahamu) na hapa nilipo nina rasimu ya tume pia nina katiba pendekezwa. Mambo ya muhimu yote yameondolewa, mtanzania mwenzangu. Hivi unafahamu kuwa ccm, wao walitaka katiba iwe hiyo unayoipigia debe na sio ile ambayo itawabana mafisadi na wezi wakubwa katika nchi. Just imagine eti serikali imenyang'anywa uwezo wa kumfilisi mtu, wezi wameweka kila eneo pini ili wasije wakaguswa na serikali..

Okay, unasema hakuna nilichoandika kwa sababu unaiangalia post yangu kwa jicho lingine. Wabunge 360 wewe unaona ni sawa, yaani pesa ziende kwenye siasa na sio maendeleo ww unaona ni sawa tu, eti sifa ya kuwa mbunge iwe ni kujua kusoma na kuandika, wewe unaona ni sawa tu, halafu eti huyo mtu ndiye atakaye iwakilisha tanzania hata katika jukwaaa la kimataifa!!!! Mawaziri kuwa wabunge, ww unaona ni sawa tu, mawaziri kuwa arobaini, katiba kuwa kimya kutaja majina ya wizara, wewe unaona ni sawa tu, maadili ktk utumishi wa umma kusiginwa, wewe unaona ni sawa tu. Wananchi kupokwa madaraka ya kuwawajibisha wabunge wasiowatumikia, wewe unaona ni sawa tu. Vyama kuwafukuza wabunge waliochaguliwa na wananchi, na hivyo wananchi kukosa mwakilishi wao kwa sababu ya ugomvi ndani ya chama ambao hauwahusu wananchi, wewe unaona ni sawa tu. Mafisadi kujiwekea utaratibu wa kuhamisha uchumi wa nchi kwa kufungua account nje ya nchi, wewe unaona ni sawa tu na mengine mengi wewe unaona ni sawa tu. Inawezekana huu kwako ni mradi na unakupatia posho kwa kutetea ujinga huu na unadhani kila unayejibizana naye ni kiazi.

Eti kejeli, eti matusi, unaweza nitajia matusi/kejeli nilizotoa. Highlight kejeli zangu, nami nizione. Acheni kupotosha watu. Najua mnafanya hivyo kwa sababu mnajua watz ni wavivu wa kusoma, kumbuka sio wote tuko hivyo. Hata nikikutana nawe uso kwa uso nitakwambia hayo niliyokwambia, na huna hutakuwa na majibu tena wala utetezi, badala ya kupunguza ukubwa wa serikali tunarudia makosa yale yale, can't we learn from the past!!!

kasome sura ya kumi ya katiba inayopendekezwa katika ibara aya 139 na ibara ya 140 majibu ya hoja zako ulizoweka hapo juu utayapata yoteeeee bila kinyongo.
 
Bila haya wala soni macho pako unasema sijui!!!! sijui nini? nakufahamisha kuwa najua ninachokiandika, na pia fahamu kuwa mimi simo kwenye kundi la wale wanaojua kusoma na kuandika (mwenye ufahamu afahamu) na hapa nilipo nina rasimu ya Tume pia nina Katiba pendekezwa. Mambo ya muhimu yote yameondolewa, Mtanzania mwenzangu. Hivi unafahamu kuwa CCM, wao walitaka Katiba iwe hiyo unayoipigia debe na sio ile ambayo itawabana mafisadi na wezi wakubwa katika nchi. Just imagine eti serikali imenyang'anywa uwezo wa kumfilisi mtu, Wezi wameweka kila eneo pini ili wasije wakaguswa na serikali..

Okay, unasema hakuna nilichoandika kwa sababu unaiangalia post yangu kwa jicho lingine. Wabunge 360 wewe unaona ni sawa, yaani pesa ziende kwenye siasa na sio maendeleo ww unaona ni sawa tu, eti sifa ya kuwa mbunge iwe ni kujua kusoma na kuandika, wewe unaona ni sawa tu, halafu eti huyo mtu ndiye atakaye iwakilisha Tanzania hata katika jukwaaa la kimataifa!!!! mawaziri kuwa wabunge, ww unaona ni sawa tu, mawaziri kuwa arobaini, Katiba kuwa kimya kutaja majina ya wizara, wewe unaona ni sawa tu, Maadili ktk utumishi wa umma kusiginwa, wewe unaona ni sawa tu. Wananchi kupokwa madaraka ya kuwawajibisha wabunge wasiowatumikia, wewe unaona ni sawa tu. Vyama kuwafukuza wabunge waliochaguliwa na wananchi, na hivyo wananchi kukosa mwakilishi wao kwa sababu ya ugomvi ndani ya chama ambao hauwahusu wananchi, wewe unaona ni sawa tu. Mafisadi kujiwekea utaratibu wa kuhamisha uchumi wa nchi kwa kufungua account nje ya nchi, wewe unaona ni sawa tu na mengine mengi wewe unaona ni sawa tu. Inawezekana huu kwako ni mradi na unakupatia posho kwa kutetea ujinga huu na unadhani kila unayejibizana naye ni kiazi.

Eti kejeli, eti matusi, unaweza nitajia matusi/kejeli nilizotoa. Highlight kejeli zangu, nami nizione. Acheni kupotosha watu. Najua mnafanya hivyo kwa sababu mnajua Watz ni wavivu wa kusoma, kumbuka sio wote tuko hivyo. Hata nikikutana nawe uso kwa uso nitakwambia hayo niliyokwambia, na huna hutakuwa na majibu tena wala utetezi, Badala ya kupunguza ukubwa wa serikali tunarudia makosa yale yale, can't we learn from the past!!!

Watanzania ni watu waelewa sana Bw. mwakaboko, Jiulize kwa nini wewe ndio unajifanya unawasemea? Unaweza kuwa na document za Katiba Inayopendekezwa au Rasimu lakini uelewa wako ukawa ni mdogo na hivyo kuwapotossha Watanzania. Acha udanganyifu, uwe muungwana na Taifa lako.
 
Hatujakubaliana juu ya muundo wa serikali. Katiba hutungwa kuzingatia muundo wa serikali ambao hatujakubaliana. Hivyo, tupilia mbali katiba ya chenge.
 
Back
Top Bottom