Ukiwa huna hela mwanamke anakuona tàkataka.Happy holidays people and long time...i missed you
Tukiwa tunaelekea kumalizia mwaka 2024 ni mambo gani umejifunza through out the year?
Binafsi mwaka huu nina mengi ya kusimulia kwa hawa the so called "MARAFIKI" nitaandika makubwa mawili tu ili kuokoa muda
KWANZA,nimejifunza kwamba urafiki na pesa haviendani...nikiwa namaanisha mwaka huu 2024 nimpoteza marafiki wengi sana sababu ya zile mambo za kupenda kuonea huruma rafiki akiwa na shida ya pesa matokeo yake mnaanza kusumbuana kwenye malipo
PILI, Usiruhusu rafiki yako awe na usemi wowote kuhusu mahusiano yako ya mapenzi...acha mahusiano yako yawe ya kwako tu,kama ukigombana na mpenzi wako fanya maamuzi bila kumshirikisha rafiki, Kiufupi rafiki yako hatakiwi hata kukutana na mpenzi wako
Niwatakie kila la heri kwa mwaka 2025, Mwenyezi Mungu akatusaidie tutimize kila tutakaloliomba...Amen!
Happy new year in advance,mie nawapenda kinyama!
Uzi tayari.
Sijasikia milio, wifi sijasikia miluzi 😹😹hapo pa the so-called 'marafiki', dah..!! kubabake sina hamu kilichonikuta mwaka huu..!!
Nimeamini hawa raia tunawaita 'rafiki' zetu wana uwezo hata kutuzika tukiwa hai na kuja kulia msibani..!!
Nimejifunza tuna watu tu 'tunaofahamiana' nao ndiyo wametuzunguka, kumpata the so-called RAFIKI kwenye haya maisha siyo rahisi kama nilivyodhani, ptuuuuh'..!🙌
sihitaji marafiki - Fid Q ft. Yvonne Mwale..!!
Ni sahihi1- Usimuamini binadamu yoyote 100%, cas utakua very dissapointed sana ndani ya dakika 1 tu na utajutia sana. Amini kidogo, kua makini sana katika kila jambo.
2-privacy ni kitu muhimu sana kwenye maisha yako yote. Chagua kipi umshirikishe nani na kwa sababu gani, sio kila jambo ni la kumshirikisha yoyote tule, just choose well.
Vitu vingi havidumu....👣
Furaha Ni nyakati hivyo furahia nyakati 😂
Kwa namna yoyote jiepushe na ugomvi
Kula nyama nyamaza
Kutunza mazingira
Watakie heri wapambanaji wengine
Kujutia mabaya Kila Baada ya sekunde unayolitenda
acha tu wifi yangu mzuri, ila kuna rafiki yangu wa karibu huku duniani ushwetaaani alonifanyia, angepewa sumu angeniua..Sijasikia milio, wifi sijasikia miluzi 😹😹
Pata glass moja ya tequila unisimulie vizuri kwanza..!!
Nimeelewa kwanini watu wanaogopa kutaja umri wao halisi.
Muda ni kitu cha thamani mno, tumia muda wako vizuri kufanya vitu vya maana kwako usije ishi kwa majuto.
Wengi wetu tupo hai lakini hatuishi.
Hatujitahidi hata kujaribu kuishi kwa malengo,
Huu ulimwengu wa kibepari unatutaka tuwe watumiaji tu, na sio waundaji/watengenezaji.
Haswa sisi watu wa 2000s kazi tunayo.
Pole sana mwananguhapo pa the so-called 'marafiki', dah..!! kubabake sina hamu kilichonikuta mwaka huu..!!
Nimeamini hawa raia tunawaita 'rafiki' zetu wana uwezo hata kutuzika tukiwa hai na kuja kulia msibani..!!
Nimejifunza tuna watu tu 'tunaofahamiana' nao ndiyo wametuzunguka, kumpata the so-called RAFIKI kwenye haya maisha siyo rahisi kama nilivyodhani, ptuuuuh'..!🙌
sihitaji marafiki - Fid Q ft. Yvonne Mwale..!!
Pole sana 😥acha tu wifi yangu mzuri, ila kuna rafiki yangu wa karibu huku duniani ushwetaaani alonifanyia, angepewa sumu angeniua..
Na nikawa nabisha na kumtetea mpaka pale nilipoonyeshwa ushahidi na mtu zaidi ya mmoja...!!
hapo pa the so-called 'marafiki', dah..!! kubabake sina hamu kilichonikuta mwaka huu..!!
Nimeamini hawa raia tunawaita 'rafiki' zetu wana uwezo hata kutuzika tukiwa hai na kuja kulia msibani..!!
Nimejifunza tuna watu tu 'tunaofahamiana' nao ndiyo wametuzunguka, kumpata the so-called RAFIKI kwenye haya maisha siyo rahisi kama nilivyodhani, ptuuuuh'..!🙌
sihitaji marafiki - Fid Q ft. Yvonne Mwale..!!