Mambo 7 yanayopelekea kufa taratibu kabla ya kifo halisi

Mambo 7 yanayopelekea kufa taratibu kabla ya kifo halisi

Nimejikuta najihakikisha kama nipo hai aisee maana zinanilenga kweli kweli hizi...

Namba moja sikubaliani ng'o! Yani jitu liniletee usenge halafu mimi niendelee kulichekea tu... labda Yesu
 
Nimejikuta najihakikisha kama nipo hai aisee maana zinanilenga kweli kweli hizi...

Namba moja sikubaliani ng'o! Yani jitu liniletee usenge halafu mimi niendelee kulichekea tu... labda Yesu
Kweli ni changamoto lakini inawezekana kwa sababu kupuuzia yanayokukwamisha ni kwa faida yako....
 
mlakimtoto, Namba 1,inahitaji msaada wa kimungu zaidi,hili ni tatizo sugu duniani kwa nguvu za kibinadamu ni ngumu kuyashinda kwani shetani ndio mahala pake pakuu alipotushika wanadamu.
 
Nimependa nini umefanya but kuna kitu kime-miss nafikili strong point na maelezo ya kutosha ndo vimekosekana ila ni Uzi mzuri brother

Mimi siwezi kuandika kama wewe ila naweza kufikili tu
 
Sijui kwanini mada Kama hizi hazipati wachangiaji wengi.
 
Mungu mwenye rehema nyingi atusaidie kuyaishi haya, maana kwa kweli kikawaida hatuwezi, hivyo ibada, sala na maombi iwe sehemu ya maisha yetu

Sent using Jamii Forums mobile app
Tafadhali,kama ni mkristo soma Yeremia 12:6 halafu naomba mrejesho. Nimewahi kufanyiwa kitu kibaya sana na ndugu zangu kwa matumaini yao kwamba ninaweza kujiua. Kwa kweli ilikuwa mtihani mkubwa sana. Nashukuru sana Mungu hali sasa imetulia
 
Nimependa nini umefanya but kuna kitu kime-miss nafikili strong point na maelezo ya kutosha ndo vimekosekana ila ni Uzi mzuri brother

Mimi siwezi kuandika kama wewe ila naweza kufikili tu
Kuwa huru ndugu, si ungejenga hoja yako kwa uwazi ili tujifunze wote?
Unataka kusema niliandika bila kufikiri?..(sasa niliandikajeandikaje?..strong points unazoona zimekosekana ungeziandika hapa huoni kama ingesaidia zaidi ya unavyojisifu kuwa una uwezo mkubwa wa kufikiri.
Umetumia lugha iliyojaa dharau na haitokusaidia sana katika maisha yako " ni jambo la fedheha sana umrlifanya hapa"...kimantiki umemaanisha sikufikiri au nina uwezo duni wa kufikiri kuliko wewe.
Sasa nikuweke wa zi tu wenye uwezo wa kufikiri wanapotaka kuwasaidia ambao wanawahisi hawana uwezo wa kufikiri hujenga hoja zinazoonesha usahihi wa jambo unavyopaswa kuwa na siyo kujisifu.
Unge ainisha strong pointsculizoona zinakosekana hapo ili tujifunze na siyo kuishia kusema kuna strong points zimekosekana.Nimesikitishwa sana na lugha mbovu iliyojaa na dharau kutokea na "Mwanajamii forum kama wewe".
 
Back
Top Bottom