Mambo ambayo nchi ya Marekani imezidiwa kwa mbali na nchi ya Tanzania

Bladfvcken kabisa wewe !
Unapata wapi guts za kufanya comparison Kati ya developed country na shithole village kama Tanzania ?
Wehu ninyi
 
Nitukane kwa kiswahili sijui kingereza boss
 
Tz imezidi marekani katika hali ngumu ya kimaisha
Ujinga
Maradhi
Kutekana
Upumhavu
Uchawa
Nk
 
Shida umaskini
 
Lakini haibadilishi maana kuwa ni faida
 
Nadhani hata uwingi wa magari ya kuagiza nje hasa Mavieite tunawazidi mbali sana jamaa pia nguo tunaagiza nje wakati wao labda wanatumia za ndani pale pale. Kiukweli Tanzania inaizidi vitu vingi sana USA
 
Bladfvcken kabisa wewe !
Unapata wapi guts za kufanya comparison Kati ya developed country na shithole village kama Tanzania ?
Wehu
 
Nitukane kwa kingereza kiswahili sijui mwenzako
 
Nadhani hata uwingi wa magari ya kuagiza nje hasa Mavieite tunawazidi mbali sana jamaa pia nguo tunaagiza nje wakati wao labda wanatumia za ndani pale pale. Kiukweli Tanzania inaizidi vitu vingi sana USA
Sijavisema hvo hayo yako
 
Zote hizo ni juhudi za sisiem
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…