Choosen85
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 1,143
- 2,475
Wakuu kwema.
Ni jpil njema sana na ya neema kubwa.
Mambo haya yamenitokea na kuniumiza sana.
1. Niligombanishwa na baba yangu mpaka leo hatuelewan na alisema alishani delete mbaya zaidi walioleta yote hayo ni shangazi zangu na mama wa kufikia na baadhi ya ndugu kikubwa ni wivu maana kidogo mzee alikuwa anakauwezo kuliko ndugu zake wote.
Ajabu nina mdogo wng naye ni wa kiume naye hivyohivyo wakamgombanisha na mzee ila wadogo zangu wa kike hawajaletewa kadhia hiyo.
Nipo naendelea na maisha yangu kama vile sina wazazi niliamua kuachana na ndugu wote na kusonga mbele wengi hawajui maisha yangu kwa undani wala kujua nipo wapi.
Mzee nilimuomba msamaha mbele ya ndugu wote kama kuna mahali nilikosea anisamehe akadai mbona hana tatzo na mimi ajabu nilipomtembelea ndo akafunguka alishani delete so niliamua kutemana naye nina zaidi ya miaka 4 sjakanyaga home.
2. Nina mradi wangu wa mbuzi niliajiri kijana wa kuchunga sasa siku ya mshahara ilipofika nikamlipa pesa yake ajabu zilipita kama siku 3 toka nimemlipa sjaonana naye siku 1 akanipigia simu ananiambia hela niliyomlipa aliweka ndani karudi kuchunga hakuikuta na akadai mimi ndo nilienda nikaingia ndani na kweli nilipomlipa kama leo kesho yake nilienda kumpelekea mahitaji yake key ninazo so nilifungua nikamuwekea hapo nikasepa sa akanituhumu nilipoingia nilichukua na hela niliyomlipa wakati skufanya hivyo na wala siwezi inaniumiza sana.
3. Ndugu yangu mmoja ambaye ndiye tumeshibana sana kidogo ndiye anajua mambo yangu siku 1 akanambia ana jambo anataka niambia tukapata muda tukameet aisee alinishushia tuhuma nzito sn mpaka leo najiuliza sjui aliyapata wapi hayo akadai eti mimi namsema kwa watu eti atakufa na ukimwi kama mama yake ambaye naye alishafariki alikuwa aunt yangu aisee iliniumiza sana nilipomshinikiza aniambie aliyesema hzo hbr ni nani alikataa kuniambia bt nilibaki nahisia uwenda ni mkewe ndiye alimpanga maana huwa sielewani na mkewe sababu ya maujinga yake nikahisi taarifa hii anaijua so aliamua kumpanga mumewe mimi nimesema jambo hilo kwa watu ili anigombanishe na ndugu yangu naumia mpk leo.
Ni hayo machache tu japo yapo mengi hebu tushirikishe na ww ni lipi linakuumiza mpk leo au unanishauri nini mkuu......
Ni jpil njema sana na ya neema kubwa.
Mambo haya yamenitokea na kuniumiza sana.
1. Niligombanishwa na baba yangu mpaka leo hatuelewan na alisema alishani delete mbaya zaidi walioleta yote hayo ni shangazi zangu na mama wa kufikia na baadhi ya ndugu kikubwa ni wivu maana kidogo mzee alikuwa anakauwezo kuliko ndugu zake wote.
Ajabu nina mdogo wng naye ni wa kiume naye hivyohivyo wakamgombanisha na mzee ila wadogo zangu wa kike hawajaletewa kadhia hiyo.
Nipo naendelea na maisha yangu kama vile sina wazazi niliamua kuachana na ndugu wote na kusonga mbele wengi hawajui maisha yangu kwa undani wala kujua nipo wapi.
Mzee nilimuomba msamaha mbele ya ndugu wote kama kuna mahali nilikosea anisamehe akadai mbona hana tatzo na mimi ajabu nilipomtembelea ndo akafunguka alishani delete so niliamua kutemana naye nina zaidi ya miaka 4 sjakanyaga home.
2. Nina mradi wangu wa mbuzi niliajiri kijana wa kuchunga sasa siku ya mshahara ilipofika nikamlipa pesa yake ajabu zilipita kama siku 3 toka nimemlipa sjaonana naye siku 1 akanipigia simu ananiambia hela niliyomlipa aliweka ndani karudi kuchunga hakuikuta na akadai mimi ndo nilienda nikaingia ndani na kweli nilipomlipa kama leo kesho yake nilienda kumpelekea mahitaji yake key ninazo so nilifungua nikamuwekea hapo nikasepa sa akanituhumu nilipoingia nilichukua na hela niliyomlipa wakati skufanya hivyo na wala siwezi inaniumiza sana.
3. Ndugu yangu mmoja ambaye ndiye tumeshibana sana kidogo ndiye anajua mambo yangu siku 1 akanambia ana jambo anataka niambia tukapata muda tukameet aisee alinishushia tuhuma nzito sn mpaka leo najiuliza sjui aliyapata wapi hayo akadai eti mimi namsema kwa watu eti atakufa na ukimwi kama mama yake ambaye naye alishafariki alikuwa aunt yangu aisee iliniumiza sana nilipomshinikiza aniambie aliyesema hzo hbr ni nani alikataa kuniambia bt nilibaki nahisia uwenda ni mkewe ndiye alimpanga maana huwa sielewani na mkewe sababu ya maujinga yake nikahisi taarifa hii anaijua so aliamua kumpanga mumewe mimi nimesema jambo hilo kwa watu ili anigombanishe na ndugu yangu naumia mpk leo.
Ni hayo machache tu japo yapo mengi hebu tushirikishe na ww ni lipi linakuumiza mpk leo au unanishauri nini mkuu......