Kila nikisema neno kuhusu ukatoliki na hao mapapa wao basi wanajazana inbox kwangu....🚨 Breaking: The fake pope that never condemned October 7 massacre that happened on the Israel soil, today attended an exhibition showing a Palestinian Jesus (resting on a Palestinian keffiyeh)
Mtu inabidi amwambie huyu Papa feki kwamba Yesu alizaliwa, alilelewa, aliishi na alikufa kama myahudi aliyeishi Judea.
View attachment 3172232
Ni dini nankabila kama ilivyo uarabu na uislamUyahudi ni dini siyo kabila
Nilikuwa nasoma utafiti fulani. Kumbe Mtume Mohammad S.A.W alikuwa ni black na inasemekana alitokea Kilwa, na picha yake ipo.Yesu hakuwa myahudi,labda unamaanisha muisrael
Mkomunisti huyo. Wakomunisti wote wako na Kamasi. Kier Starmer, Antonio Guterres, Pedro Sanchez, Kamala Harris, Vladimir Putin, Xinjiang President Lula of Brazil, Justine Trudeau🚨 Breaking: The fake pope that never condemned October 7 massacre that happened on the Israel soil, today attended an exhibition showing a Palestinian Jesus (resting on a Palestinian keffiyeh)
Mtu inabidi amwambie huyu Papa feki kwamba Yesu alizaliwa, alilelewa, aliishi na alikufa kama myahudi aliyeishi Judea.
View attachment 3172232
Siyo kabila bali dini, uislam na uarabu tofauti, mtume alikuta waarabu wakilewa,kunywa damu za wanyama,kuzini, mwanamke kutorithi,alipoanza kuhubiri alipigwa vita na waarabu anawaharibia utamaduni,akakimbilia madinaNi dini nankabila kama ilivyo uarabu na uislam
Hiyo ni sawa na kusema mo salah kabili/race yake ni muislam,ni ujingaKibenteni cha khadija huko uarabuni ndo kakusimulia yesu sio myahudi?
Bro hivi inabidi uwe mpumbavu kiasi gani kutojua tofauti kati ya Jews (as an ethnicity or race) na Judaism (as a religion)Hiyo ni sawa na kusema mo salah kabili/race yake ni muislam,ni ujinga
A jew is a person while judaism is his/her faithBro hivi inabidi uwe mpumbavu kiasi gani kutojua tofauti kati ya Jews (as an ethnicity or race) na Judaism (as a religion)
Kama hujui kitu si ukae tuu kimya, unajiaibisha mzee
Quran kitabu chenye collection za Mila na destusturi za waarabu wa kale. Hizi taratibu na sheria enzi hizo Kila jamii ilikuwa nazo na ziliitwa ( moseic rules) baada ya jamii zote ziliachana nazo Sasa waarabu wamezingangania na kuwajazia waafrika eti zimeshushwaSiyo kabila bali dini, uislam na uarabu tofauti, mtume alikuta waarabu wakilewa,kunywa damu za wanyama,kuzini, mwanamke kutorithi,alipoanza kuhubiri alipigwa vita na waarabu anawaharibia utamaduni,akakimbilia madina
Mpuuzi kweli, hata hujasoma nilichoandikaQuran kitabu chenye collection za Mila na destusturi za waarabu wa kale. Hizi taratibu na sheria enzi hizo Kila jamii ilikuwa nazo na ziliitwa ( moseic rules) baada ya jamii zote ziliachana nazo Sasa waarabu wamezingangania na kuwajazia waafrika eti zimeshushwa
So Jesus was Jew, in swahili myahudi.A jew is a person while judaism is his/her faith
Jesus wasn't a jew,per bible Jewish priests (kuhamia,farisayo) were against him for he was going against judaism and preaching new waysSo Jesus was Jew, in swahili myahudi.
Siku nyingine ongeza maarifa kabla ya kuropoka.
Mzee, Una load kinoma, it took 2 days hadi umekuja kuelewaA jew is a person while judaism is his/her faith
Nilianza na a muslim is a person while islam is his/her faithMzee, Una load kinoma, it took 2 days hadi umekuja kuelewa
Waarabu wapagani wa Mecca kabla ya ujio wa Mudy na dini yake walikuwa wanaizunguka kabbah mara saba na katika miungu yao 360 allah alikuwa mmoja wao.Siyo kabila bali dini, uislam na uarabu tofauti, mtume alikuta waarabu wakilewa,kunywa damu za wanyama,kuzini, mwanamke kutorithi,alipoanza kuhubiri alipigwa vita na waarabu anawaharibia utamaduni,akakimbilia madina
Hyo picha mmetoa wapi?
Katika hao miungu 360 Allah alikuwa Mungu wa ngapi?Waarabu wapagani wa Mecca kabla ya ujio wa Mudy na dini yake walikuwa wanaizunguka kabbah mara saba na katika miungu yao 360 allah alikuwa mmoja wao.
Sasa mtu anaposema uislamu umetohoa katika baadhi ya tamaduni za waarabu usibishe huo ndio ukweli.
Brother you have serious understanding issues.Jesus wasn't a jew,per bible Jewish priests (kuhamia,farisayo) were against him for he was going against judaism and preaching new ways