Mambo ambayo nchi ya Marekani imezidiwa kwa mbali na nchi ya Tanzania

Mambo ambayo nchi ya Marekani imezidiwa kwa mbali na nchi ya Tanzania

Sawa kama mataifa yote yanaizungumzia Marekani kwann ss iwe shida?
Kwani wapi nimesema ni shida?

Uzi unaongelea mambo ambayo nchi ya Marekani imezidiwa na Tanzania.

Mimi nimesema Marekani imezidiwa na Tanzania jinsi Watanzania wanavyoijadili Marekani kila siku, Wamarekani hawaizungumzii Tanzania kama Watanzania wanavyoizungumzia Marekani.

Nimechangia mada ya mleta uzi mambo ambayo Tanzania inaizidi Marekani.

Huelewi wapi?
 
Kwani wapi nimesema ni shida?

Uzi unaongelea mambo ambayo nchi ya Marekani imezidiwa na Tanzania.

Mimi nimesema Marekani imezidiwa na Tanzania jinsi Watanzania wanavyoijadili Marekani kila siku, Wamarekani hawaizungumzii Tanzania kama Watanzania wanavyoizungumzia Marekani.

Nimechangia mada ya mleta uzi mambo ambayo Tanzania inaizidi Marekani.

Huelewi wapi?
Haya nimekuelewa
 
Me: "I'm from Tanzania"
American: "Did you say Tasmania?".

Wamarekani wengi hata hawajui Tanzania iko wapi kwenye ramani.
Wengi mno, 'average' Americans wanaoijua TZ ni wachache mno kwanza kuna wengi wanaodhani kuwa Africa ni nchi moja.
Ni sawa na Watanzania uwaulize kuhusu Tonga au Tuvalu wengi watakutolea mijicho tu.
 
Wengi mno, 'average' Americans wanaoijua TZ ni wachache mno kwanza kuna wengi wanaodhani kuwa Africa ni nchi moja.
Ni sawa na Watanzania uwaulize kuhusu Tonga au Tuvalu wengi watakutolea mijicho tu.
Siyo tatizo wenyewe ni taifa kubwa!!ila haindoi ukweli kuwa kuna mambo tumewazidi
 
Tanzania imeizidi Marekani kwa kupokea misaada kutoka Marekani kuzidi Marekani inavyopokea misaada kutoka Tanzania.
 
Tanzania imeizidi Marekani kwa kupokea misaada kutoka Marekani kuzidi Marekani inavyopokea misaada kutoka Tanzania.
Hilo ni kweli ila ilikuwa mada ya jmos ambayo tayari nimeshaiandaa unavujisha pepaa mzee
 
Ingiwa nchi ya Marekani ina maendeleo makubwa ya kiteknolojia na kiuchumi, yapo mambo kadhaa ambayo Tanzania tumewaacha mbali mno.

1. Rasilimali za asili na utalii wa kiikolojia
Tanzania kuna hifadhi maarufu kama Serengeti, Ngorongoro crater, na Mlima Kilimanjaro, ambazo ni kivutio kikubwa cha utalii wa kiokolojia duniani.

● Biodiversity, Tanzania ina aina ya wanyama wakubwa wa porini kwa wingi na aina mbalimbali ya mimea ikilinganishwa na maeneo mengi ya Marekani.

11. Utulivu wa kijamii na kitamaduni
Utamaduni wa ujamaa mshikamano wa jamii na maisha ya kijamii ya mjini na vijijini ni imara zaidi nchini Tanzania kulinganisha na Tanzania.

● Amani na usalama wa kijamii, Tanzania kuna amani ya kijamii ukilinganisha na Marekani ambapo kuna ghasia za mara kwa mara kwenye jamii zao.

111. Chakula asili na lishe
● Chakula kisicho na kemikali, Tanzania kuna uzalishaji wa chakula cha asilia huku sehemu kubwa ya wakulima wakilima chakula pasipo kutegemea asili kulinganisha na Marekani ambao kilimo chao utegemea njia zisizo asilia.

1v. Hali ya hewa
Tanzania kuna hali ya hewa ya joto na unyevuunyevu,huku maeneo mengi ya Marekani yakipata hali mbaya za hewa kama kimbunga,baridi kali na vimbunga.

V. Gharama za maisha nafuu
Gharama za maisha nchini Tanzania kama malazi ,chakula na huduma za afya ni ndogo ukilinganisha na Marekani.

Vi. Matumizi madogo ya silaha
Tanzania ina viwango vya chini vya umiliki wa silaha na matukio machache ya uhalifu wa kutumia silaha tofauti na Marekani ambako matumizi ya silaha ni makubwa na matukio ya ghasia yanayojumlisha matumizi ya silaha ni ya juu.
Una ma tatizo ya akili, watu hawawezi kula milo mitatu, unasema bongo kuna Amani! Bongo njaa tu, na ufisadi, majizi, madikiteta ndio yapo ikulu, yanalazimisha kukaa ikulu, nchi zenye Amani na furaha ni UK, Korea kusini, china, Afrika ni ukimya tu wa umaskini!
 
Una ma tatizo ya akili, watu hawawezi kula milo mitatu, unasema bongo kuna Amani! Bongo njaa tu, na ufisadi, majizi, madikiteta ndio yapo ikulu, yanalazimisha kukaa ikulu, nchi zenye Amani na furaha ni UK, Korea kusini, china, Afrika ni ukimya tu wa umaskini!
Asante kwa maoni yako ww usiye na matatizo ya akili
 
kwenye rasilimali za asili naomba nibishe

ifahamike kwamba marekani ni nchi kubwa sana(karibia 1/3 ya bara zima la afrika)

ina biomes nyingi tofauti na hapa hivyo biodiversity lazima ni kubwa

inazalisha mafuta ghafi kuliko nchi yeyote ile

na wao wana wanyama maarufu; grizzly bears, the alaskan moose, the american bison, the gray wolf. wanavutia sana

nadhani hata ukigoogle list ya most biodiverse countries hutoikuta tz 20 bora
 
kwenye rasilimali za asili naomba nibishe

ifahamike kwamba marekani ni nchi kubwa sana(karibia 1/3 ya bara zima la afrika)

ina biomes nyingi tofauti na hapa hivyo biodiversity lazima ni kubwa

inazalisha mafuta ghafi kuliko nchi yeyote ile

na wao wana wanyama maarufu; grizzly bears, the alaskan moose, the american bison, the gray wolf. wanavutia sana

nadhani hata ukigoogle list ya most biodiverse countries hutoikuta tz 20 bora
Umeamua kubisha sina cha kukusaidia
 
Kuna wabongo hawali kuku wa kisasa waishi maisha marefu halafu jioni wanachinjika kwenye ajali ya hovyo ya bus kwa sababu ya miondombinu mibovu!
Bora ajali,kipindupindu
 
Back
Top Bottom