Haya ni baadhi ya mambo yaliyofanywa na Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan;
Rais Samia Suluhu Hassan amefanya mambo mengi sana likiwemo lile la elimu bure kutoka primary mpaka advance pia amesema kwa wanafunzi wa kidato cha sita watakao faulu vizuri masomo ya sayansi watapata ufadhili wa masomo ya chuo kikuu (scholarship) kwaiyo tunaona mtoto akiweka bidii anaweza kusoma from primary to university bure tumuombee Rais Samia suluhu Hassan maisha marefu zaidi.
Rais Samia amewezesha suala la kupunguzwa tozo katika miamala ya simu katika kutuma na kupokea fedha kwa zaidi ya 40%. (Tozo ya juu kabisa itapungua kutoka 7000 hadi 4000).
Kwa kutambua ukuaji wa sekta ya Sanaa na kujiajiri kwa vijana, Rais amewezesha kupunguzwa kodi(with holding tax) katika Tasnia ya Filamu kutoka 15% hadi 10%.
Kwa kutambua kupanda kwa bidhaa katika Soko la Dunia, Rais amewezesha kuondolewa kwa kodi (Zero rating) kwa bidhaa za mafuta ya kula (edible oils).
Kwa kutambua umuhimu wa Sekta ya Kilimo, Rais amewezesha kuondolewa kwa kodi (Zero rating) kwa mbolea inayozalishwa hapa nchini na mahitaji mengine muhimu ya wakulima, Wafugaji na Wavuvi.
Asante sana mama kwa kutujari watanzania
Rais Samia Suluhu Hassan amefanya mambo mengi sana likiwemo lile la elimu bure kutoka primary mpaka advance pia amesema kwa wanafunzi wa kidato cha sita watakao faulu vizuri masomo ya sayansi watapata ufadhili wa masomo ya chuo kikuu (scholarship) kwaiyo tunaona mtoto akiweka bidii anaweza kusoma from primary to university bure tumuombee Rais Samia suluhu Hassan maisha marefu zaidi.
Rais Samia amewezesha suala la kupunguzwa tozo katika miamala ya simu katika kutuma na kupokea fedha kwa zaidi ya 40%. (Tozo ya juu kabisa itapungua kutoka 7000 hadi 4000).
Kwa kutambua ukuaji wa sekta ya Sanaa na kujiajiri kwa vijana, Rais amewezesha kupunguzwa kodi(with holding tax) katika Tasnia ya Filamu kutoka 15% hadi 10%.
Kwa kutambua kupanda kwa bidhaa katika Soko la Dunia, Rais amewezesha kuondolewa kwa kodi (Zero rating) kwa bidhaa za mafuta ya kula (edible oils).
Kwa kutambua umuhimu wa Sekta ya Kilimo, Rais amewezesha kuondolewa kwa kodi (Zero rating) kwa mbolea inayozalishwa hapa nchini na mahitaji mengine muhimu ya wakulima, Wafugaji na Wavuvi.
Asante sana mama kwa kutujari watanzania