Mambo ambayo yananiumiza na yaliyowahi niumiza sana

Mambo ambayo yananiumiza na yaliyowahi niumiza sana

Kuna wanaume mna roho nyepes mm mzee wangu alikuwa kila akilewa anakuja kunisumbua nilikuja kumtwanga nondo za kutosha maza akaja nikachanganya wote kipigo kingine achana na mandugu nawew fata mambo yako achana na Maneno sjui huyu yule piga mbishe zako
 
Kwamba nipo kijijini au siyo kwa taarifa yako Dar nimezaliwa nimesoma hapo mpk udsm na mzee huko ndo kwake kbs ameshastaafu ana makazi yake dsm.
Nipo Mwanza usagara tu hapa jirani na kivuko
Mambo ya kwamba kuna kitu ninaficha sjui nn hzo ni hisia zako tu na ujuaji wako. Swala la kumkosea mzee kama umesoma kwa umakini nilichoandika bs usingekurupuka hivi huoni mpk niliomba msamaha tena mbele ya ndugu zake wa damu mbele ya ndugu wengne maana tulikutana msibani.
Otherwise thanks kwa ushauri wako pia na ujuaji wako.
Kwa hasira na ujuaji huo,sioni mtu wa kupatana na ndugu hapo?. Sio mwaka huu. Mimi tu hunioni unanifokea kidogo unirukie. Sahau kupatana na mtu wewe. Naamini utateseka sana
 
Kwa hasira na ujuaji huo,sioni mtu wa kupatana na ndugu hapo?. Sio mwaka huu. Mimi tu hunioni unanifokea kidogo unirukie. Sahau kupatana na mtu wewe. Naamini utateseka sana
😂😂😂😂kazi ipo duuuh kuna vitu vinasikitisha na kufurahisha kwa wakati mmoja
 
Mm mbkna mzee nishamkataaga kitambo tu. Niligundua mzee ni msela anayezeeka so nikijikataaga kitambo tu. Sahiz nina plan ya kufanya ka ujenz wa kajumba nihamie kwangu. Ndugu visilan na mzee jau nishawakataa kitambo! Sahiz niko geto na mwanangu tunajikongoja. Life blunty unfair
 
Mkuu weka wazi ulimkosea Nini mzee maana Kuna vijana mna laana Sana
 
Mkuu weka wazi ulimkosea Nini mzee maana Kuna vijana mna laana Sana
Laana? Maisha hayo tunasemaga ni spiritual ni our beyond heart desire!. Kuna battle kubwa sana la nguvu ya maisha ya ukale na usasa. Unakuta mzee ana waza kama yuko miaka ya 70 huko wakat maisha yanabadilika sana.. hapo hata akielezea nn kilitokea mm naweka assumption " mzee wake kakomalia misimamo ya kizamani" na nina assume tena kabila analotoka huyu jamaa wasomi sio wengi
 
Inaonekana wewe ndo ulimzingua mzee wako, kama inakuumiza jitahidi utafute amani naye!
Btw una roho nyepesi sana, maneno huwa yapo tu!
 
Kuna wanaume mna roho nyepes mm mzee wangu alikuwa kila akilewa anakuja kunisumbua nilikuja kumtwanga nondo za kutosha maza akaja nikachanganya wote kipigo kingine achana na mandugu nawew fata mambo yako achana na Maneno sjui huyu yule piga mbishe zako
Kwamba😂....ukawachanganya wote!
 
Nilidhani mzee wangu ni mzee jau dunia nzima ila kumbe sio kweli, mzee wangu ukimwomba msamaha anakuelewa anakusamehe, ila huyo wako hadi anasema ameku-delete, huyo jau sasa.
 
Kama kweli hukumkosea mzee hupaswi kunung'unika hata kidogo,ndugu sio wa kuzingatia maisha ya siku hizi hata ukifa ndugu wengine hawatokuja kwenye msiba wako,ishi vema na kuwekeza kwa familia yako na kuwa na mahusiano mama na zengo hao ndo watakua wengi kwenye msiba wako na ndio watakao kushusha kaburini na kukufukia..
 
Kwa hasira na ujuaji huo,sioni mtu wa kupatana na ndugu hapo?. Sio mwaka huu. Mimi tu hunioni unanifokea kidogo unirukie. Sahau kupatana na mtu wewe. Naamini utateseka sana
Kichaa ww mimi siteseki kwa taarifa yako nipo imara kbs maisha yanasonga nimeshare tu hapa kupata mawazo tofauti ya wengne bt it doesn't mean nateseka nipo sawa kbs hayo ni mambo yaliyoniumizaga sn utateseka ww na family yako not mi kama Mungu Amenijalia afya njema, akili timamu bs hateseki mtu hapa.
 
Ingewezekana tungesikia na upande wa pili sasa. Hapa duniani ogopa sana mtu lia lia, mtu ambaye ana victim mentality; na yeye kila siku ni mtu wa kuonewa, kuchukiwa, kuumizwa na kunyanyaswa tu.

Take some stock of your emotional, spiritual, psychological and social life uone ni wapi panavuja. Vinginevyo ishi maisha yako kama unvyotaka bila kujali wala kuumizwa na makelele ya walimwengu ali mradi tu huvunji sheria wala kuumiza wengine (kwa makusudi).

Na huwezi kuwafurahisha walimwengu wote kwa wakati wote hata kama ungewafanyia yote watakayo kwa wakati wote!
 
Uzi
Kichaa ww mimi siteseki kwa taarifa yako nipo imara kbs maisha yanasonga nimeshare tu hapa kupata mawazo tofauti ya wengne bt it doesn't mean nateseka nipo sawa kbs hayo ni mambo yaliyoniumizaga sn utateseka ww na family yako not mi kama Mungu Amenijalia afya njema, akili timamu bs hateseki mtu hapa.

Uzi umefungwa wanajukwaa. Nadhani wenyewe mmejionea
 
Kata mawssiliano jichimbie usiwaongelee, wakusikie na kukuona kwa nanda yatapungua. Inaonekana were ni muongeaji sana
 
Back
Top Bottom