Mambo ambayo Mungu hayapendi lakini Waislamu na Wakristu wamefichwa

Tuanzie hapa kwanza je Unajua kumtofautisha Mungu na shetani?
Mungu ndio kaumba uovu lait mungu asingeumba maovu basi ujue uovu usingekuwepo kama mungu anajua kila kitu kwanini aliumbauovu halafu anataka watu wawe wema kwa maneno rahisi mungu ndio Shetani mwenyewe
 
Kwenu mna asili ya uendawazimu sio bure!
hata ulichoandika ni ujinga mtupu na uhayawani!
Bora ungekaa kimya kuficha upumbavu wako!
Naku ignore. Umeonyesha ujinga wa.hali ya juu.
 
Nimeweka hoja inatakiwa ajadili hoja yeye ana leta mihemko Mkuu. Mwaka MPYA na mambo mapya
Ukianzisha thread usipangie watu cha kucomment, hata wewe ulichoandika hukupangiwa na mtu.
 
Kijana kataa ndoa ndoa ni mpango wa shetani kumfunga mwanaume.
 
You can now the artist by studing his art. Nimejua Mungu kwa kuistudy sanaa ya uumbaji wake
Unajuaje kimeumbwa na Mungu na hakijatokea kwa namna yoyote nyingine?
 
Unajuaje kimeumbwa na Mungu na hakijatokea kwa namna yoyote nyingine?

Kwa sababu ya constancy na complexity katika mfumo wake plus uniformity.
Mfano kwa jinsi mfumo wa mwili wa mwanadamu ulivyo, hawezi kuwa ametokea tu from nowhere lazima yupo mwenye maarifa zaidi ambae ame tengeneza huo mfumo...

Constancy; Mfano tangu kuumbwa kwa ulimwengu jua linatoka mashariki linazama magharibi, haijawahi kubadilika.


Uniformity: Ukichukua mfomu wa moyo wa mtanzania ni the same na mchina, mzungu, muhindi n.k.

Mwanaume unapo ejaculate utamu unao upata ni SAWA KWA wanaume wote Dunia nzima.

Hizo zote zina detect kwamba mwanadamu na vitu vyote vilivyomo ulimwenguni vimekuwa designed na mwenye UWEZO wa kuvidesign KWA namna hiyo
 
Unaelewa kwamba ikiwa complexity ni lazima iwe imeumbw ana intelligence kubwa zaidi, hata Mungu wako naye atahitaji kuumbwa (kwa sababu naye ni complex) na Mungu wake naye atahitaji kuumbwa, katika chain ambayo haina mwisho.

Na hapo hakuna Mungu muumba yote?

Kimsingi, hoja ya complexity inaonesha Mungu muumba vyote hawezekani kuwepo.

Unaelewa hilo?
 
Lini Mungu amekuambia hayo yote unaweza kuweka ushahidi ?
 
Msome Plato kwenye Metaphysics amezungumzia vizuri hii. God is unmovable mover. He get things moved but he cannot be moved cause he is unmovable
 
Msome Plato kwenye Metaphysics amezungumzia vizuri hii. God is unmovable mover. He get things moved but he cannot be moved cause he is unmovable
Unajuaje God ni unovable mover kweli, na hii si hadithi uliyopigiwa tu ukaikubali?

Unahakikishaje hilo ni kweli na si hadithi tu?
 
Muwe mnakumbuka kutoa mbegu kabla ya kupuliza jaman
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…