Mambo gani umejifunza 2024?

Mambo gani umejifunza 2024?

1- Usimuamini binadamu yoyote 100%, cas utakua very dissapointed sana ndani ya dakika 1 tu na utajutia sana. Amini kidogo, kua makini sana katika kila jambo.

2-privacy ni kitu muhimu sana kwenye maisha yako yote. Chagua kipi umshirikishe nani na kwa sababu gani, sio kila jambo ni la kumshirikisha yoyote yule, just choose well.
 
Happy holidays people and long time...i missed you

Tukiwa tunaelekea kumalizia mwaka 2024 ni mambo gani umejifunza through out the year?

Binafsi mwaka huu nina mengi ya kusimulia kwa hawa the so called "MARAFIKI" nitaandika makubwa mawili tu ili kuokoa muda

KWANZA,nimejifunza kwamba urafiki na pesa haviendani...nikiwa namaanisha mwaka huu 2024 nimpoteza marafiki wengi sana sababu ya zile mambo za kupenda kuonea huruma rafiki akiwa na shida ya pesa matokeo yake mnaanza kusumbuana kwenye malipo

PILI, Usiruhusu rafiki yako awe na usemi wowote kuhusu mahusiano yako ya mapenzi...acha mahusiano yako yawe ya kwako tu,kama ukigombana na mpenzi wako fanya maamuzi bila kumshirikisha rafiki, Kiufupi rafiki yako hatakiwi hata kukutana na mpenzi wako

Niwatakie kila la heri kwa mwaka 2025, Mwenyezi Mungu akatusaidie tutimize kila tutakaloliomba...Amen!

Happy new year in advance,mie nawapenda kinyama!

Uzi tayari.
Ukiwa huna hela mwanamke anakuona tàkataka.
 
Nimeelewa kwanini watu wanaogopa kutaja umri wao halisi.

Muda ni kitu cha thamani mno, tumia muda wako vizuri kufanya vitu vya maana kwako usije ishi kwa majuto.

Wengi wetu tupo hai lakini hatuishi.

Hatujitahidi hata kujaribu kuishi kwa malengo,

Huu ulimwengu wa kibepari unatutaka tuwe watumiaji tu, na sio waundaji/watengenezaji.

Haswa sisi watu wa 2000s kazi tunayo.
 
hapo pa the so-called 'marafiki', dah..!! kubabake sina hamu kilichonikuta mwaka huu..!!

Nimeamini hawa raia tunawaita 'rafiki' zetu wana uwezo hata kutuzika tukiwa hai na kuja kulia msibani..!!

Nimejifunza tuna watu tu 'tunaofahamiana' nao ndiyo wametuzunguka, kumpata the so-called RAFIKI kwenye haya maisha siyo rahisi kama nilivyodhani, ptuuuuh'..!🙌

sihitaji marafiki - Fid Q ft. Yvonne Mwale..!!
 
hapo pa the so-called 'marafiki', dah..!! kubabake sina hamu kilichonikuta mwaka huu..!!

Nimeamini hawa raia tunawaita 'rafiki' zetu wana uwezo hata kutuzika tukiwa hai na kuja kulia msibani..!!

Nimejifunza tuna watu tu 'tunaofahamiana' nao ndiyo wametuzunguka, kumpata the so-called RAFIKI kwenye haya maisha siyo rahisi kama nilivyodhani, ptuuuuh'..!🙌

sihitaji marafiki - Fid Q ft. Yvonne Mwale..!!
Sijasikia milio, wifi sijasikia miluzi 😹😹

Pata glass moja ya tequila unisimulie vizuri kwanza..!!
 
1- Usimuamini binadamu yoyote 100%, cas utakua very dissapointed sana ndani ya dakika 1 tu na utajutia sana. Amini kidogo, kua makini sana katika kila jambo.

2-privacy ni kitu muhimu sana kwenye maisha yako yote. Chagua kipi umshirikishe nani na kwa sababu gani, sio kila jambo ni la kumshirikisha yoyote tule, just choose well.
Ni sahihi
 
Sijasikia milio, wifi sijasikia miluzi 😹😹

Pata glass moja ya tequila unisimulie vizuri kwanza..!!
acha tu wifi yangu mzuri, ila kuna rafiki yangu wa karibu huku duniani ushwetaaani alonifanyia, angepewa sumu angeniua..
Na nikawa nabisha na kumtetea mpaka pale nilipoonyeshwa ushahidi na mtu zaidi ya mmoja...!!
 
Nimeelewa kwanini watu wanaogopa kutaja umri wao halisi.

Muda ni kitu cha thamani mno, tumia muda wako vizuri kufanya vitu vya maana kwako usije ishi kwa majuto.

Wengi wetu tupo hai lakini hatuishi.

Hatujitahidi hata kujaribu kuishi kwa malengo,

Huu ulimwengu wa kibepari unatutaka tuwe watumiaji tu, na sio waundaji/watengenezaji.

Haswa sisi watu wa 2000s kazi tunayo.

Nimeelewa kote isipokuwa hapo nilipobold
Ujumbe mzuri mshamba_hachekwi
 
hapo pa the so-called 'marafiki', dah..!! kubabake sina hamu kilichonikuta mwaka huu..!!

Nimeamini hawa raia tunawaita 'rafiki' zetu wana uwezo hata kutuzika tukiwa hai na kuja kulia msibani..!!

Nimejifunza tuna watu tu 'tunaofahamiana' nao ndiyo wametuzunguka, kumpata the so-called RAFIKI kwenye haya maisha siyo rahisi kama nilivyodhani, ptuuuuh'..!🙌

sihitaji marafiki - Fid Q ft. Yvonne Mwale..!!
Pole sana mwanangu
 
acha tu wifi yangu mzuri, ila kuna rafiki yangu wa karibu huku duniani ushwetaaani alonifanyia, angepewa sumu angeniua..
Na nikawa nabisha na kumtetea mpaka pale nilipoonyeshwa ushahidi na mtu zaidi ya mmoja...!!
Pole sana 😥
Hao ndio binadamu ni hatari zaidi ya wanyama.!
Kaa nao kimachale usimuamini mtu.!!
 
hapo pa the so-called 'marafiki', dah..!! kubabake sina hamu kilichonikuta mwaka huu..!!

Nimeamini hawa raia tunawaita 'rafiki' zetu wana uwezo hata kutuzika tukiwa hai na kuja kulia msibani..!!

Nimejifunza tuna watu tu 'tunaofahamiana' nao ndiyo wametuzunguka, kumpata the so-called RAFIKI kwenye haya maisha siyo rahisi kama nilivyodhani, ptuuuuh'..!🙌

sihitaji marafiki - Fid Q ft. Yvonne Mwale..!!

Ukweli mchungu huu...tuna watu tunaofahamiana nao,sio marafiki
Tuishi kwenye huo muongozo
 
Back
Top Bottom