Mambo ambayo hutakiwi kuchelewa kwenye maisha kama tayari una mpango wa kufanya jambo husika

Kwakwel kuna time nikiwa na wadau maeneo flan huwa kabisa naona nawakata stimu kwakua sigongi vyombo. Sema ndio hivyo na wao wameshanikubali tu kuwa mwamba tulishamkosa so wananichukulia vile nilivyo tu

Sasa hiyo unatakiwa uwe mtu muongeaji na mwenye stori ukiwa mkimya alafu hunywi Hali inazidi kuwa ngumu kwa marafiki
 
Kweli lleo umeshusha nondo.

Zaa watoto ukiwa chini ya miaka 40, ili unapofikisha miaka 60, last born wako awe anaingia chuo kikuu na siyo una mtoto yuko shule ya msingi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…