Mambo ambayo nchi ya Marekani imezidiwa kwa mbali na nchi ya Tanzania

Mambo ambayo nchi ya Marekani imezidiwa kwa mbali na nchi ya Tanzania

Basi ww iliekaa nao kwao hongera ila nimeishi nao miaka ya kutosha mfano swala la hali ya hewa na urahisi wa maisha ndiyo ilikuwa nyimbo yao kila siku
Wamarekani ni watu wabishi mpaka wamekimbia kwao ulaya wakaenda kuanzisha makazi Marekani, wamebishana kwenye nchi yao inavyoendeshwa mpaka wamepigana vita ya wenyewe kwa wenyewe.

Wewe Mtanzania hujakimbia kwenu kwenda kuanzisha nchi nyingine wala kupigana vita ya wenyewe kwa wenyewe bado hujawafikia kwa ubishi.
 
Ingiwa nchi ya Marekani ina maendeleo makubwa ya kiteknolojia na kiuchumi, yapo mambo kadhaa ambayo Tanzania tumewaacha mbali mno.

1. Rasilimali za asili na utalii wa kiikolojia
Tanzania kuna hifadhi maarufu kama Serengeti, Ngorongoro crater, na Mlima Kilimanjaro, ambazo ni kivutio kikubwa cha utalii wa kiokolojia duniani.

● Biodiversity, Tanzania ina aina ya wanyama wakubwa wa porini kwa wingi na aina mbalimbali ya mimea ikilinganishwa na maeneo mengi ya Marekani.

11. Utulivu wa kijamii na kitamaduni
Utamaduni wa ujamaa mshikamano wa jamii na maisha ya kijamii ya mjini na vijijini ni imara zaidi nchini Tanzania kulinganisha na Tanzania.

● Amani na usalama wa kijamii, Tanzania kuna amani ya kijamii ukilinganisha na Marekani ambapo kuna ghasia za mara kwa mara kwenye jamii zao.

111. Chakula asili na lishe
● Chakula kisicho na kemikali, Tanzania kuna uzalishaji wa chakula cha asilia huku sehemu kubwa ya wakulima wakilima chakula pasipo kutegemea asili kulinganisha na Marekani ambao kilimo chao utegemea njia zisizo asilia.

1v. Hali ya hewa
Tanzania kuna hali ya hewa ya joto na unyevuunyevu,huku maeneo mengi ya Marekani yakipata hali mbaya za hewa kama kimbunga,baridi kali na vimbunga.

V. Gharama za maisha nafuu
Gharama za maisha nchini Tanzania kama malazi ,chakula na huduma za afya ni ndogo ukilinganisha na Marekani.

Vi. Matumizi madogo ya silaha
Tanzania ina viwango vya chini vya umiliki wa silaha na matukio machache ya uhalifu wa kutumia silaha tofauti na Marekani ambako matumizi ya silaha ni makubwa na matukio ya ghasia yanayojumlisha matumizi ya silaha ni ya juu.
Sawa tumekusikia chawa. lakini tz tuna watu duni waisionna akili Wala maono ya kutumia fursa kuendeleza watu wao

Tuna majambazi ya ccm ambayo yamehodhi rasilimali zetu na hayalipi kodi
 
Wamarekani ni watu wabishi mpaka wamekimbia kwao ulaya wakaenda kuanzisha makazi Marekani, wamebishana kwenye nchi yao inavyoendeshwa mpaka wamepigana vita ya wenyewe kwa wenyewe.

Wewe Mtanzania hujakimbia kwenu kwenda kuanzisha nchi nyingine wala kupigana vita ya wenyewe kwa wenyewe bado hujawafikia kwa ubishi.
Sawa mkuu
 
Sawa tumekusikia chawa. lakini tz tuna watu duni waisionna akili Wala maono ya kutumia fursa kuendeleza watu wao

Tuna majambazi ya ccm ambayo yamehodhi rasilimali zetu na hayalipi kodi
Nimeshakuwa chawa tena?kweli bongo si mchezo
 
Ingiwa nchi ya Marekani ina maendeleo makubwa ya kiteknolojia na kiuchumi, yapo mambo kadhaa ambayo Tanzania tumewaacha mbali mno.

1. Rasilimali za asili na utalii wa kiikolojia
Tanzania kuna hifadhi maarufu kama Serengeti, Ngorongoro crater, na Mlima Kilimanjaro, ambazo ni kivutio kikubwa cha utalii wa kiokolojia duniani.

● Biodiversity, Tanzania ina aina ya wanyama wakubwa wa porini kwa wingi na aina mbalimbali ya mimea ikilinganishwa na maeneo mengi ya Marekani.

11. Utulivu wa kijamii na kitamaduni
Utamaduni wa ujamaa mshikamano wa jamii na maisha ya kijamii ya mjini na vijijini ni imara zaidi nchini Tanzania kulinganisha na Tanzania.

● Amani na usalama wa kijamii, Tanzania kuna amani ya kijamii ukilinganisha na Marekani ambapo kuna ghasia za mara kwa mara kwenye jamii zao.

111. Chakula asili na lishe
● Chakula kisicho na kemikali, Tanzania kuna uzalishaji wa chakula cha asilia huku sehemu kubwa ya wakulima wakilima chakula pasipo kutegemea asili kulinganisha na Marekani ambao kilimo chao utegemea njia zisizo asilia.

1v. Hali ya hewa
Tanzania kuna hali ya hewa ya joto na unyevuunyevu,huku maeneo mengi ya Marekani yakipata hali mbaya za hewa kama kimbunga,baridi kali na vimbunga.

V. Gharama za maisha nafuu
Gharama za maisha nchini Tanzania kama malazi ,chakula na huduma za afya ni ndogo ukilinganisha na Marekani.

Vi. Matumizi madogo ya silaha
Tanzania ina viwango vya chini vya umiliki wa silaha na matukio machache ya uhalifu wa kutumia silaha tofauti na Marekani ambako matumizi ya silaha ni makubwa na matukio ya ghasia yanayojumlisha matumizi ya silaha ni ya juu.
Marekani umeenda lini mkuu?
 
Ingiwa nchi ya Marekani ina maendeleo makubwa ya kiteknolojia na kiuchumi, yapo mambo kadhaa ambayo Tanzania tumewaacha mbali mno.

1. Rasilimali za asili na utalii wa kiikolojia
Tanzania kuna hifadhi maarufu kama Serengeti, Ngorongoro crater, na Mlima Kilimanjaro, ambazo ni kivutio kikubwa cha utalii wa kiokolojia duniani.

● Biodiversity, Tanzania ina aina ya wanyama wakubwa wa porini kwa wingi na aina mbalimbali ya mimea ikilinganishwa na maeneo mengi ya Marekani.

11. Utulivu wa kijamii na kitamaduni
Utamaduni wa ujamaa mshikamano wa jamii na maisha ya kijamii ya mjini na vijijini ni imara zaidi nchini Tanzania kulinganisha na Tanzania.

● Amani na usalama wa kijamii, Tanzania kuna amani ya kijamii ukilinganisha na Marekani ambapo kuna ghasia za mara kwa mara kwenye jamii zao.

111. Chakula asili na lishe
● Chakula kisicho na kemikali, Tanzania kuna uzalishaji wa chakula cha asilia huku sehemu kubwa ya wakulima wakilima chakula pasipo kutegemea asili kulinganisha na Marekani ambao kilimo chao utegemea njia zisizo asilia.

1v. Hali ya hewa
Tanzania kuna hali ya hewa ya joto na unyevuunyevu,huku maeneo mengi ya Marekani yakipata hali mbaya za hewa kama kimbunga,baridi kali na vimbunga.

V. Gharama za maisha nafuu
Gharama za maisha nchini Tanzania kama malazi ,chakula na huduma za afya ni ndogo ukilinganisha na Marekani.

Vi. Matumizi madogo ya silaha
Tanzania ina viwango vya chini vya umiliki wa silaha na matukio machache ya uhalifu wa kutumia silaha tofauti na Marekani ambako matumizi ya silaha ni makubwa na matukio ya ghasia yanayojumlisha matumizi ya silaha ni ya juu.
...Sawa, Yote hayo yanatusaidia Nini ?... [emoji848]
 
Ingiwa nchi ya Marekani ina maendeleo makubwa ya kiteknolojia na kiuchumi, yapo mambo kadhaa ambayo Tanzania tumewaacha mbali mno.

1. Rasilimali za asili na utalii wa kiikolojia
Tanzania kuna hifadhi maarufu kama Serengeti, Ngorongoro crater, na Mlima Kilimanjaro, ambazo ni kivutio kikubwa cha utalii wa kiokolojia duniani.

● Biodiversity, Tanzania ina aina ya wanyama wakubwa wa porini kwa wingi na aina mbalimbali ya mimea ikilinganishwa na maeneo mengi ya Marekani.

11. Utulivu wa kijamii na kitamaduni
Utamaduni wa ujamaa mshikamano wa jamii na maisha ya kijamii ya mjini na vijijini ni imara zaidi nchini Tanzania kulinganisha na Tanzania.

● Amani na usalama wa kijamii, Tanzania kuna amani ya kijamii ukilinganisha na Marekani ambapo kuna ghasia za mara kwa mara kwenye jamii zao.

111. Chakula asili na lishe
● Chakula kisicho na kemikali, Tanzania kuna uzalishaji wa chakula cha asilia huku sehemu kubwa ya wakulima wakilima chakula pasipo kutegemea asili kulinganisha na Marekani ambao kilimo chao utegemea njia zisizo asilia.

1v. Hali ya hewa
Tanzania kuna hali ya hewa ya joto na unyevuunyevu,huku maeneo mengi ya Marekani yakipata hali mbaya za hewa kama kimbunga,baridi kali na vimbunga.

V. Gharama za maisha nafuu
Gharama za maisha nchini Tanzania kama malazi ,chakula na huduma za afya ni ndogo ukilinganisha na Marekani.

Vi. Matumizi madogo ya silaha
Tanzania ina viwango vya chini vya umiliki wa silaha na matukio machache ya uhalifu wa kutumia silaha tofauti na Marekani ambako matumizi ya silaha ni makubwa na matukio ya ghasia yanayojumlisha matumizi ya silaha ni ya juu.
Tanzania tuna rais mwanamke baada ya miaka 60 tu ya uhuru. Marekani hawana baada ya zaidi ya miaka 200 ya uhuru. Wanawake wawili, Hilary na Kamala, walijaribu kukaribia wakaangushwa na Donald Trump mara 2!
 
Tanzania tuna rais mwanamke baada ya miaka 60 tu ya uhuru. Marekani hawana baada ya zaidi ya miaka 200 ya uhuru. Wanawake wawili, Hilary na Kamala, walijaribu kukaribia wakaangushwa na Donald Trump mara 2!
Safi kabisa,mfumo dume umetawala pamoja na kuhubiri usawa wa jinsia
 
Ni sawa tu ni kama Vijana wa Daslam hajui Wilaya ya Liwale ipo Mkoa gani?
Nimeeleza Watanzania wanaizungumzia Marekani kuliko Wamarekani wanavyoizungumzia Tanzania.

Sasa kijana wa Dar asipoijua Liwale iko mkoa gani hapo haijui Marekani?

Kijana wa Dar ni rahisi sana kuto8jua Liwale kuliko kutoijua Marekani.

Unajua kusoma kwa ufahamu na kufuatilia hoja kimantiki?
 
Nimeeleza Watanzania wanaizungumzia Marekani kuliko Wamarekani wanavyoizungumzia Tanzania.

Sasa kijana wa Dar asipoijua Liwale iko mkoa gani hapo haijui Marekani?

Kijana wa Dar ni rahisi sana kuto8jua Liwale kuliko kutoijua Marekani.

Unajua kusoma kwa ufahamu na kufuatilia hoja kimantiki?
Kuna taifa ambalo hawalizungumzii taifa la Marekani?Marekani ni taifa kubwa!!ila tumewazidi kwenye baadhi ya mambo
 
Kuna taifa ambalo hawalizungumzii taifa la Marekani?Marekani ni taifa kubwa!!ila tumewazidi kwenye baadhi ya mambo
Fuatilia nukuu zako kwangu utaelewa kwamba sikubishana kusema hakuna baadhi ya mambo mmewazidi wamarekani.

Haiwezekani wawapite kila kitu. Wakiwapita ujanja maana yake mmewapita ujinga.

Unabishia hoja ambayo mimi sijaisema.

Mimi nimesema tu Watanzania wanawaongelea Wamarekani kuliko Wamarekani wanavyowaongelea Watanzania.
 
Umesahau, Tanzania imezidi Marekani umaskini na ujinga 👏🏾👏🏾👏🏾
 
Back
Top Bottom