Mambo ambayo mwanaume wa thamani hatakiwi kuyafanya kamwe

Mambo ambayo mwanaume wa thamani hatakiwi kuyafanya kamwe

Nimesoma zote namba 1-22 naona zote ex wangu hatoboi hata moja aiseee.!! 🤣🤣🤣🤣
 
Ukiona mwanaume unaanza kuishi na visheria Sheria ujue na wewe sio mwanaume....mwanaume unatunga Sheria papo kwa hapo
 
Uzi uishie hapa, mwanaume hajengwi kwa visheria vya mtu, mwanaume ni ile spirit ya kiume ambayo basically tunaumbwa nayo. Wewe mwenyewe unajijua mimi mwanaume na unajiwekea misingi yako binafsi.
 
Mwanaume kusema` we kuweza` haitakiwi kabsa
 
1. Gambling

2. Kula sausages

3. Kutumia sukari

4. Kunywa Energy

5. Kulewa pombe

6. Kupiga punyeto

7. Kununua malaya

8. Kuchangisha mahari

9. Kula bidhaa za ngano

10. Kula kuku wa kisasa

11 .Kuwa na mpenzi mlevi

12. Kufanya ngono zembe

13. Kula milo 3 kwa siku

14. Kuvaa nguo za kubana

15. Kuangalia picha za utupu

16. Kutamani watoto wa shule

17. Kutopenda kusoma na kujiendeleza

18. Kwenda kumlilia mwanamke shida zako

19. Kusimp na kujipendekeza kwa mwanamke

20. Kulala na mwanamke wa mwanaume mwingine

21.K ubebwa mshikaki na mwanamke kukaa nyuma yako

22.K ucheka cheka na kuzoeana na wapenzi wa waashikaji zako

-Credit Millambo
Dunia sio ngumu kiasi hicho.
 
1. Gambling

2. Kula sausages

3. Kutumia sukari

4. Kunywa Energy

5. Kulewa pombe

6. Kupiga punyeto

7. Kununua malaya

8. Kuchangisha mahari

9. Kula bidhaa za ngano

10. Kula kuku wa kisasa

11 .Kuwa na mpenzi mlevi

12. Kufanya ngono zembe

13. Kula milo 3 kwa siku

14. Kuvaa nguo za kubana

15. Kuangalia picha za utupu

16. Kutamani watoto wa shule

17. Kutopenda kusoma na kujiendeleza

18. Kwenda kumlilia mwanamke shida zako

19. Kusimp na kujipendekeza kwa mwanamke

20. Kulala na mwanamke wa mwanaume mwingine

21.K ubebwa mshikaki na mwanamke kukaa nyuma yako

22.K ucheka cheka na kuzoeana na wapenzi wa waashikaji zako

-Credit Millambo
Kwangu jambo kubwa ambalo mwanaume wa thamani hatakiwi kufanya ni KUJIFANYA MWANAMKE.

Kama kula milo mitatu hakukupelekei kujifanya mwanamke hakuna shida ya kula milo mi3.

18.kama kumlilia shida mwanamke hakunifanyi nijifanye mwanamke basi sio tatizo kwenda kulia shida kwa mwanamke maadamu kulia huko hakuniondolei uanaume wangu.
 
Wengine tangu tumezaliwa tumekuta baba,babu zetu wanakula ngano na Milo mi3 mpka zaidi,for the record babu yangu alikua na WA awake 4,na watoto 32 akila hizo hizo ngano
 
1. Gambling

2. Kula sausages

3. Kutumia sukari

4. Kunywa Energy

5. Kulewa pombe

6. Kupiga punyeto

7. Kununua malaya

8. Kuchangisha mahari

9. Kula bidhaa za ngano

10. Kula kuku wa kisasa

11 .Kuwa na mpenzi mlevi

12. Kufanya ngono zembe

13. Kula milo 3 kwa siku

14. Kuvaa nguo za kubana

15. Kuangalia picha za utupu

16. Kutamani watoto wa shule

17. Kutopenda kusoma na kujiendeleza

18. Kwenda kumlilia mwanamke shida zako

19. Kusimp na kujipendekeza kwa mwanamke

20. Kulala na mwanamke wa mwanaume mwingine

21.K ubebwa mshikaki na mwanamke kukaa nyuma yako

22.K ucheka cheka na kuzoeana na wapenzi wa waashikaji zako

-Credit Millambo
WAnawake mnahangaika sana na kuwapangia wanaume uanaume. Tafuteni kazi mabinti.
 
Back
Top Bottom