Mambo ambayo hutakiwi kufanya ukiwa unaendesha gari la Manual

Mambo ambayo hutakiwi kufanya ukiwa unaendesha gari la Manual

We endlea tu kuwasuka dada zako hizi kitu za gia 12 gia 16 au gia 8 achia sisi lakin usisahau pia dada zako nawaletea sana mkaa na mchele. Toka mbeya

Endelea kuimba taarab,jitahidi utoe album. La sivyo hapa mjini tutakuoa.
 
Mkuu ifahamike kuwa hizi ishu ni kwa ajili ya usalama wa chombo na wakwako binafsi...

BTW sijawahi kukanyaga clutch mwendo wote wa safari eti mguu ukae pale juu ya plate..noo... Hiyo ya kubalance mimi niliona siku moja tu..Also, sijawahi kuendesha gari la manual kwa muda mrefu sana..


Thanks for the challenge.
Mimi nliporeply kuhusu sababu yako ya kwanza ni kwa sababu ya maelezo kuwa vyuma vitasagana si kweli, kwa sababu kama nlivosema apo mwanzo. Besides ukiwa katika mwendo waweza kuchange gear bila ya hata clutch, its just not recommended at all.

Mimi nlikua naendesha pajero manual, diesel engine, hii ndio my first manual car kuanza kuendesha rasmi, nimeendesha kwa muda, nikahamia apo nikawa naendesha avensis manual pia, sasa ivi nipo na automatic mana manual kwa safari fupi ni kuchokeshana miguu tu. Huyo ulomuona ana balance sio dereva wa daladala lakini? kwa sababu kama unashuka kilima, na hutaki kupungukiwa na spidi wala kuongeza basi unaiacha katika gear bila kukanyga clutch, kama unataka kuongeza spidi wakati unashuka kilima, you dont need to press clutch kama ipo katika gear, unaukanyaga tu apo apo, na kama upo free unahitaji kuongeza spidi kwa sababu haukutoshi lakini bila kukanyaga mafuta, basi unakanyaga clutch ili gearbox iwe disconnected ta engine ili ipate kuteremka kwa haraka. Ukweli kwenye kuteremka kilima kubalance acelerator na clutch doesnt make sense, huyo ni mharibifu atakuwa 😀

Naongezea, kwa wale wenye manual cars kwa bahati mbaya breki zimefeli, unatakiwa ufanye change down upate kusimama, usikanyage clutch wakati wa kupiga breki.

Asante mkuu
 
Ngoja nikufate pm nikutongoze,inaonyesha wewe bado ni bikra.

Hata hapa fresh kuna 1 alikuja pm tukakutana kasumbalesa boda akapakwa Grease ya turntable nikasema haya nenda..sasa angalie we isije ikawa diesel
 
Mimi nliporeply kuhusu sababu yako ya kwanza ni kwa sababu ya maelezo kuwa vyuma vitasagana si kweli, kwa sababu kama nlivosema apo mwanzo. Besides ukiwa katika mwendo waweza kuchange gear bila ya hata clutch, its just not recommended at all.

Mimi nlikua naendesha pajero manual, diesel engine, hii ndio my first manual car kuanza kuendesha rasmi, nimeendesha kwa muda, nikahamia apo nikawa naendesha avensis manual pia, sasa ivi nipo na automatic mana manual kwa safari fupi ni kuchokeshana miguu tu. Huyo ulomuona ana balance sio dereva wa daladala lakini? kwa sababu kama unashuka kilima, na hutaki kupungukiwa na spidi wala kuongeza basi unaiacha katika gear bila kukanyga clutch, kama unataka kuongeza spidi wakati unashuka kilima, you dont need to press clutch kama ipo katika gear, unaukanyaga tu apo apo, na kama upo free unahitaji kuongeza spidi kwa sababu haukutoshi lakini bila kukanyaga mafuta, basi unakanyaga clutch ili gearbox iwe disconnected ta engine ili ipate kuteremka kwa haraka. Ukweli kwenye kuteremka kilima kubalance acelerator na clutch doesnt make sense, huyo ni mharibifu atakuwa 😀

Naongezea, kwa wale wenye manual cars kwa bahati mbaya breki zimefeli, unatakiwa ufanye change down upate kusimama, usikanyage clutch wakati wa kupiga breki.

Asante mkuu

Big up sana umeniongezea ufahamu
 
Sasa kuna mechanism gani hapo mkono ukiwa juu ya gia kusababisha vyuma visagike, hii hapana tunatembea na gari km za kutosha mkono unapiga gia nyingi mixer ma splinter ukimaliza unatulia kwenye kirungu sijawahi kuona wala kusikia hio.
 
Kushuka kwenye mlima clutch + gia ni vitu vinavyosaidia sana engine. Ikiwa mfano unashuka sekenke kabla ya kufika pale lazima use umetoka mwendo mkali kwenda mdogo. Mfano ukiwa na gari dogo unaweza kuweka namba 4 ambayo itakuwa inapunguza mwendo na pindi ukiongezeka unaweza kutumia brake kidogo. Elewa unapokuwa kwenye mteremko na ukatumia gia mwendo unapozidi lazima mlio wa engine uzidi kuonyesha kuwa gia na mwendo haviendani. Matumizi ya gia yanatakiwa kuzingatia mwendo wa gari, eneo husika na rpm yako. Huwezi kutembelea namba 5 rav4 kwa speed 20kph . kuhusu gia liva hairuhusiwi kutokana na usalama wa dereva ambapo mkono unaweza kubadilisha gia kimakosa ingawaje lazima gia itakuja kwenye free kabla ya kuingia gia nyingine ila kwa baadhi ni kutokana na majeraha wanayoweza kuyapata iwapo gia itachomoka ghafla. Pia kama ni mzoefu wa manual kwa magari madogo unauwezo wa kuweka namba 1 kwa kutumia cluth na zinazofuata bila clutch. Kinachoangaliwa hapo ni mzunguko wa engine ukoje(rpm) ila hapa ni hadi kwa mzoefu kama siyo utaharibu meno ya gia box. Hairuhusiwi kuendesha gari mguu ukiwa juu ya break wa cluth labda tu pawepo na sababu ya kusimama au kupunguza mwendo
 
Pia kuna kitu kinanitatiza kwanini baadhi ya gari (sijajua kama zote au lah) kama unashuka katika kilima alafu haunyakanyaga clutch na gari ipo namba 1 au 2 nini inasababisha ivume sana wakati inashuka?
 
Chinese trucks ndio zina majanga hayo ila hizi za ulaya siku izi zote ni automatic kiti full upepo AC af booster za kutosha kwnye cabin kwahyo kuchoka si saana kma hzo za kichina viti ka umekalia Stuli no AC humo
R470??
 
Nilijifunzia gari ya manual lakini toka nilipoanza kuendesha gari mpaka leo naendesha autlomatic,zaidi ya miaka 10 sijaendesha gari ya manual,sijui kama nikikutana nalo ntakumbuka,halafu pia huwa naona kama mzigo flani kuendesha manual!!
 
Pia kuna kitu kinanitatiza kwanini baadhi ya gari (sijajua kama zote au lah) kama unashuka katika kilima alafu haunyakanyaga clutch na gari ipo namba 1 au 2 nini inasababisha ivume sana wakati inashuka?
Unaweza kutaja aina ya gari uliyokumbana na hill tatizo? Magari ambayo yako ni kama hujakanyaga clutch haliwaki.na kwenye mteremko hizo Gia haziwezi kufanya gari lizima sababu kilima chenyewe kinalazimisha gari kwenda mwendo mkali,zaidi kinachotokea ni engine kuvuma na kama hautokuwa makini waweza kupata madhara kwenye Gia box na engine. Huwezi kwenda speed 80 ikiwa namba 1&2 hapo unatakiwa kubwa namba 3+ na ikiwa namba 3 bado engine itavuma vilevile na unachotakiwa ni kutumia break kupunguza mwendo ili visaidiane na Gia iliyopo. Gia zinatumika kuongeza mwendo na kupunguza mwendo kulingana na tukio husika na pia kulingana na ujuzi Wa dereva
 
We mtoa post inaonekana ujawaienesha gari umbali mrefu pia umeendesha hizi gari auto hyo Namba (1 ) gari kama Faw na Howo au lori za kichina n pasua kichwa mda wote mkono upo kwenye gear Lever ahaaaaaa ahaa hyo namba (5) baba angu hzo gari nimetaja kuna gia inabid tu uskizie RPM unakanyagia tu bila clutch ukisema utie gia zote 12 ndugu yangu mguu 1 utakua ka Mua mwingine ka mgomba ingawa walioeleza yote ndo utaratibu ila kiukweli kuna mambo inabidi uachane nayo safari ufike. Imargin safari ya 2000+ KMs
We ni muuwaji was magari ya watu.
 
Unaweza kutaja aina ya gari uliyokumbana na hill tatizo? Magari ambayo yako ni kama hujakanyaga clutch haliwaki.na kwenye mteremko hizo Gia haziwezi kufanya gari lizima sababu kilima chenyewe kinalazimisha gari kwenda mwendo mkali,zaidi kinachotokea ni engine kuvuma na kama hautokuwa makini waweza kupata madhara kwenye Gia box na engine. Huwezi kwenda speed 80 ikiwa namba 1&2 hapo unatakiwa kubwa namba 3+ na ikiwa namba 3 bado engine itavuma vilevile na unachotakiwa ni kutumia break kupunguza mwendo ili visaidiane na Gia iliyopo. Gia zinatumika kuongeza mwendo na kupunguza mwendo kulingana na tukio husika na pia kulingana na ujuzi Wa dereva
Ahsante Mkuu
 
Nilijifunzia gari ya manual lakini toka nilipoanza kuendesha gari mpaka leo naendesha autlomatic,zaidi ya miaka 10 sijaendesha gari ya manual,sijui kama nikikutana nalo ntakumbuka,halafu pia huwa naona kama mzigo flani kuendesha manual!!

Sasa kwa mfano ukapata kazi, ukapewa gari la manual itakuwaje??
 
Back
Top Bottom