Gol D Roger
JF-Expert Member
- Sep 16, 2023
- 2,316
- 6,082
- Thread starter
- #41
Abd Allah ibn Sa'dHyo picha mmetoa wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Abd Allah ibn Sa'dHyo picha mmetoa wapi?
Waarabu wapagani wa Mecca kabla ya ujio wa Mudy na dini yake walikuwa wanaizunguka kabbah mara saba na katika miungu yao 360 allah alikuwa mmoja wao.
Sasa mtu anaposema uislamu umetohoa katika baadhi ya tamaduni za waarabu usibishe huo ndio ukweli.
Waarabu wapagani wa Mecca kabla ya ujio wa Mudy na dini yake walikuwa wanaizunguka kabbah mara saba na katika miungu yao 360 allah alikuwa mmoja wao.
Sasa mtu anaposema uislamu umetohoa katika baadhi ya tamaduni za waarabu usibishe huo ndio ukweliqura
Una ushahidi wa hilo?..mimi nina ushahidi wa Quran 8:35 kwamba walikua wakipiga miluzi na makofi hapo kaaba,ndiyo ilikua ibada yaoWaarabu wapagani wa Mecca kabla ya ujio wa Mudy na dini yake walikuwa wanaizunguka kabbah mara saba na katika miungu yao 360 allah alikuwa mmoja wao.
Sasa mtu anaposema uislamu umetohoa katika baadhi ya tamaduni za waarabu usibishe huo ndio ukweli.
Kipindi Cha Muhammad hakukuwa na technology ya picha.nyie mmetoa wapi?
Hizo sheria ni za dini ya kiyahudi, yesu alivunja sheria za kiyahudi kama sabato nk,alivunja sheria za dini siyo kabila, sababu hizo sheria ziliaminika ni divine,vitu divine siyo vya kikabila bali diniBrother you have serious understanding issues.
Jesus was Jewish person, born from a Jewish woman from a Jewish Tribe, he was 100% Jewish.
Kitendo cha mafarisayo kumpinga yesu ni kwasababu alikuwa anafichua uovu yao, na kuwakemea kwasababu walikuwa wananyonya watu na kuwapoteza kwa kuwafundisha sheria ngumu wakati wao wenyew hawazifuati.
Yesu kupingwa na mafarisayo haimaanishi kwamba yeye sio myahudi, uyahudi ni ethnicity ni kitu ambacho mtu anazaliwa nacho, ni kama vile niseme wewe ni mswahili au mbantu, sio kitu ambacho mtu anaweza kukuvua.
But kama unataka uamini story za jamaa wako wa jangwani sawa endelea kushika hio hoja.
Sio tu alikuwa mmoja kati ya hao miungu alikuwa mkuu wa hio miunguKatika hao miungu 360 Allah alikuwa Mungu wa ngapi?
Hio ni picha au painting?Kipindi Cha Muhammad hakukuwa na technology ya picha.nyie mmetoa wapi?
Soma post #46Una ushahidi wa hilo?..mimi nina ushahidi wa Quran 8:35 kwamba walikua wakipiga miluzi na makofi hapo kaaba,ndiyo ilikua ibada yao
Vyovyote vile je ndo alikuwa hivyo?Hio ni picha au painting?
Mkuu unatafuta fatwaNilikuwa nasoma utafiti fulani. Kumbe Mtume Mohammad S.A.W alikuwa ni black na inasemekana alitokea Kilwa.
Picha yake hii hapa.
View attachment 3172248
Hicho ni kipindi CHA UJAHIRIYA.yaani kipindi Cha UJINGA.kabla Muhammad hajaja na kuuhisha uislam kwa mara nyingine.waarabu walikuwa wanatunga Tunga tu mambo Yao.Muhammad alipokuja ndo akaja kuwasafisha.Sio tu alikuwa mmoja kati ya hao miungu alikuwa mkuu wa hio miungu
Soma hayo maeneo niliyo highlight:
View attachment 3172854
Is The "Allah" of the Qur'an the true universal God?.
1. Yesu hakuvunja sabato, eye witnesses wanatuambia ilikuwa ni destruri yake kwenda kweny synagogue kila sabato, hata alipokufa wanafunzi wake walifanya haraka kumzika ili sabato isije ikaingia bado hawajiandaa, kama angekuwa kaivunja sabato wanafunzi wake ndio wangekuwa watu wa kwanza kabisa kuwafundisha, na hata hivyo wanafunzi wake walioendelea kutunza sabato hata pale alipofariki, sheria ambazo zilipata kutimizwa zinajulikana so usidanganye watuHizo sheria ni za dini ya kiyahudi, yesu alivunja sheria za kiyahudi kama sabato nk,alivunja sheria za dini siyo kabila, sababu hizo sheria ziliaminika ni divine,vitu divine siyo vya kikabila bali dini
Mimi sijui kama alikuwa hivyo au la, ninachojua ni kwamba he was a real historical figure from Muhammad's time, na kama unataka any further evidence just sayVyovyote vile je ndo alikuwa hivyo?
Au ndo mambo ya yesu na Brian deacon?
Huo ni UZUSHI Kama UZUSHI mwingine.hyo mtu hana historia yyote na uislamMimi sijui kama alikuwa hivyo au la, ninachojua ni kwamba he was a real historical figure from Muhammad's time, na kama unataka any further evidence just say
Kiranga mzee wa kindakindaki.Leta ushahidi kwanza kama Mungu yupo - Kiranga
Mzee huoni kwamba ni UJINGA zaidi kuchukua miungu ya watu alaf kuifanya miungu yako alaf kuwaambia nyie wote mlikuwa mnamwabudu vibaya, then baada ya hapo unaiga practices zao kwa kuzunguka kaabah mara saba kama walivokuwa wanafanya, kubusa jiwe jeusi kama walivokuwa wanafanya n.kHicho ni kipindi CHA UJAHIRIYA.yaani kipindi Cha UJINGA.kabla Muhammad hajaja na kuuhisha uislam kwa mara nyingine.waarabu walikuwa wanatunga Tunga tu mambo Yao.Muhammad alipokuja ndo akaja kuwasafisha.
YESU alikuwa wa dini ya kiyahudi ,A jew is a person, judaism is religion,jewish-faith reference
A muslim is a person, islam religion, islamic
Christianity, christian
Hindu, hinduism
Ongeza elimu mkuu au soma vizur hio link niliyokupatia, huyo mtu kashiriki vita vingi vya kiislamu na alikuwa ni mtu wa karibu sana na mtume, kama nilivosema alikuwa scriber wa mtume, hoja yake ina make sense sana ukizingatia mtume alikuwa illiterate.Huo ni UZUSHI Kama UZUSHI mwingine.hyo mtu hana historia yyote na uislam
Kauli yake haiwezi kuwa Sheria.Ongeza elimu mkuu au soma vizur hio link niliyokupatia, huyo mtu kashiriki vita vingi vya kiislamu na alikuwa ni mtu wa karibu sana na mtume, kama nilivosema alikuwa scriber wa mtume, hoja yake ina make sense sana ukizingatia mtume alikuwa illiterate.
Huyu hakuwepo kipindi Cha MuhammadOngeza elimu mkuu au soma vizur hio link niliyokupatia, huyo mtu kashiriki vita vingi vya kiislamu na alikuwa ni mtu wa karibu sana na mtume, kama nilivosema alikuwa scriber wa mtume, hoja yake ina make sense sana ukizingatia mtume alikuwa illiterate.