Mambo gani umejifunza 2024?

Mambo gani umejifunza 2024?

1- Usimuamini binadamu yoyote 100%, cas utakua very dissapointed sana ndani ya dakika 1 tu na utajutia sana. Amini kidogo, kua makini sana katika kila jambo.

2-privacy ni kitu muhimu sana kwenye maisha yako yote. Chagua kipi umshirikishe nani na kwa sababu gani, sio kila jambo ni la kumshirikisha yoyote tule, just choose well.

Namba 2 📌📌
 
Happy holidays people and long time...i missed you

Tukiwa tunaelekea kumalizia mwaka 2024 ni mambo gani umejifunza through out the year?

Binafsi mwaka huu nina mengi ya kusimulia kwa hawa the so called "MARAFIKI" nitaandika makubwa mawili tu ili kuokoa muda

KWANZA,nimejifunza kwamba urafiki na pesa haviendani...nikiwa namaanisha mwaka huu 2024 nimpoteza marafiki wengi sana sababu ya zile mambo za kupenda kuonea huruma rafiki akiwa na shida ya pesa matokeo yake mnaanza kusumbuana kwenye malipo

PILI, Usiruhusu rafiki yako awe na usemi wowote kuhusu mahusiano yako ya mapenzi...acha mahusiano yako yawe ya kwako tu,kama ukigombana na mpenzi wako fanya maamuzi bila kumshirikisha rafiki, Kiufupi rafiki yako hatakiwi hata kukutana na mpenzi wako

Niwatakie kila la heri kwa mwaka 2025, Mwenyezi Mungu akatusaidie tutimize kila tutakaloliomba...Amen!

Happy new year in advance,mie nawapenda kinyama!

Uzi tayari.
Mimi nimejifunza kuwa kila kitu kikubwa huanza kidogo kidogo. Mwaka huu nimefanya mambo makubwa kwa kuanza kidogo ikiwemo ujenzi, kuwekeza katika ardhi wakati mwanzo nilikuwa naogopa.
Pia nimejifunza kwamba ukitaka kumsaidia ndugu yako au mtu wa karibu, usichukue fedha nyingi ukampa eti mtaji wa biashara. Anza kwa kumpa kidogo uone anaifanyia nini maana vinginevyo utachoma pesa na mwisho umkasirikie au mgombane. Ninavyoona nimechoma ela kwa kumpa mtu mtaji mkubwa kuliko aliokuwa kaomba na biashara naona baada ya miezi 6 hata kodi ya frem nusu hawezi kulipa.
 
Pole sana, nilikutafuta nikawa sikuoni kumbe upo kupewa mnyoosho 😹😹😹
Ungeniita nikusaidie kupambana nao mahi.!

Kibama (kitoumbua) bhana 🤣

Mwaka 2025 naomba nikukaribishe in advance upambane nao...mie nimenyoosha mikono

Haya maneno unayatoaga wapi? Mbona huku duniani sijawahi yasikia 😂😂
 
Watu wema wapo,kuna watu wana bahati ya kukutana nao
Hivi unaendeleaje Leejay49 ?
Niko good ciccy

This year nimekutana na watu ambao sikutengemea wangenifikisha nilipofika,. though wengine nimeachana nao sio kwa namna nzuri ila naamini ni makosa yangu na kujisahau plus kutowalipa fadhila,.
Lakini bado wema wako wengi mnoo na wanaishi🤦🏾‍♀️
 
Mimi nimejifunza kuwa kila kitu kikubwa huanza kidogo kidogo. Mwaka huu nimefanya mambo makubwa kwa kuanza kidogo ikiwemo ujenzi, kuwekeza katika ardhi wakati mwanzo nilikuwa naogopa.
Pia nimejifunza kwamba ukitaka kumsaidia ndugu yako au mtu wa karibu, usichukue fedha nyingi ukampa eti mtaji wa biashara. Anza kwa kumpa kidogo uone anaifanyia nini maana vinginevyo utachoma pesa na mwisho umkasirikie au mgombane. Ninavyoona nimechoma ela kwa kumpa mtu mtaji mkubwa kuliko aliokuwa kaomba na biashara naona baada ya miezi 6 hata kodi ya frem nusu hawezi kulipa.

Asante mkuu
Hili la kuanza kidogo kidogo naona wengi wetu litatufaa sana
 
Niko good ciccy

This year nimekutana na watu ambao sikutengemea wangenifikisha nilipofika,. though wengine nimeachana nao sio kwa namna nzuri ila naamini ni makosa yangu na kujisahau plus kutowalipa fadhila,.
Lakini bado wema wako wengi mnoo na wanaishi🤦🏾‍♀️

Vizuri
Kikubwa kila siku tunaendelea kujifunza,hao ulioachana nao kwa namna mbaya unaweza kurekebisha yasitokee tena
 
Furahia maisha unavyoweza kufa ni dk sifuri (Ghorofa la kkoo limeondoka na wapendwa wangu) 🥹
Pole sana jirani,.
Huku kwetu watu walikua wanakufa kwa kufatana nyumba kwa nyumba,. Ajali mbaya sana jirani tunakufa mnooo
Tuishi tu kwakweli,.


Halafu niko na ushuhud aaisee,. Ile Novena ni moto wa kuotea mbali jirani🙌
 
Back
Top Bottom