Comrade Ally Maftah
Member
- Nov 6, 2016
- 77
- 271
MAMBO AMBAYO WANAUME TUNAKOSEA NA KUJIKUTA KATIKA MAHUSIANO/ NDOA INAYOKUTESA
Na Comrade Ally Maftah
Leo nime wiwa kugusia mambo ambayo wanaume tunayakosea na kujikuta kwenye mahusiano ya mateso au ndoa zinazovunjika na kutuacha na majuto.
1. KUANZISHA MAHUSIANA NA MWANAMKE ALIYEKUWA KWENYE MSONGO WA MAWAZO/ MATATIZO/ MAHITAJI
Mara kadhaa nimesikia malalamiko kwa wanaume wakisema yule mwanamke nilimsomesha/ nilimsaidia kupata kazi/ nilimpa mtaji na alipofanikiwa akaniacha, bro ukiona imefikia hapo jua kwamba ulifanya kosa moja la kitaalamu, huruma na matarajio ya hovyo vimekuponza, ukitaka kumsaidia mtu ajikwamue kwenye changamoto msaidie achana na masuala ya mapenzi ja matarajio ya muda mrefu, jua kwamba mwanamke akiwa kwenye changamoto anakuwa hana uchaguzi sahihi wa kimapenzi, wakati huo focus yake inakuwa ni kwenye kujikwamua kiuchumi na sio kumtafakari nani anayempenda, mwanamke atakuonyesha kila aina ya upendo ili apate msaada wako na pengine na yeye moyo unamdanganya kwamba anakupenda, akifanikiwa akili yake inaanza kufanya kazi sawa sawa na hapo anaweza kugundua kwamba hana upendo na wewe na huo unaanza kuwa ni wakati wake kumtafuta au kurejea kwa mwanaume anayempenda.
Hili jambo limetukuta wanaume wengi sana na mimi ni miongoni mwao, ndugu yangu anzisha mahusiano na mwanamke aliyejipata kimaisha, hawa wanao husle mara kadhaa mwisho wao huwa ni majuto
2. KUJENGA MAHUSIANO KWA KUMPA MWANAMKE PESA, MALI, AHADI, NA KUJIONYESHA KWAMBA UNA JIWEZA AU UNA WADHIFA FULANI
Moja kati ya mambo yanayotupa shida kubwa wanaume ni pale unapoanzisha mahusiano na mtu katika mfumo wa kumpa hela, ahadi, au zawadi, hapo unamvuruga mwanamke akili na anaweza kujikuta anakuwa upande wako, kwa kweli pesa ina nguvu sana kwa wakati fulani kiasi kwamba ni wanawake wachache sana wenye uwezo wa kudhibiti mioyo yao mbele ya pesa,zawadi na ahadi, mara nyingi mwanaume unapoanzisha mahusiano morali yako inakuwa juu na unakuwa umejiandaa, wakati huo unamkuta mwenzako morali yake imepoa au yupo kwenye mkwamo wa kimaisha, hapo unapata chance ya kumdhurumu mke/ mpenziwe kwa sababu yeye focus yake inakuwa imehama kwenye kumvutia mwanamke, ndio unapoweza kutembea na mke / mpenzi wa mtu, ikitokea na wewe morali na uwezo umeisha mwanamke atarudi kwa ampendae kwa moyo.
ANGALIZO : SI VIBAYA KUMPA ZAWADI/ KUMSAIDIA/KUMSOMESA/KUMPA MTAJI MWANAMKE AMBAYE UNA MALENGO NAE, ILA ZINGATIA KWAMBA UNACHOMPA NI KIASI KILICHO NDANI YA UWEZO WAKO, MPE KWA MUDA FULANI ALAFU KAGUA KUHUSU UPENDO WAKE KWAKO, WEKA MITEGO NA VIZINGITI KABLA HUJAENDELEA KUMPA, JIWEKEE LIMIT KWAMBA WEMA WANGU UISHIE LINI BAADA YA HAPO NIANZE KUONA UPENDO WAKE.
JAMBO HILI SI RAHISI, NI MAFUMBO TUNAYOPASA KUISHI TUKIWA TUNAOMBA YASITUPELEKE KWENYE MATATIZO
Comrade Ally Maftah
KING OF ALL SOCIAL MEDIA
JITU LA MIRABA
Na Comrade Ally Maftah
Leo nime wiwa kugusia mambo ambayo wanaume tunayakosea na kujikuta kwenye mahusiano ya mateso au ndoa zinazovunjika na kutuacha na majuto.
1. KUANZISHA MAHUSIANA NA MWANAMKE ALIYEKUWA KWENYE MSONGO WA MAWAZO/ MATATIZO/ MAHITAJI
Mara kadhaa nimesikia malalamiko kwa wanaume wakisema yule mwanamke nilimsomesha/ nilimsaidia kupata kazi/ nilimpa mtaji na alipofanikiwa akaniacha, bro ukiona imefikia hapo jua kwamba ulifanya kosa moja la kitaalamu, huruma na matarajio ya hovyo vimekuponza, ukitaka kumsaidia mtu ajikwamue kwenye changamoto msaidie achana na masuala ya mapenzi ja matarajio ya muda mrefu, jua kwamba mwanamke akiwa kwenye changamoto anakuwa hana uchaguzi sahihi wa kimapenzi, wakati huo focus yake inakuwa ni kwenye kujikwamua kiuchumi na sio kumtafakari nani anayempenda, mwanamke atakuonyesha kila aina ya upendo ili apate msaada wako na pengine na yeye moyo unamdanganya kwamba anakupenda, akifanikiwa akili yake inaanza kufanya kazi sawa sawa na hapo anaweza kugundua kwamba hana upendo na wewe na huo unaanza kuwa ni wakati wake kumtafuta au kurejea kwa mwanaume anayempenda.
Hili jambo limetukuta wanaume wengi sana na mimi ni miongoni mwao, ndugu yangu anzisha mahusiano na mwanamke aliyejipata kimaisha, hawa wanao husle mara kadhaa mwisho wao huwa ni majuto
2. KUJENGA MAHUSIANO KWA KUMPA MWANAMKE PESA, MALI, AHADI, NA KUJIONYESHA KWAMBA UNA JIWEZA AU UNA WADHIFA FULANI
Moja kati ya mambo yanayotupa shida kubwa wanaume ni pale unapoanzisha mahusiano na mtu katika mfumo wa kumpa hela, ahadi, au zawadi, hapo unamvuruga mwanamke akili na anaweza kujikuta anakuwa upande wako, kwa kweli pesa ina nguvu sana kwa wakati fulani kiasi kwamba ni wanawake wachache sana wenye uwezo wa kudhibiti mioyo yao mbele ya pesa,zawadi na ahadi, mara nyingi mwanaume unapoanzisha mahusiano morali yako inakuwa juu na unakuwa umejiandaa, wakati huo unamkuta mwenzako morali yake imepoa au yupo kwenye mkwamo wa kimaisha, hapo unapata chance ya kumdhurumu mke/ mpenziwe kwa sababu yeye focus yake inakuwa imehama kwenye kumvutia mwanamke, ndio unapoweza kutembea na mke / mpenzi wa mtu, ikitokea na wewe morali na uwezo umeisha mwanamke atarudi kwa ampendae kwa moyo.
ANGALIZO : SI VIBAYA KUMPA ZAWADI/ KUMSAIDIA/KUMSOMESA/KUMPA MTAJI MWANAMKE AMBAYE UNA MALENGO NAE, ILA ZINGATIA KWAMBA UNACHOMPA NI KIASI KILICHO NDANI YA UWEZO WAKO, MPE KWA MUDA FULANI ALAFU KAGUA KUHUSU UPENDO WAKE KWAKO, WEKA MITEGO NA VIZINGITI KABLA HUJAENDELEA KUMPA, JIWEKEE LIMIT KWAMBA WEMA WANGU UISHIE LINI BAADA YA HAPO NIANZE KUONA UPENDO WAKE.
JAMBO HILI SI RAHISI, NI MAFUMBO TUNAYOPASA KUISHI TUKIWA TUNAOMBA YASITUPELEKE KWENYE MATATIZO
Comrade Ally Maftah
KING OF ALL SOCIAL MEDIA
JITU LA MIRABA