Mambo ambayo hutakiwi kufanya ukiwa unaendesha gari la Manual


Are you sure?? Kuweka tofali juu ya gear lever hamna kitu?? Hapanaaaa

Na kuhusu kuweka mkono..unajua zile selector za gia zimewekwa kimpangilio..vipi kama mkono uliouegemeza juu ya gear lever ukabadilisha gear pasi na wewe kutaka kwa bahati mbaya?

Na kuhusu kuteremka wapo wanaoweza kubalance clutch na accelerator na gari likaenda as long as anaenda kwa makadirio ya mwendo wa chini
 

1st- try to push down the gear and tell me what you hearing kwanza. The setting ya hio gear lever doesnt allow to push down kwa sababu hakuna space ya kuruhusu ivo ndio maana nkasema no effect. The only effect labda ikatike hio lever, lakini haiharibu gears

2nd- Than that is a safety issue i am talking about, but resting your hands on the lever doesn't cause msuguano. kwenye gari you can do alot of things bila kukusudia, mfano unaweza ukapush accelerator to the limit kwa lengo la kutaka kupiga brake za hafla, that is safety issue, sio kwamba kukanyaga accelerator full time kunafanya msuguano, just safety issues tu.

3rd- mkuu ushawahi endesha manual lakini? katika kilima UNASHUKA, why you need to balance accelerator na clutch? Gari ya manual ikiwa katika mwendo you dont need to use the clutch anymore labda kuwe na mambo ya kusimama simama, na inavotakiwa gari ikianza kuondoka huo mguu wako usiwe nanga, unauondoa katika clutch completely na kuutumia kwa kubadili gear, huku nlipo kisiwani unapoenda kupasishwa driving schol, jamaa mwanzo wa safari mpaka mwisho anautizama huo mguu wako kama umeutia nanga katika clutch. kuna sehemu ya kuweka mguu ukarest once ukichange gear au hujaona? Nyie ndo mnaunguza clutch faster.
 
mkuu kuendesha manual siwezi
 

Mkuu kuna utofauti wa kuendesha gari kubwa na dogo. Hizi ni tips za gari dogo.
 
Mkuu ifahamike kuwa hizi ishu ni kwa ajili ya usalama wa chombo na wakwako binafsi...

BTW sijawahi kukanyaga clutch mwendo wote wa safari eti mguu ukae pale juu ya plate..noo... Hiyo ya kubalance mimi niliona siku moja tu..Also, sijawahi kuendesha gari la manual kwa muda mrefu sana..


Thanks for the challenge.
 
Mkuu kuna utofauti wa kuendesha gari kubwa na dogo. Hizi ni tips za gari dogo.

Kwani kuna mahali kaandika kua ni gari ndogo au kubwa na wewe hujui lolote juu ya mechanism ya engine za magari na hujui zote ziko sawa tu na hujui kua kuna gari kubwa pia ni automatic tena ile auto yake hzo unazosema ndogo n ngumu sana na kama manouver ya gari ndogo hata kubwa unaweza fanya kama kupiga stop engine au kuvua gia toka 16 mpka 2 na gar ikasimama umbal wa mita 100.Chukua hii baba tumecheza na kila aina ya gari ndio mana nikampa maujuz mwenzio.
 

Andika vizuri.
 
True true lakini inategemea na gari.

Ahsante kwa ukumbusho

Gari zote kama ulivosema za manual mfumo ni 1 wa uendeshaji utofauti unakuja sie gari kubwa unahitaji kubalance tela na kua makini usiunguze mabusta ya break kma selection ya gia na RPM uwiano n mbaya hasa kushuka au kupanda.
 

Clutch utie nanga ahaha dk 5 tu unaskia lishaanza kunuka haswa.... na linaungua n shida
 
Gea ndogo ni namba 4, 5 na 6. Na gea kubwa ni 1, 2 na 3
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…