Mkuu hii swali ni pana sana Na Ni swali ambalo hata ukiandika Majibu Yanaweza kuchukua Page 400s kuelezea Kwa sababu maaelezo yake ni kitabu kabisa..
Maana linahusisha mpaka Astrology na numerological literacy Na Pia kwa wale watu wa Theology watahusisha Judeo-Christian Metaphor na symbolism...
Ni wide sana kulielewa kwa mara Moja its All been metaphor since then na sio Literal kwamba kuna simba Wakaitwa hayo majina...
kwa kifupi
Najua unakoQuote ni hapa..
Kwa yesu kama Simba..
Ufunuo wa Yohana 5:5
"Na mmojawapo wa wale wazee akaniambia, Usilie; tazama, Simba aliye wa kabila ya Yuda, Shina la Daudi, yeye ameshinda apate kukifungua kile kitabu, na zile muhuri zake saba."
Kwa Shetani kama Simba..
1 Petro 5:8
Mwe na kiasi na kukesha; kwa kuwa mshitaki wenu Ibilisi, simba angurumaye, huzunguka-zunguka, akitafuta mtu ammeze.
Kabla sijakujibu nataka kukuchanganya zaidi na Gospel of thomas verse 7
Gospel of Thomas Verse 7🙁Injili ya Thomas aya ya 7)
"Jesus said, 'Blessed is the lion which becomes man when consumed by man; and cursed is the man whom the lion consumes, and the lion becomes man.'"
Sijui umenielewa?
Tuanze na Theological part ambayo ni simple kuidigest..
in biblical symbolism na metaphor. Kwenye Christian theology, kama nilivyoonyesha hapo kuwa Yesu katoka katoka kabila la yuda, so This symbolism comes from Biblia agano la kale Ambalo linamtaja Yuda kama Simba au Mwana simba (Mwanzo 49:9).
Kwahiyo simba anachorwa symbolically kimaana, Kwa kuonyesha strength, majesty, and kingship.
kwahyo Kumuita Yesu Simba kunaonyesha his royal and powerful nature.
Na shetani pia Ni simba kwa kigezo hicho hicho.
kama unakumbuka alipombeba yesu na kumuonyesha Falme zote za Duniani na kumwambia atampa..
Means ni zake pia...
na hiyo ndo context ya Judeo-Christian tradition.
Sasa Majibu upande wa astrological and numerological aspects kwa kifupi sana
Lion= Symbolysed by Leo
Which ruled By Sun (Jua)..(+1,-4)
Numerologically lion ruled by Number 1 (Positive +1)..
And number 4 (Negative Character -4)
Kwa watu wa Numerology mpaka hapa tayri.
Wameshanielewa tena sana..
Namba 4 (-4) ni number of dealth japo +4 ni namba ya birth..
Japo kwa ujumla namba 4 ni namba ya Dealth and Rebirth...
Hapo umenielewa?
Kwahyo The consuming Lion take -4
And the Lion of Juda take +1
Sasa kabla hatujaendelea unajua kwanini Yesu ametoka katika ukoo wa Yuda na anajiita Simba wa Yuda na Cha ajabu jina la mwanafunzi wake Yuda ndiyo aliemsaliti?
Yuda ni mtoto wa nne kuzaliwa kwa Yakobo..
Namba nne which symblolise Dealth and rebirth..
That means ili something crucial to be born it must follow the rules of number..
Turudi kwenye Simba sasa..
Kwahyo wote ni Moto elementary (Ruled by Fire)
Kibiblia..
Unakumbuka hapa..
Amosi 2:5
"Lakini nitapeleka moto juu ya Yuda, nao utayateketeza majumba ya Yerusalemu."
Ilitimia hapa..
Luka 12:49
"Nimekuja kutupa moto duniani; na ukiwa umekwisha washwa, ni nini nitakalo zaidi? "
Ufunuo wa Yohana 19:12
"Na macho yake yalikuwa kama mwali wa moto, na juu ya kichwa chake vilemba vingi; naye ana jina lililoandikwa, asilolijua mtu ila yeye mwenyewe."
Ufunuo wa Yohana 2:18
"Na kwa malaika wa kanisa lililoko Thiatira andika; Haya ndiyo anenayo Mwana wa Mungu, yeye aliye na macho yake kama mwali wa moto, na miguu yake mfano wa shaba iliyosuguliwa sana.;"
Waebrania 12:29
"maana Mungu wetu ni moto ulao."
Vipi kuhusu shetani?
Ezekieli 28:14
"Wewe ulikuwa kerubi mwenye kutiwa mafuta afunikaye; nami nalikuweka hata ukawa juu ya mlima mtakatifu wa Mungu, umetembea huko na huko kati ya mawe ya moto."
Au umesahau aliumbwa kwa moto...
Waebrania 1:7
"Na kwa habari za malaika asema,
Afanyaye malaika wake kuwa pepo,
Na watumishi wake (Cherub) kuwa miali ya moto."
Sasa nina imani umepata Those two sides by the way namba 1 huwa ni namba ya Utawala ila namba nne hasi ni namba ya Adversary (Yaani Kupinga au kinyume )..
Kuna mengi sana ya kuongea kuhusu Haya mambo lakini Ni Magumu sana kuyapokea..
So conclusiom ni kwamba hapo kilikuwa kimazungumziwa Two Duality With the same Power Which can be traped a person..
Rejea Gospel of thomas Aya ya 7
Na ndo maana unaona wote wako katika Same Signs ambayo ni sun na ndo nyota yenye nguvu..