Kwani materials za uumbaji wa Lucifer zilikuwa ghali Sana,
Si kuna wengi wanasema aliubwa kwa Moto.
Ambapo Moto ulikuja kugunduliwa na binadamu, na ndio Best ever invasion discovery of human being.
Kama Sio ugunduzi wa Moto, Basi binadamu asingekuwa kiongozi wa Dunia.
Tungeendelea kuishi kwenye miti ya matunda na kula Tu wadudu.