- Thread starter
- #21
Mnapenda sana ubishiVI. MIUNGU WATU
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnapenda sana ubishiVI. MIUNGU WATU
We ni wa kupuziwa
Hakuna kitu mtu kajisifia ni facts ila tatizo mnapenda ubishiHivyo vyote havijamsaidi mtanzania,mimi huwa napima maisha bora kwa nchi kwa juangalia mortuality ratr au life expectancy ya raia ,kama watu wanakufa below 60 unajisifu kula organic food ni ujinga
Si kweliIla Watanzania wamewashinda Wamarekani kwa kuiongelea Marekani zaidi ya Wamarekani wanavyoiongelea Tanzania.
Kwa hyoUnafananisha 1 state vs 50+states??
SawaOngezea tumewazidi pia kiwango cha wizi wa kura
Yah ilo tupo vizuriUmbea, fitna na majungu.
Sawa mkuuOngeza na uchawa
Me: "I'm from Tanzania"Si kweli
Wanabisha kila kituKuna wahuni watakupinga
Si kweliVI. MIUNGU WATU
Mambo ya kawaidaNi kweli kabisa tumewazidi sana wa-Marekani 🤒.
View attachment 3169587
Kutoijua Tanzania aijustfy kwamba kuna mambo tumewazidiMe: "I'm from Tanzania"
American: "Did you say Tasmania?".
Wamarekani wengi hata hawajui Tanzania iko wapi kwenye ramani.
Hakuna niliposema kuwa hakuna mambo tumewazidi.Kutoijua Tanzania aijustfy kwamba kuna mambo tumewazidi
Facts sawa lakini je zinatusaidiaje sisi raia wake,kama hazina msaada ni takataka,mimi ukiacha hiyo ya silaha na natural disaster vingine sioni umuhimu wakeHakuna kitu mtu kajisifia ni facts ila tatizo mnapenda ubishi
Tatizo wabishi naongeza point nyingine tumewazidi kwa ubishiHakuna niliposema kuwa hakuna mambo tumewazidi.
Unajua kusoma kwa ufahamu?
Hii mzee ni habari taarifa lengo ni kukupasha habari tuFacts sawa lakini je zinatusaidiaje sisi raia wake,kama hazina msaada ni takataka,mimi ukiacha hiyo ya silaha na natural disaster vingine sioni umuhimu wake
Inaonekana hujawahi kuishi na Wamarekani.Tatizo wabishi naongeza point nyingine tumewazidi kwa ubishi