mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
una miakili sana mr. poor brain😂usiruhusu mtoto wako kupoteza mda kwa elimu ya bongo hii....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
una miakili sana mr. poor brain😂usiruhusu mtoto wako kupoteza mda kwa elimu ya bongo hii....
Ahahahahhaah aloooh weeeh kumbe kuna mda nina miakili....una miakili sana mr. poor brain😂
Wewe ulienda shule kusoma na bahati mbaya ulielimika ila haukupata maarifa stahiki kwa wakati husika.Hata wewe pia usiruhusu mtoto wako kupoteza mda kwa elimu ya bongo hii....
Umesemea ishu ya uvuvi..
Vipi una experience nayo..?
elimu uchwara😂 na mimi nimebakiza mwaka wangu wa mwisho nije unipe misheAhahahahhaah aloooh weeeh kumbe kuna mda nina miakili....
🤓🤓🤓🤓🤓
punguza bangi mh. ushimen.... unajua kabisa kua na elimu haku-guarantee chochoteWewe ulienda shule kusoma na bahati mbaya ulielimika ila haukupata maarifa stahiki kwa wakati husika.
Mimi wanangu wanaenda shule ili wakapate elimu na maarifa, pia nimekua mshauri mkuu kwa watoto wangu hasa nikizitazama ajira zilivyo ngumu na soko lake kwa ujumla.
I never regret in my past deeds because everything happened with a reason beyond my human capabilitiesHabari zenu Wakuu katika jamvi leo niwarudishe nyuma kidogo.
Katika kumbukumbu zako ni matukio gani ulishawahi fanya ukajutia maishani?
Mm najutia kuzaa watoto wengi nje hicho kitu kinanisumbua SanHabari zenu Wakuu katika jamvi leo niwarudishe nyuma kidogo.
Katika kumbukumbu zako ni matukio gani ulishawahi fanya ukajutia maishani?
Wanangu wanasoma ndio ila... Sizani kama watakuja kulaumu kama navyo laumu mimi mda huu...Wewe ulienda shule kusoma na bahati mbaya ulielimika ila haukupata maarifa stahiki kwa wakati husika.
Mimi wanangu wanaenda shule ili wakapate elimu na maarifa, pia nimekua mshauri mkuu kwa watoto wangu hasa nikizitazama ajira zilivyo ngumu na soko lake kwa ujumla.
Fanya kama nilivyo fanya mimi mkuu...😂Mm najutia kuzaa watoto wengi nje hicho kitu kinanisumbua San
kuanzisha mahusiano
ningeanza nyeto mapema zaidi pengine ningekuwa namiliki gari leo hii
Tuko pamojaI never regret in my past deeds because everything happened with a reason beyond my human capabilities
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahahahhaah usiogope... Utapeli unalipa... Akili tuu 🤓🤓🤓🤓elimu uchwara😂 na mimi nimebakiza mwaka wangu wa mwisho nije unipe mishe
Hii kitu nimeanza kuifanya kwa wanangu pia.Wanangu wanasoma ndio ila... Sizani kama watakuja kulaumu kama navyo laumu mimi mda huu...
Watabase zaidi kwenye fani..(elimu kwa vitendo zaidi)
Mkuu, nikweli elimu haina guarantee yeyote huku mtaani. Lakini ukipata maarifa una uhakika huku mtaani trust mepunguza bangi mh. ushimen.... unajua kabisa kua na elimu haku-guarantee chochote
Ewaaa wewe ni mimi kabisa...Hii kitu nimeanza kuifanya kwa wanangu pia.
Nimekua nikiwasisitiza sana kwenye kupata maarifa zaidi kutokana na wakati tulio nao kwa sasa.
Honestly binafsi sioni faida ya mtoto kwenda form 5na6, hasa kwa kipindi hiki tulicho nacho kwasasa
oyaaaNajutia kupoteza mda wangu kusoma...
Ningekua mvuvi bora afrika mashariki hapa...
Oyaaa weeehoyaaa