Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
-
- #121
Hakuna formula. Unaweza fanikiwa na unaweza usifanikiwe.
Utandawazi utakuweka kwenye risk. Mwanamke wa form four hajui anataka nn, hajui hatakama anataka kuwa mke au la, anaweza kuingia kwenye ndoa akatulia mpaka atakapoifahamu dunia na kutaka kujaribu mambo yake huku akiwa mkeo. Sasa usiombe akaifahamu iphone na huwezi mnunulia na sura na umbile vinashawishi wanaume kumpatia hiyo iphone. Katika hiyo stage ataona kama hakuwa na maamuzi wakati unamuoa.
Kama haendelei na shule aoe tu.
Ulivyosema tu neno ''Koma wewe'' nimeshajua aidha wewe ni wakike uliyeweka DP ya kiume au ni walewaleKoma wewe, shoga mwenyewe. Kwahiyo kutahiriwa hospital tokea lini imekuwa tatizo?
Kwahiyo we hujawahi kulia kwenye maisha yako ,???Akilia mke wake ndio atafufuka? This is women talk unaleta kwa wanaume sasa. Yaani hapo ni kama umemwambia simba kuwa kama njaa inauma sana kula hata majani achana na mambo ya kuwinda. Unasahau kuwa simba huwa hawali nyasi.
Wanaume hawatakiwi kulia, kujaza hasira kifuani, kuongea sana sehemu ya kufanya maamuzi, na zaidi muhimu kabisa wanaume hawatakiwi kuendeshwa na hisia ila akili.
Risk ipo kwa watu wote wakati wote. Isingekuwepo usingehangaika kutoa formula hapa.Hakuna risk ya utandawazi Kwa Watu waliomakini, au familia Makini.
Alafu sijasema uoe Mwanamke aliyetoka kumaliza kidato cha nne, embu soma uelewe.
Nimeeleza Kwa wanaotafuta Wanawake Bikra wanaweza kuwapata Kwa wanaoingia kidato cha tano na wanaoingia chuo. Kisha waweke courtship then wakiona yafaa wawaoe
Risk ipo kwa watu wote wakati wote. Isingekuwepo usingehangaika kutoa formula hapa.
Hatubadiliki tunaficha madhaifu yetu ili umteke uliemkusudia.Ndio Ila courtship ni muhimu, ili kumjua MTU unayeenda kumuoa.
Ni hatari kuishi na mtu usiyemjua, Watu wanasema Watu wanabadilika lakini ukweli ni kuwa MTU habadiliki, MTU ni yuleyule tangu amezaliwa mpaka anazeeka na Kufa
Ni kweli shoga na nakitaka hicho kijambio chako.Wewe lazima utakuwa shoga,...
Punguza shobo
Jamaa yako alikuwa lofa. Huwezi kuwa na mafanikio makubwa kabisa then ukawa lofa. Fuatilia matajiri wote wakubwa huwezi kukuta lofa kwenye list zao. Masikini ndiyo huwa malofaMkuu
Unaweza ukawa nunda na jeuri n ukajenga mji wako kwa msimamo wako lakini mwanamke akishaona mafanikio tayari tena bado vijana!
Anakugeuka na kuanza visa mwisho wa siku ukimdunda ustawi wanamaliza kila kitu!!
Unabaki kapuku!
Hilo nimeliona live!
Jamaa alikua fundi ujenzi kaoa mbena wa iringa AISEH kachezewa mchezo kabaki kapuku na chumba kimoja tu cha kulala!!vingine vyote watoto na mama yao!!!
Lofa ki vipi!!?Jamaa yako alikuwa lofa. Huwezi kuwa na mafanikio makubwa kabisa then ukawa lofa. Fuatilia matajiri wote wakubwa huwezi kukuta lofa kwenye list zao. Masikini ndiyo huwa malofa
Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
Kisicho na risk hakihitaji umakini.Risk Ipo Kwa Watu wasio Makini,
Kisicho na risk hakihitaji umakini.
Bikra Ipi unayozungumzia kizaz hiki, mtoto wa daras la nne keshayajua hayo mambo, labda ya kwapa
Zipo bhanaBikra Ipi unayozungumzia kizaz hiki, mtoto wa daras la nne keshayajua hayo mambo, labda ya kwapa
1/20
Ndio maana tuna sisitiza Kataa ndoa.Mkuu
Unaweza ukawa nunda na jeuri n ukajenga mji wako kwa msimamo wako lakini mwanamke akishaona mafanikio tayari tena bado vijana!
Anakugeuka na kuanza visa mwisho wa siku ukimdunda ustawi wanamaliza kila kitu!!
Unabaki kapuku!
Hilo nimeliona live!
Jamaa alikua fundi ujenzi kaoa mbena wa iringa AISEH kachezewa mchezo kabaki kapuku na chumba kimoja tu cha kulala!!vingine vyote watoto na mama yao!!!
Kwasababu maisha ni risk. Kila tunachofanya kina risk including kuchagua mke.Kwenye Maisha kila kitu kinahitaji umakini.
Kwasababu maisha ni risk. Kila tunachofanya kina risk including kuchagua mke.