Mambo ambayo Papa anafanya yananifikirisha sana

Kila nikisema neno kuhusu ukatoliki na hao mapapa wao basi wanajazana inbox kwangu....


Umeongea jambo kubwa lenye maana.

Pia hiyo picha ni wazi Papa ni idol worshiper
 
Mkomunisti huyo. Wakomunisti wote wako na Kamasi. Kier Starmer, Antonio Guterres, Pedro Sanchez, Kamala Harris, Vladimir Putin, Xinjiang President Lula of Brazil, Justine Trudeau
 
Ni dini nankabila kama ilivyo uarabu na uislam
Siyo kabila bali dini, uislam na uarabu tofauti, mtume alikuta waarabu wakilewa,kunywa damu za wanyama,kuzini, mwanamke kutorithi,alipoanza kuhubiri alipigwa vita na waarabu anawaharibia utamaduni,akakimbilia madina
 
Siyo kabila bali dini, uislam na uarabu tofauti, mtume alikuta waarabu wakilewa,kunywa damu za wanyama,kuzini, mwanamke kutorithi,alipoanza kuhubiri alipigwa vita na waarabu anawaharibia utamaduni,akakimbilia madina
Quran kitabu chenye collection za Mila na destusturi za waarabu wa kale. Hizi taratibu na sheria enzi hizo Kila jamii ilikuwa nazo na ziliitwa ( moseic rules) baada ya jamii zote ziliachana nazo Sasa waarabu wamezingangania na kuwajazia waafrika eti zimeshushwa
 
Mpuuzi kweli, hata hujasoma nilichoandika
 
Siyo kabila bali dini, uislam na uarabu tofauti, mtume alikuta waarabu wakilewa,kunywa damu za wanyama,kuzini, mwanamke kutorithi,alipoanza kuhubiri alipigwa vita na waarabu anawaharibia utamaduni,akakimbilia madina
Waarabu wapagani wa Mecca kabla ya ujio wa Mudy na dini yake walikuwa wanaizunguka kabbah mara saba na katika miungu yao 360 allah alikuwa mmoja wao.

Sasa mtu anaposema uislamu umetohoa katika baadhi ya tamaduni za waarabu usibishe huo ndio ukweli.
 
Waarabu wapagani wa Mecca kabla ya ujio wa Mudy na dini yake walikuwa wanaizunguka kabbah mara saba na katika miungu yao 360 allah alikuwa mmoja wao.

Sasa mtu anaposema uislamu umetohoa katika baadhi ya tamaduni za waarabu usibishe huo ndio ukweli.
Katika hao miungu 360 Allah alikuwa Mungu wa ngapi?
 
Jesus wasn't a jew,per bible Jewish priests (kuhamia,farisayo) were against him for he was going against judaism and preaching new ways
Brother you have serious understanding issues.

Jesus was Jewish person, born from a Jewish woman from a Jewish Tribe, he was 100% Jewish.

Kitendo cha mafarisayo kumpinga yesu ni kwasababu alikuwa anafichua uovu yao, na kuwakemea kwasababu walikuwa wananyonya watu na kuwapoteza kwa kuwafundisha sheria ngumu wakati wao wenyew hawazifuati.
Yesu kupingwa na mafarisayo haimaanishi kwamba yeye sio myahudi, uyahudi ni ethnicity ni kitu ambacho mtu anazaliwa nacho, ni kama vile niseme wewe ni mswahili au mbantu, sio kitu ambacho mtu anaweza kukuvua.

But kama unataka uamini story za jamaa wako wa jangwani sawa endelea kushika hio hoja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…