joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Asante kwa kunikumbusha,inabidi hii WhatsApp Channel nayo waiongeze.Na Whatsapp channel.... Wangeshiriki na Ramadhani Cup....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante kwa kunikumbusha,inabidi hii WhatsApp Channel nayo waiongeze.Na Whatsapp channel.... Wangeshiriki na Ramadhani Cup....
Mapinduzi alichukua Mlandege. Unashindwa kutaja Kombe la Muungano kwa sababu nafsi yako inakusutaMnanjaaaa ndioooooo mmeshibaaaa ndioooooo..... Mmeshasahu ubovu wa timu lenu Kwa kikombe Cha mapinduzi..nyie ni wagonjwa
Mnaweweseka sanaNa Kibegi ongezea hapo.
Hilo kombe la dharula nalo unaliweka kwenye mafanikio?Tukienda kwa takwimu, Simba mpaka sasa kwa msimu huu ina mafanikio kuliko timu nyingine yoyote Tanzania.
1. Makombe mawili (hakuna aliyefikia)
2. Mshindi wa pili Kombe la Mapinduzi
3. Robo Fainali CAFCL (hakuna aliyezidi hapo)
4. Bado inalipambania Kombe la NBC
5. Kufika #5 kwenye rank za CAF (hakuna timu ya TZ iliyowahi kufikia nafasi hiyo)
NB. Yanga haiwezi kuchukua kombe zaidi ya moja msimu huu.
Ndio ushangae, timu kwanzia msimu unataka kuanza hujiwekea malengo ya msimu, asa sijui kama katika malengo yao waliweka na kombe la muungano.Hilo kombe la dharula nalo unaliweka kwenye mafanikio?
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Tuweweseke wakati kikao kilichopita Rais wenu Kibegi alikijumuisha kama mafanikio ya msimu huu au umesahau. Hapo hapo siku hiyo alipokuwa akiongea mafanikio akaweka na WhatsApp Channel au unabishana na Rais?Mapinduzi alichukua Mlandege. Unashindwa kutaja Kombe la Muungano kwa sababu nafsi yako inakusuta
Mnaweweseka sana
Rais wa Simba ni nani? Embu huu uzi waachie wenye uwezo wa kuchangia mada bila mihemko na ushabiki wa kipuuziTuweweseke wakati kikao kilichopita Rais wenu Kibegi alikijumuisha kama mafanikio ya msimu huu au umesahau. Hapo hapo siku hiyo alipokuwa akiongea mafanikio akaweka na WhatsApp Channel au unabishana na Rais?
Mm Nafikiri hata Matola ni tatizo pale,angeondoka na Kubakia Mgunda na mtu mwingine kabisa jamaa anautaka ukochamkuu na hakuna atakaekaa juu yake km yeye yupo he want to be a coach,atawavuruga sn juu kwakua he want that,mpk simba wakijagundua it’s too late.Simba ya msimu ujao itakuwa mbovu zaidi kuliko hii.
Inawezekana huja hudhuria kwenye kikao, ngojea tukukumbushe.Rais wa Simba ni nani? Embu huu uzi waachie wenye uwezo wa kuchangia mada bila mihemko na ushabiki wa kipuuzi
Ile mechi Simba walijituma sababu Wenga na Frantino walikuwepo..Tuliwahi kusema hapa ishu kubwa ya wachezaji wa Simba ni kujituma. Unaongelea kukata moto na swala la kupiga pasi kiusahihi, hilo ni jambo sio geni kaangalie mechi ya Simba ya Robertinho dhidi ya Al Ahly lile pira lililopigwa hadi inafika full time. Mechi ya Yanga dhidi ya Simba ile mechi Simba alizidiwa mbinu kwa kutaka kupishana na Yanga na hata ya juzi hapa Benchikha alifanya kosa hilo hilo uzuri ni kwamba Yanga wali relax zaidi hata point moja ilikuwa inawatosha.
Benchikha kaishusha zaidi Simba ubora kuliko kuipandisha, Robertinho alikuwa na mbinu na mgumu kupoteza mechi
Inawezekana huyu kocha aliletwa kwa objective ya kuivusha Simba robo fainali CAF, Hatujavuka na mshahara anaolipwa inaonekana ni mkubwa mno.Tumepoteza bonge la kocha
Kwa kikosi gani alichokikutaInawezekana huyu kocha aliletwa kwa objective ya kuivusha Simba robo fainali CAF, Hatujavuka na mshahara anaolipwa inaonekana ni mkubwa mno.
Kikosi alikiona kabla hajasaini. Labda uniambie kuna ahadi alipewa za kuboreshwa ambazo hazionekani kama zitatimizwa.Kwa kikosi gani alichokikuta
Kwahiyo hao wakina Wenga walikuwepo hadi Misri?Ile mechi Simba walijituma sababu Wenga na Frantino walikuwepo..
Mimi naona wangempa mudaKikosi alikiona kabla hajasaini. Labda uniambie kuna ahadi alipewa za kuboreshwa ambazo hazionekani kama zitatimizwa.
Yaani kama Simba ina nia ya kweli ya kumshinda Al Ahly, Benchikha ndiyo alikuwa mtu sahihi wa kuibeba maana alikuwa na sababu zake binafsi za kutaka kuendelea kuishinda Al Ahly tofauti na kocha mwingine yoyote watakayekuja kumpata. Hiyo ingekuwa sababu tosha ya kufanya kila njia kubaki naye.Tumepoteza bonge la kocha
Benchikha katoka kwenye timu zenye bajeti kubwa kuliko Simba, je huko alikotoka Benchikha aliwahi kuishinda Al Ahly kwenye mafanikio? Hana hata kombe la klabu bingwa tena alikuwa na timu za maana kabisa. Wakati anaondoka USMA aliiacha USMA ikimaliza ligi kuu kwa nafasi ya 12 huko.Yaani kama Simba ina nia ya kweli ya kumshinda Al Ahly, Benchikha ndiyo alikuwa mtu sahihi wa kuibeba maana alikuwa na sababu zake binafsi za kutaka kuendelea kuishinda Al Ahly tofauti na kocha mwingine yoyote watakayekuja kumpata. Hiyo ingekuwa sababu tosha ya kufanya kila njia kubaki naye.
Hakuna kocha pale, timu inashindwa kupata ushindi mbele ya Mashujaa wakiwa pungufuYaani kama Simba ina nia ya kweli ya kumshinda Al Ahly, Benchikha ndiyo alikuwa mtu sahihi wa kuibeba maana alikuwa na sababu zake binafsi za kutaka kuendelea kuishinda Al Ahly tofauti na kocha mwingine yoyote watakayekuja kumpata. Hiyo ingekuwa sababu tosha ya kufanya kila njia kubaki naye.