Mambo 7 yanayodhihirisha ubora wa katiba inayopendekezwa.

Mambo 7 yanayodhihirisha ubora wa katiba inayopendekezwa.

Hatujakubaliana juu ya muundo wa serikali. Katiba hutungwa kuzingatia muundo wa serikali ambao hatujakubaliana. Hivyo, tupilia mbali katiba ya chenge.

WEWE USIDANDIE GARI KWA MBELE, KASOME SURA YA 7, IBARA YA 73 NA 74 pamoja na vifungu vyake vyote, naamini majibu ya maswali yako utakuwa umejipatia bila kipingamizi. Mimi ninabishana kwa evidence, kama unazo na wewe zitoe zako kama nilivyokupa mimi na ziwe zenye kweli kama zangu.
 
Ninaheshimu haki yako ya kuandika ulichokiandika hapa lakini sikubaliani na wewe 100% kwa sababu Unapojiruhusu kuwa Psycho; single track minded and you can not think out of the box; hatukutegemei kuandika tofauti na hiki ulichokiandika hapa.

Katiba ya Sitta/Chenge hapana; inanuka ubabe; uchakachuaji na rushwa hata kabla ya kuingia kuichambua kwa undani sana. period
 
Hatujakubaliana juu ya muundo wa serikali. Katiba hutungwa kuzingatia muundo wa serikali ambao hatujakubaliana. Hivyo, tupilia mbali katiba ya chenge.

SURA YA SABA: MUUNDO WA JAMHURI YA MUUNGANO, IBARA YA 73(a),(b) PAMOJA NA IBARA YA 74-(1). SOMA UKIELEWA UTAKUWA UMEELIMIKA KISHA WAELIMISHE NA HAO WALIOKUTUMA KAMA WAPO.
 
ninaheshimu haki yako ya kuandika ulichokiandika hapa lakini sikubaliani na wewe 100% kwa sababu unapojiruhusu kuwa psycho; single track minded and you can not think out of the box; hatukutegemei kuandika tofauti na hiki ulichokiandika hapa.

Katiba ya sitta/chenge hapana; inanuka ubabe; uchakachuaji na rushwa hata kabla ya kuingia kuichambua kwa undani sana. Period

huko ndo kuishiwa hoja kwenyewe tunakokusema, huna hoja pumzika au lala ukue.
 
hatujakubaliana juu ya muundo wa serikali. Katiba hutungwa kuzingatia muundo wa serikali ambao hatujakubaliana. Hivyo, tupilia mbali katiba ya chenge.

nina wasiwasi na uraia wako wewe mtu, inaonekana huitakii mema nchi yako.
 
Hatujakubaliana juu ya muundo wa serikali. Katiba hutungwa kuzingatia muundo wa serikali ambao hatujakubaliana. Hivyo, tupilia mbali katiba ya chenge.

Wewe hujui unachokisema, Acha ufinyu wa mawazo, Chenge anakatiba nchi hii? Unaishi nchi gani wewe? Hiyo dharau na kujidhalilisha mwenyewe, Katiba Inayopendekezwa ni ya Watanzania na imefuata utaratibu halali. Kama umeishiwa hoja kalale.
 
mnahangaika kweli kuuza katiba ya chenge, wakati rohoni mwenu mnajua kabisa kuwa ni mbovu

nawe unahangaika sana na hao waliokutuma wakati nyote mnajua ukweli wa uzuri wa hii katiba. Pole sanan ujumbe umekufikia, ndo basi tenaaaaaa
 
huko ndo kuishiwa hoja kwenyewe tunakokusema, huna hoja pumzika au lala ukue.


Badala ya kujibu kwa hoja unafunga mjadala unakimbia?! jina kuuuubwa la kutisha lakini vumbi tupu; au "B-2 Stealth bomber" haina Bombs?!?!; meaning a brain without gray matter?!
 
badala ya kujibu kwa hoja unafunga mjadala unakimbia?! Jina kuuuubwa la kutisha lakini vumbi tupu; au "b-2 stealth bomber" haina bombs?!?!; meaning a brain without gray matter?!

ukimbiwe wewe simba au chui? Toa hoja ujibiwe.
 
hivi wewe mwakaboko mbona umekuwa mbogo? Kitu gani hujakielewa katika katiba inayopendekezwa ili ujibiwe? Naona unajibu kwa hasira hasira tu, katiba imaetulia naamini majibu unayo ila unaona aibu kukubali ukweli wa haya mambo, kuwa muwazi tukuelewe bhana.
ha ha ha ha ha katiba ya chenge imetulia kwa wapiga dili. Nchi imeshakwisha hii na hiyo katiba inayopendekezwa ni ya kugawana mbao. Mamlaka yote ya wananchi imenyofolewa na fisi wala watu bila huruma. Maadili hamna, uwajibishaji hamna, madaraka ya rais mfalme yameongezwa, tume ya uchaguzi ni ya chama kimoja, maslahi mapana ya wakulima hayajazingatiwa, wopora ardhi ndio wamepewa kipaumbele, hamsini kwa hamsini si ya mwanamke wa kitanzania kule kijiji bali ni ya wake za mafisadi, binti zao, michepulo yao, endelea kutaja uchfu wa katiba inayopendekezwa na joka makengeza chenge na binamu yake sita.
 
Hatujakubaliana juu ya muundo wa serikali. Katiba hutungwa kuzingatia muundo wa serikali ambao hatujakubaliana. Hivyo, tupilia mbali katiba ya chenge.

Wewe hujui unachokisema, Acha ufinyu wa mawazo, Chenge anakatiba nchi hii? Unaishi nchi gani wewe? Hiyo dharau na kujidhalilisha mwenyewe, Katiba Inayopendekezwa ni ya Watanzania na imefuata utaratibu halali. Kama umeishiwa hoja kalale.
 
user-online.png
UFO_ALIEN

Today 09:14
#5

MemberArray


Join Date : 10th March 2015
Posts : 46
Rep Power : 310
Likes Received13
Likes Given23
MKUU ,HIZI NI id MAALUM KWA KAZI MAALUM..WATETEZI WA KATIBA YA CHENGE WOTE WAMEJIUNGA MWEZI MARCH MWAKA HUU..(SO FAR KATIKA UZI HUU..WHAT A COINCIDENCE)
USISAHAU KUNICHUKIA -Join Date : 15th March 2015
claudiaeliakimu-Join Date : 13th March 2015
UFO_ALIEN- Join Date : 10th March 2015
B-2 STEALTH BOMBER- Join Date : 15th March 2015
USIEMPENDA KAJA- Join Date : 14th March 2015
MWASI MWAKENDA- Join Date : 9th March 2015
Ebola Hatari- Join Date : 16th March 2015
bmbalamwezi-Join Date : 12th March 2015


Mteule Junior- Join Date : 16th March 2015 (AS OF PAGE 5.)


MWENDELEZO WA WACHUMIA TUMBO....
CC:kapongoliso, MTK,share ,mwakaboko ,
business-men-green-team-word-23111392.jpg
letter-b-icon.png
green-doll-number-7.gif
 
mkuu ,hizi ni id maalum kwa kazi maalum..watetezi wa katiba ya chenge wote wamejiunga mwezi march mwaka huu..(so far katika uzi huu..what a coincidence)
usisahau kunichukia -join date : 15th march 2015
claudiaeliakimu-join date : 13th march 2015
ufo_alien- join date : 10th march 2015
b-2 stealth bomber- join date : 15th march 2015
usiempenda kaja- join date : 14th march 2015
mwasi mwakenda- join date : 9th march 2015

mwendelezo wa wachumia tumbo....

khaaaa ukiamua kuota huzuiwi kuota hata mchana, huku unatembea unaweza kuota. Umeishiwa hoja wewe pumzika.
 
ha ha ha ha ha katiba ya chenge imetulia kwa wapiga dili. Nchi imeshakwisha hii na hiyo katiba inayopendekezwa ni ya kugawana mbao. Mamlaka yote ya wananchi imenyofolewa na fisi wala watu bila huruma. Maadili hamna, uwajibishaji hamna, madaraka ya rais mfalme yameongezwa, tume ya uchaguzi ni ya chama kimoja, maslahi mapana ya wakulima hayajazingatiwa, wopora ardhi ndio wamepewa kipaumbele, hamsini kwa hamsini si ya mwanamke wa kitanzania kule kijiji bali ni ya wake za mafisadi, binti zao, michepulo yao, endelea kutaja uchfu wa katiba inayopendekezwa na joka makengeza chenge na binamu yake sita.

soma sura ya nne ya katiba inayopendekezwa katika ibara ya 28-31 majibu ya ulichokiweka hapo juu utayapata. Pole sana, jipange tena niko vizuri katika hili. Waelimishe na wenzako.
 
ha ha ha ha ha katiba ya chenge imetulia kwa wapiga dili. Nchi imeshakwisha hii na hiyo katiba inayopendekezwa ni ya kugawana mbao. Mamlaka yote ya wananchi imenyofolewa na fisi wala watu bila huruma. Maadili hamna, uwajibishaji hamna, madaraka ya rais mfalme yameongezwa, tume ya uchaguzi ni ya chama kimoja, maslahi mapana ya wakulima hayajazingatiwa, wopora ardhi ndio wamepewa kipaumbele, hamsini kwa hamsini si ya mwanamke wa kitanzania kule kijiji bali ni ya wake za mafisadi, binti zao, michepulo yao, endelea kutaja uchfu wa katiba inayopendekezwa na joka makengeza chenge na binamu yake sita.


Tatizo lako ni kutokujua mambo zaidi ya ushabiki, Mamlaka yote ya wananchi imenyofolewa nani? Si ukoasome na jua hujui sasa soma hapa nakupa nafasi ya kujifunza: Mamlaka ya Wananchi yapo, soma (Ibara ya 7) ya Katiba Inayopendekezwa inasema, "Nchi yoyote inayoamini katika demokrasia na utawala wa kisheria ni sharti itambue mamlaka ya wananchi wake. Katiba Inayopendekezwa inazingatia ukweli kwamba wananchi ndiyo msingi na chimbuko la mamlaka yote ya uendeshaji na utawala wa nchi. Katiba Inayopendekezwa inatamka wazi kuwa Serikali zote mbili yaani Serikali ya Muungano (SMT) na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), zitapata mamlaka na madaraka yake kutoka kwa wananchi. Kwa msingi huu Serikali itawajibika kuhakikisha kwamba kunakuwepo mifumo thabiti inayolenga kuwashirikisha wananchi kikamilifu katika shughuli zote za uendeshaji wa taifa lao" Hapo upo?
 
ha ha ha ha ha katiba ya chenge imetulia kwa wapiga dili. Nchi imeshakwisha hii na hiyo katiba inayopendekezwa ni ya kugawana mbao. Mamlaka yote ya wananchi imenyofolewa na fisi wala watu bila huruma. Maadili hamna, uwajibishaji hamna, madaraka ya rais mfalme yameongezwa, tume ya uchaguzi ni ya chama kimoja, maslahi mapana ya wakulima hayajazingatiwa, wopora ardhi ndio wamepewa kipaumbele, hamsini kwa hamsini si ya mwanamke wa kitanzania kule kijiji bali ni ya wake za mafisadi, binti zao, michepulo yao, endelea kutaja uchfu wa katiba inayopendekezwa na joka makengeza chenge na binamu yake sita.

pia soma sura ya 14 ya katiba hiyo hiyo, sehemu ya pili, ibara yote ya 220, nako utapata majibu kuhusu tume huru ya uchaguzi.
 
ha ha ha ha ha katiba ya chenge imetulia kwa wapiga dili. Nchi imeshakwisha hii na hiyo katiba inayopendekezwa ni ya kugawana mbao. Mamlaka yote ya wananchi imenyofolewa na fisi wala watu bila huruma. Maadili hamna, uwajibishaji hamna, madaraka ya rais mfalme yameongezwa, tume ya uchaguzi ni ya chama kimoja, maslahi mapana ya wakulima hayajazingatiwa, wopora ardhi ndio wamepewa kipaumbele, hamsini kwa hamsini si ya mwanamke wa kitanzania kule kijiji bali ni ya wake za mafisadi, binti zao, michepulo yao, endelea kutaja uchfu wa katiba inayopendekezwa na joka makengeza chenge na binamu yake sita.


Tatizo lako ni kutokujua mambo zaidi ya ushabiki, Mamlaka yote ya wananchi imenyofolewa nani? Si ukoasome na jua hujui sasa soma hapa nakupa nafasi ya kujifunza: Mamlaka ya Wananchi yapo, soma (Ibara ya 7) ya Katiba Inayopendekezwa inasema, "Nchi yoyote inayoamini katika demokrasia na utawala wa kisheria ni sharti itambue mamlaka ya wananchi wake. Katiba Inayopendekezwa inazingatia ukweli kwamba wananchi ndiyo msingi na chimbuko la mamlaka yote ya uendeshaji na utawala wa nchi. Katiba Inayopendekezwa inatamka wazi kuwa Serikali zote mbili yaani Serikali ya Muungano (SMT) na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), zitapata mamlaka na madaraka yake kutoka kwa wananchi. Kwa msingi huu Serikali itawajibika kuhakikisha kwamba kunakuwepo mifumo thabiti inayolenga kuwashirikisha wananchi kikamilifu katika shughuli zote za uendeshaji wa taifa lao" Hapo upo?
 
Back
Top Bottom