Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zote nakubaliana nazo icpokuwa haiwezekani mke wangu agusane na mwanaume mwengine tena wakiwa wamebanana, bora tutembee au tupande bajaji.21.K ubebwa mshikaki na mwanamke kukaa nyuma yako
[emoji16][emoji16]Tatizo vijana wengi wa siku hizi mna mashaka na uanaume wenu. mwanaume ni mwanaume tu haina haja ya kuwekewa vigezo.
✌Uzi uishie hapa, mwanaume hajengwi kwa visheria vya mtu, mwanaume ni ile spirit ya kiume ambayo basically tunaumbwa nayo. Wewe mwenyewe unajijua mimi mwanaume na unajiwekea misingi yako binafsi.
Dunia sio ngumu kiasi hicho.1. Gambling
2. Kula sausages
3. Kutumia sukari
4. Kunywa Energy
5. Kulewa pombe
6. Kupiga punyeto
7. Kununua malaya
8. Kuchangisha mahari
9. Kula bidhaa za ngano
10. Kula kuku wa kisasa
11 .Kuwa na mpenzi mlevi
12. Kufanya ngono zembe
13. Kula milo 3 kwa siku
14. Kuvaa nguo za kubana
15. Kuangalia picha za utupu
16. Kutamani watoto wa shule
17. Kutopenda kusoma na kujiendeleza
18. Kwenda kumlilia mwanamke shida zako
19. Kusimp na kujipendekeza kwa mwanamke
20. Kulala na mwanamke wa mwanaume mwingine
21.K ubebwa mshikaki na mwanamke kukaa nyuma yako
22.K ucheka cheka na kuzoeana na wapenzi wa waashikaji zako
-Credit Millambo
Boraa hata usemee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tatizo vijana wengi wa siku hizi mna mashaka na uanaume wenu. mwanaume ni mwanaume tu haina haja ya kuwekewa vigezo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni kweli mkuu inashangaza mno siku hizi watu wanalazimisha tujue jinsia zao.
Mambo yameharibika mno.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimesoma zote namba 1-22 naona zote ex wangu hatoboi hata moja aiseee.!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kumekuchaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Zote nakubaliana nazo icpokuwa haiwezekani mke wangu agusane na mwanaume mwengine tena wakiwa wamebanana, bora tutembee au tupande bajaji.
Kwangu jambo kubwa ambalo mwanaume wa thamani hatakiwi kufanya ni KUJIFANYA MWANAMKE.1. Gambling
2. Kula sausages
3. Kutumia sukari
4. Kunywa Energy
5. Kulewa pombe
6. Kupiga punyeto
7. Kununua malaya
8. Kuchangisha mahari
9. Kula bidhaa za ngano
10. Kula kuku wa kisasa
11 .Kuwa na mpenzi mlevi
12. Kufanya ngono zembe
13. Kula milo 3 kwa siku
14. Kuvaa nguo za kubana
15. Kuangalia picha za utupu
16. Kutamani watoto wa shule
17. Kutopenda kusoma na kujiendeleza
18. Kwenda kumlilia mwanamke shida zako
19. Kusimp na kujipendekeza kwa mwanamke
20. Kulala na mwanamke wa mwanaume mwingine
21.K ubebwa mshikaki na mwanamke kukaa nyuma yako
22.K ucheka cheka na kuzoeana na wapenzi wa waashikaji zako
-Credit Millambo
WAnawake mnahangaika sana na kuwapangia wanaume uanaume. Tafuteni kazi mabinti.1. Gambling
2. Kula sausages
3. Kutumia sukari
4. Kunywa Energy
5. Kulewa pombe
6. Kupiga punyeto
7. Kununua malaya
8. Kuchangisha mahari
9. Kula bidhaa za ngano
10. Kula kuku wa kisasa
11 .Kuwa na mpenzi mlevi
12. Kufanya ngono zembe
13. Kula milo 3 kwa siku
14. Kuvaa nguo za kubana
15. Kuangalia picha za utupu
16. Kutamani watoto wa shule
17. Kutopenda kusoma na kujiendeleza
18. Kwenda kumlilia mwanamke shida zako
19. Kusimp na kujipendekeza kwa mwanamke
20. Kulala na mwanamke wa mwanaume mwingine
21.K ubebwa mshikaki na mwanamke kukaa nyuma yako
22.K ucheka cheka na kuzoeana na wapenzi wa waashikaji zako
-Credit Millambo